Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Uongee mengine na nananiJamani,ni ushabiki,au ni imani. Hamasi wapo katika hali ngumu sana.nadhanikufikia kesho tutakuwa tunaingea mengine
Heheeee pole kijanaHa
Hao Njaa Itawatoa Maana Mashimo Yote Yamefukuliwa Sasa Utajifucha Wapi Gaza Pa Moto
Hamas walishajipanga sana mkuu. Tena baada ya Hezbolah kuwasumbua sana Israel na kuwapa kichapo kikali ile 2016, ni lazima wamesaidiwa mbinu na hata wanajeshi wa Hizbolab kuingia Gaza kupitia hayo mahandaki, ndo maana Israel wanapiga kelele kuhusu Iran(kumbuka Hezbolah ni pure Iran), na hata lile shambulizi la October 7. Ambapo Intelijensia yao ilifeli, na kudhalilishwa hadi waziri mkuu kudharaulika zaidi, ndiko kumewapandisha hasira na kupelekea mauwaji haya ya halaiki wanayoyafanya.Misri? Hivi we unamfahamu Rais wa Misri ni nani?
Asili yake ni nani?
Vipi mpango wao wakupump maji umefikia wapi š
Ukimpiga marungu kichaa yakimkolea anadhani maji ya bahari ni silaha
Na wale nguruwe wa kizayuni walivyokuwa hawapendi kufa,, sasa hivi wataomba poo,, hawakutegemea kama itakuwa hivi, washazozea kuwaonea tangu kipindi cha nyuma sasa hivi wanaume wamedindaNimeona sasahiv jamaa kiukweli wamechapika HAMAS wapo vizuri dah
Unajisajailisha kwamba kulikuwa na usitisheaji wa mapambano kwa muda wa karibu siku 7? Unajua hao Hamas walikuwa wanafanya nini kama sio regrouping?Waandishi wengi wa habari pamoja na wa BBC wameripoti kuwa vita vikali sana vinapiganwa baina ya majeshi ya Israel na Hamas na kwa mshangao mkubwa vita hivyo viko pande zote mbili za Gaza, kusini na Kaskazini.
Mshangao wa mwanzo ni kuwa Hamas baada ya miezi 2 hawajaonekana kurudi nyuma au kupunguza kasi za mapigo yao kwa IDF.
Mshangao wa pili ni kuwa vita kaskazini ya Gaza ambako Israel imesema imeharibu mahandaki yao ya kujificha lakini bado wamepanda juu au wametoka kwenye magofu na kupigana na IDF kwa nguvu zote bila kuathiriwa na njaa na uchofu
Watoto wa juzi mnajidanganya na kujipump kwa maneno ya vijiweni. Waulizeni wazee wenu wa 1973. Israel walizidiwa kabisa lakini walishinda vita, HAKUNA MWANADAMU WAKUIONDOA ISRAEL KWENYE ILE ARDHIHamna mvamizi ambaye alishashinda war of occupation dunia hii , never
In a long run utafail Tu
Huyo mzayuni hatoboi
Tuwekee bas na sie tuone sheikh!!Nimeona sasahiv jamaa kiukweli wamechapika HAMAS wapo vizuri dah
Magaidi ya hamas ni jeshi kamili lenye ufadhili wa arab league
Mungu bariki Hamas, Houth, Hizbollah, Mungu Bariki
Umeona wapi?Nimeona sasahiv jamaa kiukweli wamechapika HAMAS wapo vizuri dah
Wangekuwa na mfumo hata mmoja wa kutungua ndege ungewasaidia sana.Ila wapalestina ni wabishi kwelikweli hawa jamaa kama wangekuwa na vifaa kama walivyo navyo Israel sijui ingekuaje
Migaidi ya Kiislam imekuwa flashed out from tunnels na maji ya chumviMagaidi ya kiislamuView attachment 2835855