Hii hapa πembu lete chanzo, maana hawa ndiyo tunawauziaga mahindi karibu kila mwaka.
But truth is tz ndiyo inaongoza kwa GDP ya kweli kama uniamini subiri mwaka wa uchaguzi Kenya ndiyo utakuwa mwisho wa ubishi maana mabeberu wrote wataimba wimbo wa tz na magufuli believe me.Duh! Yaani kwa huyo Mkapa mlikua mnatukimbiza, ila naona miaka ya hivi majuzi tumewatoka na kuwaacha, jameni aliyeandaa hiyo animation ni balaa la mtu dadadeki....nitaitunza siku zote hiyo
Mzee wa mwakani njoo uone haya madude lwiva jifunze historia kidogo.
Hii inaonyesha chanzo cha hasira zote hizi mnazokuaga nazo.
View attachment 1549577
Were jida ga ye tunapiga Nazi usiku na mchana daraja letu LA yanzanite linamalizika wakati nyinyi LA likoni limetulwa kaluni miaka kwa miaka hadi mnakuja na wazo LA ujenzi wa kidaraja feki hapo likoni.Huu uzi mumeukaushia na kuupitia kwa mbali kama ukoma, ila ndio ukweli wenyewe, yaani kipindi cha miaka mitano Kenya imeongeza pengo la kiuchumi kuliko awamu zingine zote, mna la kujifunza sana majirani, siku nyingine msitangulize chuki kwenye hii michezo, mjifunze kukumbatiana na wenzenu, na bado kama hamjajifunza kitu subiri miaka ijayo mitano tukutane tena hapa muone kama hamtakua mumeota mvi kila mmoja wenu kwa stress za chuki.
Tanzania tuna Uchumi wakati wakenya ni Uchiumi.Kaka huu uzi unahitaji akili kuujadili, watu wa haiba yako mngesubiri watu wazima waujadili kwanza kisha mtapewa fursa ya kuja kuukojolea.
Mbona mkitolewa LDC hamkuhoji namna hii? πThe thematic map gives more questions than its ability to address them. Now where are variables and criteria which deployed in the ranking.
What I can say is "if you are not reading the news you are stupid, but if you believe everything that you read in the news papers, then you are more stupid.
Mbona mkitolewa LDC hamkuhoji namna hii? π
Ufahamu tunatumia. Pitia link, ramani isipotosheleza maswali yako, kuna option ya ku download report nzima. Ni 1.54MB pekee.Brother, tumia ufahamu, yaani unaamini nchi kama Tanzania ina usalama hafifu wa chakula kuliko kenya. Unless you are talking about the first world kenya in the lower middle income country.
Ufahamu tunatumia. Pitia link, ramani isipotosheleza maswali yako, kuna option ya ku download report nzima. Ni 1.54MB pekee.
Hunger Map 2020 | World Food Programme
Halafu nauliza tena, vipi hamkuhoji mlivyotolewa LDC jinsi unavyohoji saizi? Ipo shida.
Mkuu, unajua Magu kaleta balaa huko ke? Huwa hawataki kumsikia kabisa, amewanyoosha hatari. Waache wabwabwanje, ila ukweli tunaujua sisi.Sijui ni kweli au ni makaratasi. Maana wakati uchumi mkubwa mkifa kwa njaa, corona, mafuriko, nzige na ukame, nchi mnayoizidi kwa karibu nusu hakuna njaa, hakuna nzige, umwagiliaji unaendelea na zaidi ya yote kuna dollars multi millionaires wengi kuliko hiyo nchi yenu. Sometime tufikirie angle hiyo pia
Mkuu, ogopa sana uchumi wa makaratasi na uhalisia. Hao wanakimbizwa mno na Magu. Stay tuned miaka mingine 5, ni michungu mno kwao.[emoji38] [emoji38] hili bomu la GDP nalo litaripuka siku si nyingi, dalili zote ziko wazi.
[emoji1][emoji1]
watu na GDP ya $109 bln wanashindwa kulipa mishahara manesi wa dispensary[emoji23][emoji23].
Mumelipa wakulima wa korosho? Na walimu je?
Pesa za korosho zilikuwa ni zaidi ya tsh bilioni 900 ambayo imelipwa tayari mpaka july.Hilo la korosho ndio waliangukia pua kabisa, ila nimeshangaa sana yaani wakiendelea hivi miaka ijayo mitano tutakua tumewaacha kwa mbali sana kwa kweli.
Sababu sisi tulisha ingia tangu 2017....ilikuwa n swala la wao kurithia tu....ndio mana haikutushtua wala kushangaza...unajingine?Ufahamu tunatumia. Pitia link, ramani isipotosheleza maswali yako, kuna option ya ku download report nzima. Ni 1.54MB pekee.
Hunger Map 2020 | World Food Programme
Halafu nauliza tena, vipi hamkuhoji mlivyotolewa LDC jinsi unavyohoji saizi? Ipo shida.
wacha kufananisha malipo ya corosho na na elfu 7 za kenya.
hata hivyo GDP ya $60bln imeshawalipa wakulima. na haijawahi tokea mwalimu akadai pesa tz huwa wanagoma kwa kuomba nyongeza sio kuzimwa kwabisa.
hakuna madai ya mishahara kwa waalimu tz, achana na hizo link za kucheleweshewa malipo, ambayo huzidi siku tano mpaka mbili kutoka tarehe husika ya malipo.
Pesa za korosho zilikuwa ni zaidi ya tsh bilioni 900 ambayo imelipwa tayari mpaka july.
[emoji1][emoji1][emoji1]naomba uniambie mishahara ya manesi hapo kwenu ni shilingi ngapi?? ambayo wamedai zaidi ya mwaka sasa!!!!
Watanzania walioko kule ndio hao wapinzani wenye maslahi kinzani na kila serikali inachofanya, ndio wale waliosema tufungiwe lockdown, waliomkosoa magu kwa kutochukua mkopo wa corona,yaani kifupi wana akili za nzi kama zako.Huwa nacheck jukwaa lenu la kisiasa, mliwatesa sana wakulima wa korosho, nilishangaa wapo leo wanaodai bado, tatizo ulishalikimbia hilo jukwaa, jaribu kupeleka huu utopolo wako huko uone utakavyotukanwa na Watanzania.