Vita vikali vinapiganwa upya Kaskazini na Kusini ya Gaza. Inashangaza

Vita vikali vinapiganwa upya Kaskazini na Kusini ya Gaza. Inashangaza

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Waandishi wengi wa habari pamoja na wa BBC wameripoti kuwa vita vikali sana vinapiganwa baina ya majeshi ya Israel na Hamas na kwa mshangao mkubwa vita hivyo viko pande zote mbili za Gaza, kusini na Kaskazini.

Mshangao wa mwanzo ni kuwa Hamas baada ya miezi 2 hawajaonekana kurudi nyuma au kupunguza kasi za mapigo yao kwa IDF.

Mshangao wa pili ni kuwa vita kaskazini ya Gaza ambako Israel imesema imeharibu mahandaki yao ya kujificha lakini bado wamepanda juu au wametoka kwenye magofu na kupigana na IDF kwa nguvu zote bila kuathiriwa na njaa na uchofu
 
Wameviunda wenyewe kwa msaada wa Iran na Hezbolah.

Kutoka Lebanon na pia Misri. Kuna mahandaki yao yanafika hadi huko.
Misri? Hivi we unamfahamu Rais wa Misri ni nani?

Asili yake ni nani?

Vipi mpango wao wakupump maji umefikia wapi 😄

Ukimpiga marungu kichaa yakimkolea anadhani maji ya bahari ni silaha
 
Misri? Hivi we unamfahamu Rais wa Misri ni nani?

Asili yake ni nani?

Vipi mpango wao wakupump maji umefikia wapi [emoji1]

Ukimpiga marungu kichaa yakimkolea anadhani maji ya bahari ni silaha
Ukimpiga marungu kichaa yakimkolea anadhani maji ya bahari ni silaha.

Aiseee,hahahaaa!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waandishi wengi wa habari pamoja na wa BBC wameripoti kuwa vita vikali sana vinapiganwa baina ya majeshi ya Israel na Hamas na kwa mshangao mkubwa vita hivyo viko pande zote mbili za Gaza, kusini na Kaskazini.

Mshangao wa mwanzo ni kuwa Hamas baada ya miezi 2 hawajaonekana kurudi nyuma au kupunguza kasi za mapigo yao kwa IDF.

Mshangao wa pili ni kuwa vita kaskazini ya Gaza ambako Israel imesema imeharibu mahandaki yao ya kujificha lakini bado wamepanda juu au wametoka kwenye magofu na kupigana na IDF kwa nguvu zote bila kuathiriwa na njaa na uchofu
Mungu bariki Hamas, Houth, Hizbollah, Mungu Bariki 🇮🇷 Iran.

Tulidanganywa sana juu ya ushujaa na umahiri wa mazayuni enzi za giza
 
Waandishi wengi wa habari pamoja na wa BBC wameripoti kuwa vita vikali sana vinapiganwa baina ya majeshi ya Israel na Hamas na kwa mshangao mkubwa vita hivyo viko pande zote mbili za Gaza, kusini na Kaskazini.

Mshangao wa mwanzo ni kuwa Hamas baada ya miezi 2 hawajaonekana kurudi nyuma au kupunguza kasi za mapigo yao kwa IDF.

Mshangao wa pili ni kuwa vita kaskazini ya Gaza ambako Israel imesema imeharibu mahandaki yao ya kujificha lakini bado wamepanda juu au wametoka kwenye magofu na kupigana na IDF kwa nguvu zote bila kuathiriwa na njaa na uchofu
 
Ha
Waandishi wengi wa habari pamoja na wa BBC wameripoti kuwa vita vikali sana vinapiganwa baina ya majeshi ya Israel na Hamas na kwa mshangao mkubwa vita hivyo viko pande zote mbili za Gaza, kusini na Kaskazini.

Mshangao wa mwanzo ni kuwa Hamas baada ya miezi 2 hawajaonekana kurudi nyuma au kupunguza kasi za mapigo yao kwa IDF.

Mshangao wa pili ni kuwa vita kaskazini ya Gaza ambako Israel imesema imeharibu mahandaki yao ya kujificha lakini bado wamepanda juu au wametoka kwenye magofu na kupigana na IDF kwa nguvu zote bila kuathiriwa na njaa na uchofu
Hao Njaa Itawatoa Maana Mashimo Yote Yamefukuliwa Sasa Utajifucha Wapi Gaza Pa Moto
 
Back
Top Bottom