Vita vya Gaza vikifikisha muda wa uchaguzi wa Marekani hakutakuwa na kusitishwa vita tena bali kutangaziwa ushindi Hamas

Vita vya Gaza vikifikisha muda wa uchaguzi wa Marekani hakutakuwa na kusitishwa vita tena bali kutangaziwa ushindi Hamas

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Kwa ufundi na subira za hali ya juu Hamas wameweza kuhimili kipigo kizito cha Israel na washirika wake mpaka umefika mwaka mmoja hapo Septema 7.

Uzito wa vita hivyo umeonekana na kila upande ambapo mpaka sasa kikwazo kikubwa ni waziri mkuu wa Israel,Benjamin Netanyahu ambaye anaona aibu kusitisha vita bila kufikiwa malengo aliyojiwekea na kuyatangaza mwanzoni mwa vita.

Kwa bahati mbaya Marekani imekuwa na sera za kumuendekeza waziri mkuu huyo bila kuona mbele kwamba maslahi anayoyafikiria Netanyahu itakuwa ni kuitumbukiza Marekani kwenye balaa kubwa.Unaweza ukauona msongo wa mawazo wa Marekani unapowasikilizawagombea uraisi wa nchi hiyo utakaofanyika mwezi Novemba mwaka huu.

Kila mmoja kati ya wagombea hao anajaribu kumpaka matope mwenzake kwamba si rafiki wa Israel. Hapo juzi Truma amesema akichaguliwa Kamalla Harris basi Israel itafutika.

Waziri wa Ulinzi wa Israel mwenyewe Yoav Gallant,mara kadhaa amekuwa akikosana na Netanyahu hadharani akiunga mkono kufikia makubaliano na Hamas akisema makubaliano hayo yataitua mzigo mkubwa nchi yake ya kiusalama kwenye mipaka yake yote.

Kwa upande wake Netanyahu amekuwa na tamaa za fisi kufikiria kila siku kwamba ataua kiongozi wa Hamas ili awatangazie wafuasi na wafadhili wake kwamba amepata mafanikio.Kwa kukimbilia huko ametangaza kifo cha Mohammed Deif ambaye mpaka leo hakuna uthibitisho wa kifo hicho.
 
Kwa ufundi na subira za hali ya juu Hamas wameweza kuhimili kipigo kizito cha Israel na washirika wake mpaka umefika mwaka mmoja hapo Septema 7.
Uzito wa vita hivyo umeonekana na kila upande ambapo mpaka sasa kikwazo kikubwa ni waziri mkuu wa Israel,Benjamin Netanyahu ambaye anaona aibu kusitisha vita bila kufikiwa malengo aliyojiwekea na kuyatangaza mwanzoni mwa vita.
Kwa bahati mbaya Marekani imekuwa na sera za kumuendekeza waziri mkuu huyo bila kuona mbele kwamba maslahi anayoyafikiria Netanyahu itakuwa ni kuitumbukiza Marekani kwenye balaa kubwa.Unaweza ukauona msongo wa mawazo wa Marekani unapowasikiliza wagombea uraisi wa nchi hiyo utakaofanyika mwezi Novemba mwaka huu.
Kila mmoja kati ya wagombea hao anajaribu kumpaka matope mwenzake kwamba si rafiki wa Israel.Hapo juzi Truma amesema akichaguliwa Kamalla Harris basi Israel itafutika.
Waziri wa Ulinzi wa Israel mwenyewe Yoav Gallant,mara kadhaa amekuwa akikosana na Netanyahu hadharani akiunga mkono kufikia makubaliano na Hamas akisema makubaliano hayo yataitua mzigo mkubwa nchi yake ya kiusalama kwenye mipaka yake yote.
Kwa upande wake Netanyahu amekuwa na tamaa za fisi kufikiria kila siku kwamba ataua kiongozi wa Hamas ili awatangazie wafuasi na wafadhili wake kwamba amepata mafanikio.Kwa kukimbilia huko ametangaza kifo cha Mohammed Deif ambaye mpaka leo hakuna uthibitisho wa kifo hicho
Netanyahu na baraza lake wako makini sana, hawataki ushauri au mapatano ambayo yataiangamiza Israel, tulieni vita iendelee atakayeshindwa atasalimu amri. Neyanyahu alishawaambia wa Marekani wasiipangie Israel namna ya kujilinda na kudumisha usalama wake.
 
