Watanzania walioko kule ndio hao wapinzani wenye maslahi kinzani na kila serikali inachofanya, ndio wale waliosema tufungiwe lockdown, waliomkosoa magu kwa kutochukua mkopo wa corona,yaani kifupi wana akili za nzi kama zako.
Hamna mwenye uchungu na nchi kule, wale wana uchungu na nyonga zao tu.Kawaambie hayo huko uone kama hautatolewa nduki, wao huko wana uchungu na nchi yao, hauwezi kuwadanganya kama unavyopenda kufanya huku maana wanayaona na kuyapitia hayo mateso.
Bora hata uitaje Kenya angalau kidogo. Wahabeshi kila siku tunawakamata wanaikimbia nchi yenye uchumi mzuri, ma agent wa kuwavusha ni Wakenya. Kila siku wanakufa kwa kisafirishwa kama magunia ya mahindi. Yaani kila siku tunawarudisha Ethiopia baada ya kuwatibu. Wanafika wakiwa hoi haswaa.tatizo lenu kubwa wengi wenu ni walemavu wa akili na wavivu, nchi kama kenya na uhabeshi na matatizo yao yote si wa kushinda tanzania na raslimali hizo zote
Fake i can assure you
[emoji75] [emoji75] [emoji75] unavyoongea kama mtu kumbe bogaJust like DRC You have a country blessed with abudant natural resources but the economy is mediocre at best. Atleast DRC had civil wars, what is Tanzania's excuse? There's only one logical answer, stupidity
Wamekua wakiajiri walimu wa science na hesabu inawezekana moja kwa moja huna unalojuaTanzania ome freeze ajira za walimu toka 2015.. hao mnaowalipa wametoka wapi.. idadi ya walimu kenya ni mara 5 ya tz
Tunajenga bwawa la umeme uzalishaji na uwekezaji utaongezeka maradufu,tunajenga sgr usafirishaji utaongezeka maradufu izo estimates hazitabiri future ya ukwel,tena nyie mnahatar ya kuporomoka endeleeni kutafuta pesa Za miradi na kuleta figusu tunawapiga pin hamtapata pakujishikaMagufuli is good for kenya . 7 more years and our gdp gap will be 100 billion . Its 45 billion now .
2015 it was 15 billion .
2020 its is 47billion .
2024 IMF projections : kenya 159 billion
Tanzania 92 billion
Gap : 67 billion
Updated 2024 GDP Projections. Major Economies in the Eastern Africa
View attachment 1550443
hamna mwenye uchungu na nchi kule, wale wana uchungu na nyonga zao tu.
mbona tunawaeleza sana. ukitaka kujua wanaelimika japo kwa taabu kama nyinyi tunvyowapa dawa, angalia ishu ya corona kwa sasa wameinyamazia.ishu wa corosho nayo imekaa kimya.
mtu yupo online jf 23hrs/day unasema ana uchungu na nchi yake, kazi anafanya saa ngapi!! we tanzaniania tuna uhakika wa kula ndio maana mtu anaamka anakunywa chai anakwenda kuingia mtandaoni kulaumu serikali, anakula launch anashiba anashika simu, jioni vivyo hivyo. ni vigumu sana kujua yupi ana uhitaji wa jambo la msingi tz.
Wamelipwa woteMumelipa wakulima wa korosho? Na walimu je?
Kwani nyinyi hamjawahi samehewa?Lipeni wakulima na walimu. Na msisahau kulipa deni zenu pia. This time hamtasamehewa.
Aliyekwambia kwamba hatujaajiri ni Nan?lete ushahidi.Mmefukuza walimu na hamja ajiri.. kwanini mshindwe kuwalipa hao wachache..
Mitano ijayo pilot atakua mwana sheria mbobeziHuu uzi mumeukaushia na kuupitia kwa mbali kama ukoma, ila ndio ukweli wenyewe, yaani kipindi cha miaka mitano Kenya imeongeza pengo la kiuchumi kuliko awamu zingine zote, mna la kujifunza sana majirani, siku nyingine msitangulize chuki kwenye hii michezo, mjifunze kukumbatiana na wenzenu, na bado kama hamjajifunza kitu subiri miaka ijayo mitano tukutane tena hapa muone kama hamtakua mumeota mvi kila mmoja wenu kwa stress za chuki.
hamna nondo pale mzee, labda sababu wewe ni mvivu kuandika.Huwa nasoma sana kule, hampo kabisa mumefutwa na kukimbilia huku kwa Wakenya, kule huwa mnajibu shombo na kukimbia, unakuta mtu ameandika bango limesheheni nondo tena lefu balaa, mataga mnatangulia na kutupia maneno machache yanayonuka shombo na kukimbia hoja. Kwa kweli kama mnalipwa huwa hamtendei haki hizo hela, ingepaswa mbanane nao kwenye hoja.
kikubwa ndege iende na kutua salam.Mitano ijayo pilot atakua mwana sheria mbobezi
hamna nondo pale mzee, labda sababu wewe ni mvivu kuandika.
ukiishaona mtu kafungua gazeti na likes 20 plus basi unahitimisha zitakuwa point.
kule kuna kundi la watu fulani ni hao hao kazi yao 24hrs ni kuandika mabaya ya serikali hawana kazi nyingine, sasa kama unahisi kila muandishi anatakiwa kujibiwa unafeli.
watz ni zaidi ya kikundi cha watu 30 kilicholipwa kwa kazi hizo.kingine unatakiwa ukumbuke lile ni jukwaa la siasa usibebe kizima kizima kila unachokikuta.