Vita vya Kagera 1979: Kwanini Jeshi letu lilipitia mipaka ya Sudan badala ya kukatiza hapo kati kufika Kampala?

Vita vya Kagera 1979: Kwanini Jeshi letu lilipitia mipaka ya Sudan badala ya kukatiza hapo kati kufika Kampala?

Kuna watu wanaamini kuwa Tanzania ni nchi dhaifu sana; akili zakiwehu kabisa. Mkuu wa sasa wa jeshi la Uganda amesoma Monduli.

Sidhani kama ni makosa yao! Maybe ni vile wanashuhudia huo udhaifu wa jeshi “letu ?”
Imani yangu, mtoto hujifunza kwa Baba!

Heshima yako babu!
 
Tulipata misaada ya silaha na fedha za kununulia silaha mpya, lakini siyo misaada ya kuletewa wapiganaji. Huyo aliyedocument hiyo uliyosoma, ana mawazo hayo hayo ya kuandika vitu vya kufikirika bila kuwa na uhakika. Tulikuwa na jeshi linajitosheleza kabisa; ila silaha ndizo tulihitaji kali zaidi ya zilizokuwepo, ndiyo maan uchumi uliharibika kutokana na silaha nyingi tulizonunua kwa kipindi kifupi tu.

Ili silaha ifanye kazi yake haswaa bila hashki ni vyema impate mjuzi asilia (an experienced personel)kutimiza yanayohitajika!!

Kweli babu shule yako madhubuti!! Ubarikiwe!
 
Watanzania wafe wengi na washinde vita?hivi huo ujinga mnasomeaga wapi

Inawezekana!

Ukiumizwa sana (kimwili ama kiroho)mwisho wa siku “ubongo “ unakupa namna ya kujinasua! Ila uthubutu ndio dhamira njema zaidi!!

Heko kwa Mwalimu Nyerere kuwa the best “Motivator “ of all times!! Alijua namna ya kuziamsha ‘hari!’
 
Sisi tulikuwa tufundisha jeshi la msumbiji; tuwaombe nini wanafunzi wetu? Kuna hii hadithi ya kwamba walikuwa wanazijua BM40 kuliko watanzania jambo ambalo halina ukweli wowote. Kanali Kotta alikuwa ni mtaalamu wa mitambo hiyo ya long range gun artilleries na Howitzers kama ulikuwa hujui.

Siwezi kuuliza watu wengine kwa sababu nilikuwa ndani ya saga lenyewe, hao unaowauliza labda nao ni wa kusimuliwa.

Ila pia yawezekana Kanali Kotta nae pia ni “mwanafunzi” wao “hao”!

Najaribu tu kuelewa! [emoji120]
 
Mimi nimekuambia nilikuwapo; sikusimuliwa. Je ni nani wa kumauanini, aliyesimuliwa au aliyekuwapo. Halafu vile vile ni wazi hujui ukubwa wa jeshi letu wakati huo; yaani unaongelea batallion moja kutoka Msumbiji wakati sisi tulikuwa na batallion mbili huko huko Msumbiji na batallion nyingine kule Zimbabwe wakati huo. Usikariri mambo, open your mind utafuta habari harafu uunganishe mwenyewe. Jiulize mambo mawili;

(1) ile batallion tuliyoletewa na msumbiji walikuwa na miili ya chuma kuwa hakuna hata mmoja wao aliyejeruhiwa au kuuwawa. Kama baadhi yao walikufa au walijeruhiwa, je kumbukumbu yao iko wapi?

(2) Je ni kweli kuwa Tanzania hatukuwa waungwana kiasi kuwa baada ya vita hatukututoa shukrani yoyote kwa wapiganaji hao waliotusaidia; yaani sisi ni watu wa ajabu namna ile?

Kuna tatizo kati ya Tz na Msumbiji or may be I’m hallucinating mpaka leo!

Ila.....

Hapo kwenye hizo battalions, kuna uwezekano wowote tukapata “sensa “ ya watu/watanzania hasa upande wa vijana?! Kwamba waliojitolea (Askari wa ziada) ni wangapi na namba halisi ya vijana uraiani enzi hizo ni ngapi??
 
Ila pia yawezekana Kanali Kotta nae pia ni “mwanafunzi” wao “hao”!

Najaribu tu kuelewa! [emoji120]
Hapana; Kanali Kotta alikuwa amesomea Kanada, Israel na Urusi kabla hata Msumbiji haijapata uhuru wakati bado tuna uhusiano na Israel.
 