Wagombea wote wa marekani ni pro- Israel, sio Trump Wala Haris, yani kivyovuote vile Israel lazima ishinde vita hii, haijalishi wapalestina watakufa wangapi hakuna atakaejali, bila mataifa ya kiarabu kuungana dhidi ya Israel hakuna ushindi watakaopata Hamas, tena mbaya zaidi aingie trump
 
Netanyahu na baraza lake wako makini sana, hawataki ushauri au mapatano ambayo yataiangamiza Israel, tulieni vita iendelee atakayeshindwa atasalimu amri. Neyanyahu alishawaambia wa Marekani wasiipangie Israel namna ya kujilinda na kudumisha usalama wake.
Na Hamas pamoja na kutokuwa na silaha wako makini sana.Hakuna kusalimu amri.Kila vita vikijikokota basi na ushindi unakimbia kutoka kwa Israel.
 
Kwa ufundi na subira za hali ya juu Hamas wameweza kuhimili kipigo kizito cha Israel na washirika wake mpaka umefika mwaka mmoja hapo Septema 7.
Uzito wa vita hivyo umeonekana na kila upande ambapo mpaka sasa kikwazo kikubwa ni waziri mkuu wa Israel,Benjamin Netanyahu ambaye anaona aibu kusitisha vita bila kufikiwa malengo aliyojiwekea na kuyatangaza mwanzoni mwa vita.
Kwa bahati mbaya Marekani imekuwa na sera za kumuendekeza waziri mkuu huyo bila kuona mbele kwamba maslahi anayoyafikiria Netanyahu itakuwa ni kuitumbukiza Marekani kwenye balaa kubwa.Unaweza ukauona msongo wa mawazo wa Marekani unapowasikiliza wagombea uraisi wa nchi hiyo utakaofanyika mwezi Novemba mwaka huu.
Kila mmoja kati ya wagombea hao anajaribu kumpaka matope mwenzake kwamba si rafiki wa Israel.Hapo juzi Truma amesema akichaguliwa Kamalla Harris basi Israel itafutika.
Waziri wa Ulinzi wa Israel mwenyewe Yoav Gallant,mara kadhaa amekuwa akikosana na Netanyahu hadharani akiunga mkono kufikia makubaliano na Hamas akisema makubaliano hayo yataitua mzigo mkubwa nchi yake ya kiusalama kwenye mipaka yake yote.
Kwa upande wake Netanyahu amekuwa na tamaa za fisi kufikiria kila siku kwamba ataua kiongozi wa Hamas ili awatangazie wafuasi na wafadhili wake kwamba amepata mafanikio.Kwa kukimbilia huko ametangaza kifo cha Mohammed Deif ambaye mpaka leo hakuna uthibitisho wa kifo hicho.
Hamas wamuvumilia kipigo gani gaza imesagwa vile imebaki majivu kwa mtu mwenye akili timamu ukiondoa akili za udini unaweza kuwapongeza hamas wameiponza gaza na wapalestina yaani cha maana walichokipata wapalestina kuanzisha vita october 7 ni nini?
 
Na Hamas pamoja na kutokuwa na silaha wako makini sana.Hakuna kusalimu amri.Kila vita vikijikokota basi na ushindi unakimbia kutoka kwa Israel.
Hamas wana umakini gani kujificha kwenye miundombinu ya kiraia kama shule, hospitali, kwenye makambi ya wakimbizi na misikitini nakuvaa nguo za kiraia kipindi cha mapigano, kuwageuza raia wa gaza kama ngao ndio umakini jeshi bora huwalinda raia wake sio kujikinga na raia
 
Taifa linalopambwa kwamba limebarikiwa linashindwa kuwapata raia wake waliotekwa na Hamas ndani ya kipande cha ardhi yenye ukubwa sawa na wilaya ya Ilala unakaribia mwaka sasa! Hii nchi inakuzwa tu lakini bila USA na UK hamna kitu.
 
