Vita vya Kagera 1979: Kwanini Jeshi letu lilipitia mipaka ya Sudan badala ya kukatiza hapo kati kufika Kampala?

Vita vya Kagera 1979: Kwanini Jeshi letu lilipitia mipaka ya Sudan badala ya kukatiza hapo kati kufika Kampala?

Heeeeeh....😳😳😳 Mimi tena ndo wa kukasirika? Kwa lipi? Wakati sisi ndo tunawatawala nyie😂😂😂 na wewe ndo unalalamika kila uchwao na kumlaani nyerere. Mi sina hasira. Wewe ndo una hasira katika kila comment yako. Inaonekana you cant breath 😂😂😂

Kama umefurahi kitu gani kilikufanya umwage povu na kukoroma?
 
Maskini....kumbe unaumia sana...why lakini?anayekandamiza na anayekandamizwa nani anamwaga povu,kuharisha na kukoroma? Eti nyie koloni letu?😂😂😂

Subirin tumsimike Rais mwingine wa Zanzibar ndugu Gavana tusikilize sisi ndo wataalam. Wewe endelea kumlaani Nyerere....😂😂😂

Kama umefurahi kitu gani kilikufanya umwage povu na kukoroma?
 
Maskini....kumbe unaumia sana...why lakini?anayekandamiza na anayekandamizwa nani anamwaga povu,kuharisha na kukoroma? Eti nyie koloni letu?😂😂😂

Subirin tumsimike Rais mwingine wa Zanzibar ndugu Gavana tusikilize sisi ndo wataalam. Wewe endelea kumlaani Nyerere....😂😂😂

Si ndio ukawa unashughulishwa na ka Zanzibari kadogo kinachoingia mara zaidi ya 100 000 Tanganyika ,ukajisahau mwenyewe namna jiwe linavyowagaragaza na kuifisidi Tanganyika ,umekuja kumwaga povu hapa
 
Tanzania sasa ipo imara mara 100 na kakoloni ketu kametulia tuli. Tunasonga mbele....kifua mbele macho mita 1000. Subiri tuwawekee Rais tunayemtaka mwaka 2020 Dodoma... 😂😂😂

Si ndio ukawa unashughulishwa na ka Zanzibari kadogo kinachoingia mara zaidi ya 100 000 Tanganyika ,ukajisahau mwenyewe namna jiwe linavyowagaragaza na kuifisidi Tanganyika ,umekuja kumwaga povu hapa
 
Tulieni Dawa iwaingie. Laana ya kumkataa aliyewakomboa ndo hiyo. John Okello baba wa Taifa wa Zanzibar. 😂😂😂😂

Si ndio ukawa unashughulishwa na ka Zanzibari kadogo kinachoingia mara zaidi ya 100 000 Tanganyika ,ukajisahau mwenyewe namna jiwe linavyowagaragaza na kuifisidi Tanganyika ,umekuja kumwaga povu hapa
 
Tanzania sasa ipo imara mara 100 na kakoloni ketu kametulia tuli. Tunasonga mbele....kifua mbele macho mita 1000. Subiri tuwawekee Rais tunayemtaka mwaka 2020 Dodoma... 😂😂😂

Ipo imara kweli kwa kuwapoteza watu kwenye mifuko kule coco beach
 
Tanzania sasa ipo imara mara 100 na kakoloni ketu kametulia tuli. Tunasonga mbele....kifua mbele macho mita 1000. Subiri tuwawekee Rais tunayemtaka mwaka 2020 Dodoma... 😂😂😂

Simpigane na Membe kwanza
 
Kichuguu wewe una elimu na pia umri wa kutosha acha kubishana na hawa akina kichwa nazi Gavana hawa huwa hawana hoja washakuwa brain washed. Wewe tupe madini sisi wenye akili. Hawa ambao.... Achana nao watakupotezea muda tu

Lazima utetee ujinga tu ndio kawaida yako ewe NASWARA/YAHUDI usie na utu wala huruma,,huyo babu yako, pamoja na okello mateso na mauwaji waliyoyafanya dhidi ya waarabu/waislamu wenzetu hayatasahaulika,,, Okello alikuwa anaanzia wakina baba kuwauwa halafu anamalizia kwa wake zao na watoto tena kwa kuwachinja kabsa. Hivi kama ndio ni familia yako wameteketezwa ungeendelea kutetea ujinga!!