Kuna tatizo kati ya Tz na Msumbiji or may be I’m hallucinating mpaka leo!

Ila.....

Hapo kwenye hizo battalions, kuna uwezekano wowote tukapata “sensa “ ya watu/watanzania hasa upande wa vijana?! Kwamba waliojitolea (Askari wa ziada) ni wangapi na namba halisi ya vijana uraiani enzi hizo ni ngapi??
Sizijui ila rekodi hizo zipo, kwa sababu kulikuwa na utaratibu nadhani wa kila kijiji au kila kata kutoa idadi kadhaa ya vijana kutoka kwenye jeshi lao la Mgambo. Lakini rekodi hizo ukizitafuta jeshini utazipta; hazikufichwa; na hata list ya askari waliokufa vitani inajulikana.
 
Wanajeshi wengi wa Amini walitokea Sudan wakati huo Sudan ni moja walikuwa wanubi pia kabila lake la kakwa lilikuwa karibu na Sudan mpakani inawezekana base yao ilikuwa huko

Kuhusu uchumi kushuka hivi unaelewa kwanini Marekani baada ya vita huwa anaingia mikataba ama ya kuchukua mafuta au vitu vingine kulipia gharama? Vita yoyote ina gharama na sisi baada ya vita Uganda alitakiwa kutulipa sijui malipo yalifikia wapi ila kuna kipindi museveni aliomba yasamehewe
Wamemaliza kulipa hilo deni,wamelipa kw miaka 35
 
Unaweza ukanipa straight fact (sio porojo) kwamba kwa nini immediately after Kagera War uchumi wa TZ ulishuka mpaka negative 3% (rejea mahindi ya Yanga kutoka Marekani na mchele wa Thailand)

Unaweza kutaja sababu moja plain (usipige story) kwamba kwa nini Nyerere baada ya kuona vita inamshinda, aliamuru Migambo Wote wa mitaani wapelekwe frontline vitani kupigana vita... Wanajeshi walikua hawatoshi?

Ahsante. 1979 ulikua una umri gani kaka?
hii habari ya uchumi haihusiani na wanajeshi kufa vitani. Unadhani wale mgambo walienda front line?!? jeshi linapokuwa vitani kuna kazi nyingi sana zinaendelea huku nyuma
 
Kumbe unakubaliana na maelezo yangu kuwa mchele wa Tailendi umeanza kuingia Bongo baada ya vita ya Uganda.

Halafu, weka jazba pembeni. Kuweka record ni kuwa IDD Amin alivamia mpakani mwa Uganda na TZ (akaingia maeneo ya Kagera)

Unakubali kuwa vita haikua na ulazima?

Kwamba ilikua inatosha kumwondoa adui mpakani arudi kwake, tubaki tukilinda mipaka yetu.

Kulikua na haja gani kwenda mpaka Kampala hadi Sudani huko na kuyaacha majeshi yakilinda usalama huku yakiendelea kutumia rasilimali za Tanzania?

Kwanini baada ya kumkimbiza Amini pale Kagera wasingerudi na kubaki kulinda mipaka tu na kuwaacha Waganda wapambane na uongozi wao?
Kuna mambo mengi huyajui kwa uchambuzi wa intelijensia ya kijeshi kwa wakati huo.

Kwanza kabisa unapaswa kuijua hulka ya adui wetu wa kipindi hicho(Amini), ndio maana Amin aliamua kukimbia baada ya majeshi yetu kuamua kumsaka huko Uganda.

Kwa kifupi ili kudumisha amani kwenye mipaka ya Tz na Uganda ilikuwa ni lazima kumuondoa Amin kwenye kiti na ikiwezekana kumweka mtu wetu

Tungebweteka mpakani ilikuwa na maana KUMPA AMIN MUDA WA KUJIANDAA UPYA NA KUPANGA MIKAKATI YA KUISHAMBULIA TENA. (Kumbuka malengo yake ya kutwaa kagera yaliambatana na interests za washirika wake ili kupata eneo la Minziro kwa kilimo cha umwagiliaji) maana yake kulikuwa na uwezekano wa kuendelea na vita kwa muda mrefu zaidi.

Kumbuka kabla ya vita hii hakuna kitu chochote Tanzania tulikuwa tunahitaji kutoka Uganda ila ni huyu nduli ndiye aliyekuwa mkorofi.