Hamas wana umakini gani kujificha kwenye miundombinu ya kiraia kama shule, hospitali, kwenye makambi ya wakimbizi na misikitini nakuvaa nguo za kiraia kipindi cha mapigano, kuwageuza raia wa gaza kama ngao ndio umakini jeshi bora huwalinda raia wake sio kujikinga na raia
Propaganda za anayeshindwa hizo.Na kuna ushujaa gani kwa IDF kupiga mashule na kambi za wakimbizi pamoja na hospitali.
Ni hivyo dunia ina unafiki tu lakini kungeshapelekwa vikosi vya kimataifa kuwalinda watu wanaouliwa ovyo.
 
Netanyahu na baraza lake wako makini sana, hawataki ushauri au mapatano ambayo yataiangamiza Israel, tulieni vita iendelee atakayeshindwa atasalimu amri. Neyanyahu alishawaambia wa Marekani wasiipangie Israel namna ya kujilinda na kudumisha usalama wake.
Wiki ya pili sasa wapi Hizbullah,Wapi Houthi,wapi Iran.
Halafu kwa kutia aibu unaongelea anguko la Israel
 
Wiki ya pili sasa wapi Hizbullah,Wapi Houthi,wapi Iran.
Halafu kwa kutia aibu unaongelea anguko la Israel
Pia jiulize mbana Israel imekaa kimya kaskazini ya nchi.Wamepiga mpaka wamechoka na silaha zimeanza kuadimika na kila leo Hizbullah wanapiga tena maeneo nyeti.
Upande wa Houth katika wiki mbili wameshaangusha droni mbili za bei ya juu za Marekani.
Huoni ukimya huo ni kutokana na kuufyat kwa Israel baada ya kuona hatari iliyo mbele yake ni kubwa kwa kuendelea kupiga ovyo adui ambaye hashindikani.
 
Propaganda za anayeshindwa hizo.Na kuna ushujaa gani kwa IDF kupiga mashule na kambi za wakimbizi pamoja na hospitali.
Ni hivyo dunia ina unafiki tu lakini kungeshapelekwa vikosi vya kimataifa kuwalinda watu wanaouliwa ovyo.
Tuthibitishie ni propaganda sio unaropoka kibishi weka ushahidi sio kweli
 
Kwa ufundi na subira za hali ya juu Hamas wameweza kuhimili kipigo kizito cha Israel na washirika wake mpaka umefika mwaka mmoja hapo Septema 7.
Uzito wa vita hivyo umeonekana na kila upande ambapo mpaka sasa kikwazo kikubwa ni waziri mkuu wa Israel,Benjamin Netanyahu ambaye anaona aibu kusitisha vita bila kufikiwa malengo aliyojiwekea na kuyatangaza mwanzoni mwa vita.
Kwa bahati mbaya Marekani imekuwa na sera za kumuendekeza waziri mkuu huyo bila kuona mbele kwamba maslahi anayoyafikiria Netanyahu itakuwa ni kuitumbukiza Marekani kwenye balaa kubwa.Unaweza ukauona msongo wa mawazo wa Marekani unapowasikiliza wagombea uraisi wa nchi hiyo utakaofanyika mwezi Novemba mwaka huu.
Kila mmoja kati ya wagombea hao anajaribu kumpaka matope mwenzake kwamba si rafiki wa Israel.Hapo juzi Truma amesema akichaguliwa Kamalla Harris basi Israel itafutika.
Waziri wa Ulinzi wa Israel mwenyewe Yoav Gallant,mara kadhaa amekuwa akikosana na Netanyahu hadharani akiunga mkono kufikia makubaliano na Hamas akisema makubaliano hayo yataitua mzigo mkubwa nchi yake ya kiusalama kwenye mipaka yake yote.
Kwa upande wake Netanyahu amekuwa na tamaa za fisi kufikiria kila siku kwamba ataua kiongozi wa Hamas ili awatangazie wafuasi na wafadhili wake kwamba amepata mafanikio.Kwa kukimbilia huko ametangaza kifo cha Mohammed Deif ambaye mpaka leo hakuna uthibitisho wa kifo hicho.
Kwanza Israel hapigani na hamas peke yake anapigana na Iran, syria, na makundi yote ya kigaidi kama hezobolah, houth, hamas, islamic jihadi sasa huoni kama israel yupo vizuri anachangiwa na magaidi wenu wote na baba yenu wa ugaidi iran bado mnashindwa kumfuta mnabaki kulia lia israel ni mbaya anafanya genocide
 
