Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Antony Blinken amesema ana matumaini kuwa Hamas itakubali pendekezo la hivi punde la Israel la kusitisha mapigano Gaza na kuwaachilia mateka.
Aliita pendekezo hilo kuwa la "ukarimu usio wa kawaida", wakati ujumbe wa Hamas ulipojadiliana na wapatanishi mjini Cairo.
Baada ya wiki kadhaa za mvutano, afisa mkuu wa Hamas alinukuliwa akisema "haina masuala makubwa" na pendekezo hilo.
Inaripotiwa kuwa inahusisha kauli mpya juu ya kurejesha utulivu kwa maana ya kukidhi matakwa ya Hamas ya kusitisha mapigano ya kudumu.
Serikali ya Israel inakabiliwa na shinikizo kubwa kutoka kwa washirika wake wa kimataifa na familia za mateka kuafikia makubaliano.
MY TAKE
kumbe HAMAS bado wananguvu? kibur hichi cha HAMAS ya kukataa suluhu na vita vya nchi 5 dhidi yake kimetokeawapi?
Israel ilianzisha kampeni ya kijeshi ya kuiangamiza Hamas kujibu mashambulizi ya kundi hilo kusini mwa Israel tarehe 7 Oktoba, ambapo takriban watu 1,200 waliuawa na wengine 253 walichukuliwa mateka.
Zaidi ya watu 34,480 wameuawa huko Gaza tangu wakati huo, kulingana na wizara ya afya ya eneo hilo inayosimamiwa na Hamas.
Aliita pendekezo hilo kuwa la "ukarimu usio wa kawaida", wakati ujumbe wa Hamas ulipojadiliana na wapatanishi mjini Cairo.
Baada ya wiki kadhaa za mvutano, afisa mkuu wa Hamas alinukuliwa akisema "haina masuala makubwa" na pendekezo hilo.
Inaripotiwa kuwa inahusisha kauli mpya juu ya kurejesha utulivu kwa maana ya kukidhi matakwa ya Hamas ya kusitisha mapigano ya kudumu.
Serikali ya Israel inakabiliwa na shinikizo kubwa kutoka kwa washirika wake wa kimataifa na familia za mateka kuafikia makubaliano.
MY TAKE
kumbe HAMAS bado wananguvu? kibur hichi cha HAMAS ya kukataa suluhu na vita vya nchi 5 dhidi yake kimetokeawapi?
Israel ilianzisha kampeni ya kijeshi ya kuiangamiza Hamas kujibu mashambulizi ya kundi hilo kusini mwa Israel tarehe 7 Oktoba, ambapo takriban watu 1,200 waliuawa na wengine 253 walichukuliwa mateka.
Zaidi ya watu 34,480 wameuawa huko Gaza tangu wakati huo, kulingana na wizara ya afya ya eneo hilo inayosimamiwa na Hamas.