VIJANA KITU AMBACHO HAMJUI AMIN alikuwa na kiu ya kuishambulia Tz kwa muda mrefu kabla ya 1978 (jambo hili wengi hawalijui) nadhani mwaka 1972/74/76(sikumbuki vizuri) Amini aliishambulia Bukoba kwa mabomu ya angani, ila Mzee Nyerere alitumia busara kumaliza huo mgogoro.
 
Kumbe unakubaliana na maelezo yangu kuwa mchele wa Tailendi umeanza kuingia Bongo baada ya vita ya Uganda.

Halafu, weka jazba pembeni. Kuweka record ni kuwa IDD Amin alivamia mpakani mwa Uganda na TZ (akaingia maeneo ya Kagera)

Unakubali kuwa vita haikua na ulazima?

Kwamba ilikua inatosha kumwondoa adui mpakani arudi kwake, tubaki tukilinda mipaka yetu.

Kulikua na haja gani kwenda mpaka Kampala hadi Sudani huko na kuyaacha majeshi yakilinda usalama huku yakiendelea kutumia rasilimali za Tanzania?

Kwanini baada ya kumkimbiza Amini pale Kagera wasingerudi na kubaki kulinda mipaka tu na kuwaacha Waganda wapambane na uongozi wao?
Kazi kumuelimisha RAIA daraja la tatu
 
Kuna mambo mengi huyajui kwa uchambuzi wa intelijensia ya kijeshi kwa wakati huo.

Kwanza kabisa unapaswa kuijua hulka ya adui wetu wa kipindi hicho(Amini), ndio maana Amin aliamua kukimbia baada ya majeshi yetu kuamua kumsaka huko Uganda.

Kwa kifupi ili kudumisha amani kwenye mipaka ya Tz na Uganda ilikuwa ni lazima kumuondoa Amin kwenye kiti na ikiwezekana kumweka mtu wetu

Tungebweteka mpakani ilikuwa na maana KUMPA AMIN MUDA WA KUJIANDAA UPYA NA KUPANGA MIKAKATI YA KUISHAMBULIA TENA. (Kumbuka malengo yake ya kutwaa kagera yaliambatana na interests za washirika wake ili kupata eneo la Minziro kwa kilimo cha umwagiliaji) maana yake kulikuwa na uwezekano wa kuendelea na vita kwa muda mrefu zaidi.

Kumbuka kabla ya vita hii hakuna kitu chochote Tanzania tulikuwa tunahitaji kutoka Uganda ila ni huyu nduli ndiye aliyekuwa mkorofi.

VIJANA KITU AMBACHO HAMJUI AMIN alikuwa na kiu ya kuishambulia Tz kwa muda mrefu kabla ya 1978 (jambo hili wengi hawalijui) nadhani mwaka 1972/74/76(sikumbuki vizuri) Amini aliishambulia Bukoba kwa mabomu ya angani, ila Mzee Nyerere alitumia busara kumaliza huo mgogoro.
Mkuu, sisi vijana tuna mengi sana ya kujifunza kupitia wazalendo kama ninyi.

Ninapenda sana fafanuzi zako katika mada hii.
 
Wazanzibari wamechoka kunyanyaswa,wamechoka kuonewa,wamechoka kutawaliwa na Watanganyika.
Huyu yuko nyuma ya mambo ya dini,lakini ni ukweli ulio wazi kwamba hawa jamaa wanaumia.
Leo hii kuna masheikh wao zaidi ya mia wako ndani,wengine ni wagonjwa,wanateseka,wanadhalilishwa,kesi yao haileweki itakwisha lini...nk.
Jamani,hawa nao ni watanzania,wana haki ya kusikilizwa,wana haki ya kuishi kwa furaha na amani ktk nchi yao,tuwasikilize.

Kulikuwa na mchakato wa kuandika katiba mpya,katiba ya wananchi siyo ya wanasiasa,tumekwama wapi kujipatia katiba yetu nzuri sisi watanzania?
Upo nje ya mada mkuu.

Anzisha uzi wako wa mambo ya Zanzibar kisha uandike haya alafu sisi tutakuja kuchangia huko.
 
Sorry sisemi mimi ni Mapadri wa kanisa lake ndio walioandika vitabu na wakayasema hayo au na wewe huelewi nimeandika kitu gani ??? Rejea post nilizojibu
Chizi hili
 
Back
Top Bottom