Kwa ufundi na subira za hali ya juu Hamas wameweza kuhimili kipigo kizito cha Israel na washirika wake mpaka umefika mwaka mmoja hapo Septema 7.
Uzito wa vita hivyo umeonekana na kila upande ambapo mpaka sasa kikwazo kikubwa ni waziri mkuu wa Israel,Benjamin Netanyahu ambaye anaona aibu kusitisha vita bila kufikiwa malengo aliyojiwekea na kuyatangaza mwanzoni mwa vita.
Kwa bahati mbaya Marekani imekuwa na sera za kumuendekeza waziri mkuu huyo bila kuona mbele kwamba maslahi anayoyafikiria Netanyahu itakuwa ni kuitumbukiza Marekani kwenye balaa kubwa.Unaweza ukauona msongo wa mawazo wa Marekani unapowasikiliza wagombea uraisi wa nchi hiyo utakaofanyika mwezi Novemba mwaka huu.
Kila mmoja kati ya wagombea hao anajaribu kumpaka matope mwenzake kwamba si rafiki wa Israel.Hapo juzi Truma amesema akichaguliwa Kamalla Harris basi Israel itafutika.
Waziri wa Ulinzi wa Israel mwenyewe Yoav Gallant,mara kadhaa amekuwa akikosana na Netanyahu hadharani akiunga mkono kufikia makubaliano na Hamas akisema makubaliano hayo yataitua mzigo mkubwa nchi yake ya kiusalama kwenye mipaka yake yote.
Kwa upande wake Netanyahu amekuwa na tamaa za fisi kufikiria kila siku kwamba ataua kiongozi wa Hamas ili awatangazie wafuasi na wafadhili wake kwamba amepata mafanikio.Kwa kukimbilia huko ametangaza kifo cha Mohammed Deif ambaye mpaka leo hakuna uthibitisho wa kifo hicho.
watu wanakufa ww unasema wameshinda , vita ya kipumbav kbs ambayo ilikuwa ina epukika vzr tu , wapalestina wanatumiwa kama labarotory ya Iran kuisoma Israel , dini ya waislam imejaa mazuzu , Kama Iran , Qatar , Turkey , Oman wanajali sana kuhusu wapalestina kwann wawaache wapigane pekee yao
 
Na Hamas pamoja na kutokuwa na silaha wako makini sana.Hakuna kusalimu amri.Kila vita vikijikokota basi na ushindi unakimbia kutoka kwa Israel.
Yes wako makini kujificha nyuma ya wanawake na watoto
 

Attachments

  • IMG_3778.jpeg
    IMG_3778.jpeg
    360.6 KB · Views: 2
Hamas wamuvumilia kipigo gani gaza imesagwa vile imebaki majivu kwa mtu mwenye akili timamu ukiondoa akili za udini unaweza kuwapongeza hamas wameiponza gaza na wapalestina yaani cha maana walichokipata wapalestina kuanzisha vita october 7 ni nini?
Mali na uhai vina maana gani ikiwa huna uhuru wa dini yako na ardhi yako? hamas leo wamesema Hata akibaki mtu mmoja Gaza nzima hawatamsamehe akikubali kua chini ya mazayuni. Wewe unafikiri watu wanaangalia majengo kwanza hamasi wanaishi kwenye mahandaki majengo ni anasa tuu
 
