Mama Debora
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 1,482
- 2,600
Mkuu wengi wetu tumefarijika sana mpaka leo bado nazikumbuka katuni za nduli kwenye magazeti na jinsi gani tulivyokuwa tunamchukia na kumhofu Alhaji Amin miaka hiyo!Pia natupa imani kuwa Bwana Kagame akileta upuuzi wake na atapata zisizoonekana!
Ambacho hujui ni kuwa vita ilichangiwa na udini. Nyerere alitaka Uganda itawaliwe na Mkatoliki mwenzie (Obote) na sio Muislamu (Amini)