Vita vya Kagera: Historia yangu - Sehemu ya kwanza

Hahaahaa!!! Huyu @Kahtan Mungu anamuona huyu!!!

Halafu unajua hii mada naikumbuka kabisa hii lakini cha kushangaza, sijaziona posts zangu unless kama kulikuwa na mijadala miwili kuhusu Vita vya Kagera though wachangiaji wenzangu bado nawaona!!
Hahahaha,
Wewe Chige ulikuwa unatumia ID nyingine maana huu uzi ni wa mwaka 2013 na ID yako ni 2016
 
Gazeti la Mwananchi nalo limeanza kuelezea habari ya vita hii
 
Jokakuu kitabu cha tatu kiliandikwa na Baldwin Mzirai mwambie baba yetu Echolino
 
Kanal Tumbi kamanda radi ndio alikuwa mkuu wa kikosi cha mizinga
Kanal Laurian Makunda au torpedo kikosi cha majini

..wewe una details ambazo wengine hawana.

..Kitabu kilichoandikwa na Mzirai walishirikiana na Mwenegoha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…