Ha
Kwa ufundi na subira za hali ya juu Hamas wameweza kuhimili kipigo kizito cha Israel na washirika wake mpaka umefika mwaka mmoja hapo Septema 7.
Uzito wa vita hivyo umeonekana na kila upande ambapo mpaka sasa kikwazo kikubwa ni waziri mkuu wa Israel,Benjamin Netanyahu ambaye anaona aibu kusitisha vita bila kufikiwa malengo aliyojiwekea na kuyatangaza mwanzoni mwa vita.
Kwa bahati mbaya Marekani imekuwa na sera za kumuendekeza waziri mkuu huyo bila kuona mbele kwamba maslahi anayoyafikiria Netanyahu itakuwa ni kuitumbukiza Marekani kwenye balaa kubwa.Unaweza ukauona msongo wa mawazo wa Marekani unapowasikiliza wagombea uraisi wa nchi hiyo utakaofanyika mwezi Novemba mwaka huu.
Kila mmoja kati ya wagombea hao anajaribu kumpaka matope mwenzake kwamba si rafiki wa Israel.Hapo juzi Truma amesema akichaguliwa Kamalla Harris basi Israel itafutika.
Waziri wa Ulinzi wa Israel mwenyewe Yoav Gallant,mara kadhaa amekuwa akikosana na Netanyahu hadharani akiunga mkono kufikia makubaliano na Hamas akisema makubaliano hayo yataitua mzigo mkubwa nchi yake ya kiusalama kwenye mipaka yake yote.
Kwa upande wake Netanyahu amekuwa na tamaa za fisi kufikiria kila siku kwamba ataua kiongozi wa Hamas ili awatangazie wafuasi na wafadhili wake kwamba amepata mafanikio.Kwa kukimbilia huko ametangaza kifo cha Mohammed Deif ambaye mpaka leo hakuna uthibitisho wa kifo hicho.
Hamas walitaka vita na vita ndo hiyo inaendelea tatizo ni nn? Walivamia Israel tarehe 7/10 wakauwa,wakateka na kubaka. Wakarusha rocket zaidi ya elfu 5....sasa Gaza yote iko vitani waachwe wapigane Allah yupo ataingilia kati...usijipe kazi isiyokuhusu
 
Propaganda za anayeshindwa hizo.Na kuna ushujaa gani kwa IDF kupiga mashule na kambi za wakimbizi pamoja na hospitali.
Ni hivyo dunia ina unafiki tu lakini kungeshapelekwa vikosi vya kimataifa kuwalinda watu wanaouliwa o

Mali na uhai vina maana gani ikiwa huna uhuru wa dini yako na ardhi yako? hamas leo wamesema Hata akibaki mtu mmoja Gaza nzima hawatamsamehe akikubali kua chini ya mazayuni. Wewe unafikiri watu wanaangalia majengo kwanza hamasi wanaishi kwenye mahandaki majengo ni anasa tuu
Dini imekupofisha sana
 
Mali na uhai vina maana gani ikiwa huna uhuru wa dini yako na ardhi yako? hamas leo wamesema Hata akibaki mtu mmoja Gaza nzima hawatamsamehe akikubali kua chini ya mazayuni. Wewe unafikiri watu wanaangalia majengo kwanza hamasi wanaishi kwenye mahandaki majengo ni anasa tuu
Hiviunafatilia vizuri hii vita au akili zenu za udini ndio zinakupofusha hamas wenyewe wanataka usitishwaji wa vita moja kwa moja ila Israel anataka vita viendelee hataki kusitisha moja kwa moja israel imekubali vita visimame wiki 6 tu ndio mateka waachiliwe na huduma ziingie gaza baada ya hapo ndio mtanange uendelee sasa hapo ni nani amechoka vita kama sio hamas ameshindwa kukiri tu ukiangalia viongozi wa hamas wameuawa amebaki Sinwar anajificha kwa kuvaa baibui na mahandaki yanaendelea kulipuliwa na burka busta
 
Back
Top Bottom