Vita vya Kagera: Historia yangu - Sehemu ya kwanza

History nzuri na hongera kwa kua mzalendo... Ila naomba nikuulize Kwanini hiyo sehemu ya Mboma ipo twisted is it true yeye ndie alie shambulia entebe!?!? Na kama sio Kwanini credits haziendi kwa mtu anaestahili!?!?
 
Kumbuka katika vita anayebeba sifa siyo mpigaji bali aliyepanga kwa Gen Mboma alikwenda kutekeleza maagizo ya wakuu wake

Sent from my HUAWEI Y330-U11 using JamiiForums mobile app
 
maelezo kweli ni ya mtu aliyekuwa front line lakini mpangilio mmmhh
 
Hii vita watanzania wanaiandika kivingine na Uganda kivingine...Poleni sana wananchi wa Uganda kwa kilicho wapata baada ya uvamizi wa Tanzania
 
Kumbe Nape uwezo wa propaganda karithi kutoka kwa Dingi. Safi sana.
 
Wakuu vp mbona mnapotosha watu wengine humu coz kila mtu anaongea yake kwani historia ya vita hivi vya 78--79 c ipo kwenye vitabu vya historia kuanzia shule za msingi!!!!!
 
Hii ya kwako imekaa kidini zaidi.
 
handsome wa watu alijificha hukooooooo
 
Namkubali Sana Gen. Sarakikya Juzi nimemuonq kwenye Press ya Mobeyo Ngome apo mpaka nikafirijika Mzee afya bado iko stable Tunamuombea Maisha Marefu mkuu huyu wa Kwanza Wa Majeshi
 
Hii stori imeelezea uhalisia wa vita kuliko stori za vita vya kagera nilizowahi kusoma.
Nimefadhaishwa sana na jinsi Polisi walivyomuua kihuni Gen Kombe mtu ambaye kwa stori hii alijitoa sana kupigania heshima ya nchi.
Karma mkuu, Kombe anahusishwa na mipango ya Kumuondoa mmasai kipenzi cha watu, ila pia hakufika cheo cha general, akahamia TISS kama DG, Kombe kapambana sana hii aka yake ya General Ngono si mchezo
 
Wakuu vp mbona mnapotosha watu wengine humu coz kila mtu anaongea yake kwani historia ya vita hivi vya 78--79 c ipo kwenye vitabu vya historia kuanzia shule za msingi!!!!!
hiyo shule itakua ya kwako na bashite
 
Salute mkuu; maelezo yana sisimua hasa na kurudisha heshima ya makamanda wetu wa.ukweli! Hongereni sana!
 
ni kweli ile haikuwa vita ni fujo tu za wanajeshi wa idd amin dhidi ya dikteta uchwara nyerere
Mna laana nyie vijana wa hotpot na blue band! Mgambo wenyewe wakiwa tight mnajinyea! Maandamano yanatangazwa kila siku hamuendi kisa mnaogopa mabomu ya machozi na virungu. HALAFU MNABWABWAJA TU HUMU JUKWAANI BAADA YA KULA NA KUSHIBA WALI NA MAHARAGE NYUMBANI KWA SHEMEJI YAKO UNAKOISHI!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…