(Babu yako, okello na Karume) hawa wote walikuwa kitu kimoja katika mauwaji hayo,,,walifikiri wataishi milele.


Ingia Revolution zanzibar 1964 ujionee walivyouawa kinyama halafu urudi tena kuwatete hao ndugu zako wasiokuwa na utu 😡😡😡
 
Lazima na wewe utetee ujinga tu ewe NANYUMBU/LIARABU usiye na utu wala ubinadamu. Katili mtumwa wa akili na fedhuli wa maadili...al kafri....😁😁😁😁

Mweusi : MAPINDUZIIIIIIIIIII
Weusi : DAIMAAAAAAAAAAA

Mwarabu hatorudi tena zanzibar kutesa na kuua wenzetu. Hatutawaruhusu hata kidogo.

Mkoloni wa kiarabu na viambata vyake....asahau kabisa. Kama ambavyo mzungu hatorudi Tanganyika. Sasa wewe jamaa wa Oman ulie tu....😂😂😂😂


Lazima utetee ujinga tu ndio kawaida yako ewe NASWARA/YAHUDI usie na utu wala huruma,,huyo babu yako, pamoja na okello mateso na mauwaji waliyoyafanya dhidi ya waarabu/waislamu wenzetu hayatasahaulika,,, Okello alikuwa anaanzia wakina baba kuwauwa halafu anamalizia kwa wake zao na watoto tena kwa kuwachinja kabsa. Hivi kama ndio ni familia yako wameteketezwa ungeendelea kutetea ujinga!!



(Babu yako, okello na Karume) hawa wote walikuwa kitu kimoja katika mauwaji hayo,,,walifikiri wataishi milele.


Ingia Revolution zanzibar 1964 ujionee walivyouawa kinyama halafu urudi tena kuwatete hao ndugu zako wasiokuwa na utu 😡😡😡
 
Lazima utetee ujinga tu ndio kawaida yako ewe NASWARA/YAHUDI usie na utu wala huruma,,huyo babu yako, pamoja na okello mateso na mauwaji waliyoyafanya dhidi ya waarabu/waislamu wenzetu hayatasahaulika,,, Okello alikuwa anaanzia wakina baba kuwauwa halafu anamalizia kwa wake zao na watoto tena kwa kuwachinja kabsa. Hivi kama ndio ni familia yako wameteketezwa ungeendelea kutetea ujinga!!



(Babu yako, okello na Karume) hawa wote walikuwa kitu kimoja katika mauwaji hayo,,,walifikiri wataishi milele.


Ingia Revolution zanzibar 1964 ujionee walivyouawa kinyama halafu urudi tena kuwatete hao ndugu zako wasiokuwa na utu 😡😡😡
umeanza UDINI tena???waangalieni ndugu zenu huko mashariki ya kati wote waarabu wote waislamu lakini bado wanachinjana mpaka leo!!!
 
Mwanamapinduzi John Okello Baba wa Taifa la Zanzibar aliwalaani. Alisema kwa mliyomfanyia kamwe hamtakuwa Huru.

Kama alivyowalaani nyinyi waTanganyika mliyemtumia ? Sasa mnaanza kupotezana mchana na kupigana marisasi?
 
Kwa taarifa yako majeshi ya Uganda yalikuwa vizuri sana kabla ya uasi.

Vita ilipoanza tulipoteza wanajeshi wengi mno japo taarifa zilifichwa, binamu yangu amepigana na amesimulia mengi mno ambayo serikali haikuweka na haitaweka wazi.

Hivyo unaposema kwani tulizunguka, unafikiri hao jamaa walikuwa dhaifu kiasi hicho?

Vita ina mbinu nyingi, moja wapo ni kumzunguka adui wakati yeye anapambana na wale waliom face... ghafla snashangaa anashambuliwa eneo ambalo asikutegemea.


Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisa. Mie nilishiriki vita hii, niliishia Arua. Mengi sana yamekuwa classified.
 
Back
Top Bottom