Vita vya Kagera: Historia yangu - Sehemu ya kwanza

Vita vya Kagera: Historia yangu - Sehemu ya kwanza

Kwanza shikamoo! hakika Luten nimefurahi, kwa jinsi mlivopigana km Wayahudi wanavyoichapa Palestine, na mlirudi mlikuwa na hela si kitoto..Baba yangu mdogo alikwemo. chipukizi hujawataja waliwakaribisha kwa mbwembwe!

Huyu Brigedier Kota bado yu hai? wanauhusiano gani na Major KOTA daktari? Major Sanga 823KJ yeye hakuwemo humo,
 
Kwa nini hamkumuua IDD AMIN haraka iwezekanavyo na kuzuia asitimkie Libya?

Je kwa nini hamkuwafutilia mbali mateka wa Libya wasaliti wale? kwa sababu lengo lao wawaue nyinyi. badala yake mkawasafirisha DSM kula bata. Mateka anakula bata?
 
Kwanza shikamoo! hakika Luten nimefurahi, kwa jinsi mlivopigana km Wayahudi wanavyoichapa Palestine, na mlirudi mlikuwa na hela si kitoto..Baba yangu mdogo alikwemo. chipukizi hujawataja waliwakaribisha kwa mbwembwe!

Huyu Brigedier Kota bado yu hai? wanauhusiano gani na Major KOTA daktari? Major Sanga 823KJ yeye hakuwemo humo,
We shangazi unasoma ulichoandika?
Hawa migambo kipi walifanya km sio kufyatua magobole na fujo ikaisha?
Halafu hao waume zako wa kiyahudi asilimia 80% ni mashoga tena wanatafunana vibaya.
Angalia tu na wewe usije ambukizwa hayo maradhi ya kuliwa Tunda.
 
Toka lini Jogoo kafa kwa utitiri??Acha kunishusha cheo mimi Babu yako!!!
Sasa mara ghafla ulitaka tukuite Captain sio.
Kosa uzi wako kufufuliwa na Max?
Migambo ndio waliokwenda Uganda kuanzisha fujo. Na hao hao ndio wenye maneno meengi ya kujisifu.
 
Sasa mara ghafla ulitaka tukuite Captain sio.
Kosa uzi wako kufufuliwa na Max?
Migambo ndio waliokwenda Uganda kuanzisha fujo. Na hao hao ndio wenye maneno meengi ya kujisifu.
Ngoja nikuache maana wewe hukawii kunikosea Adabu!!!
 
Ngoja nikuache maana wewe hukawii kunikosea Adabu!!!
Teh teh teh.
By the way nimefurahi kuona bado uko hai mgambo wetu.
Mungu amekupendelea kuliko wengine.
Inabidi usali umshuruku sana
Usije kulishukuru Sanamu la mzungu bro.
Shukuru MUNGU MMOJA.

Ahsanta.
 
hiyo ya kupigana ukiwa ndani ya maji kwa week mbili,ni balaa.kuna mwanajeshi mstaafu aliyepigana vita hivi aliniambia alitembea kwa miguu umbali wa takribani kilimeter 500 ama zaidi akiwa vitani kuelekea kampala,naomba experience yako pia juu ya hili

Uongo!
Kilometers 500 ni umbali kutoka Dar mpaka Singida.
Ni umbali gani huo kutoka Kagera mpaka Uganda inafika 500 km????
 
kuna col Dominic Nshimanyi aliongoza moja ya vikosi vya infantry naona haujamtaja,baadae alikuja kunyongwa kwa kesi ya mauaji.

Sad story ni kwamba mabint wake wawil ambao nilisoma nao walijiua kwa nyakat tofaut miaka ya 1994 na 2010

Kesi ya mauaji alimuua nani, mwanajeshi mwenzie baada ya kutoka vitani?
 
kuna col Dominic Nshimanyi aliongoza moja ya vikosi vya infantry naona haujamtaja,baadae alikuja kunyongwa kwa kesi ya mauaji.

Sad story ni kwamba mabint wake wawil ambao nilisoma nao walijiua kwa nyakat tofaut miaka ya 1994 na 2010

Si wanasema kuwa Tanzania hakuna raisi aliye sign hati ya mauaji?
 
Asante sana, babu yangu pia alikuwa Luteni. Huyu jamaa Kaahtan sitashangaa kusikia alikuwa mfanyakazi wa Amin upande wa mfua c.h.u.pi za Amin maana analeta jokes kwenye National patriotism.
I am proud of you heros!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

Story ya ku-kopy na ku-paste unaishobokeeeeea!!!
 
Mkuu Echolima,

Zile biskuti mlizokuwa mnakula vitani zilikuwa za nini mbona zilikuwa ngumu sana.

Na yale maharage ya kopo, pamoja na nyama ya kopo, zilikuwa zinatoka wapi.

Naomba unipe darsa kaka.

Akupe darsa gani wakat story yenyewe amekopy na ku-paste.
 
Dah! Nimeisoma hii hadi mwili umesisimka. Ahsante sana kwa kuileta habari hii jamvini na hongera zako nyingi katika kusimama kidete kutetea heshima ya nchi yetu.

Mwili unasisimka??? Kwa story ya kukopy na ku-paste
 
Back
Top Bottom