Vita vya Kagera: Historia yangu - Sehemu ya kwanza

Mkuu wengi wetu tumefarijika sana mpaka leo bado nazikumbuka katuni za nduli kwenye magazeti na jinsi gani tulivyokuwa tunamchukia na kumhofu Alhaji Amin miaka hiyo!Pia natupa imani kuwa Bwana Kagame akileta upuuzi wake na atapata zisizoonekana!

Ambacho hujui ni kuwa vita ilichangiwa na udini. Nyerere alitaka Uganda itawaliwe na Mkatoliki mwenzie (Obote) na sio Muislamu (Amini)
 

Sasa mbona mpaka leo miaka 7 imepita na kitabu hujaandika?
 

Vita ile hata sijui kwanini tulijipeleka kupigana. imetutia hasara tu. Askari wengi wakafa (hasa pale mto Kagera walivomiminia njugu kwenye mitumbwi) zaidi ya askari 1800 hawakurudi mpaka leo.

Uchumi wetu ukadidimia.

Kenya wakatu overtake mpaka leo hii na hatuwapati tena.

Tatizo udini. Udini. Udini.

Nyerere alitaka Uganda itawaliwe na Mkatoliki mwenzie Obote na sio muislamu Amini.
 
Niletee drafts nitawasaidia kufanyia editing na typesetting. Nilikuwa shabiki sana wa vita ile wakati nikiwa faru brigade miaka hiyo ingawa binafsi sikupelekwa frontline.

Sema we jamaa chai sana!!!
Kuna mahali umesema baba yako ndio alikua mwanajeshi wakati huo.

Hapa unasema wewe ndio ulikua mwanajeshi!!
 
Hii post ya udini imeshaongelewa sana na wahubiri dini hapa na imeshajibiwa na wachangiaji wengi. Hebu fikiria mwanamme mkatoliki akija nyumbani kwako na kukubaka mbele ya mme wako mwislamu (nachukulia kuwa wewe ni mwanamke) unadhani huyo mme wako hatakupigania kwa kusema itakuwa ni udini? Kama hujui jeshi la Uganda lilikuwa na wakristo wengi sana kuliko waislamu; kwa sababu wapiganaji wa amini wengi walikuwa ni wale waliotokea sehemu za Sudan ya kusini ambayo ni ya wakristo tu, ndiyo maana walipigana na Sudani ya Kaskazini kujitenga.

Sema we jamaa chai sana!!!
Kuna mahali umesema baba yako ndio alikua mwanajeshi wakati huo.

Hapa unasema wewe ndio ulikua mwanajeshi!!
Pole kwa kujawa na ghadhabu, nadhani unasoma mambo juu juu tu. Hakuna mahali niliposema kuwa nilikuwa mwanajeshi; nilisema nilikuwa mazingira ya jeshi na wala pia sijasema kuwa baba yangu alikuwa mwanajeshi kwani hakuwahi kuwa mwanajeshi katika maisha yake. Nafikiri labda umesoma post ya mtu mwingine au ulijenga hisia hizo kichwani tu kwa kuungaunga posts hasa kwa vile unasoma ukiwa na negative mindset, hivyo ubongo haufanyi kazi sawasawa sasa.
 
We babu yako huwezi kusema alikuwa mpiga deki wa luteni. Lzm utampa cheo cha boss wake.
Nyie wakuda mpk lini mtakuwa na akili mbovu?
Leo ukweli uko wazi lkn bado mnarudia upumbavu ule ule wa kutoa maneno kwenye vitabu vya tamthilia na kuvileta humu mkidai babu zenu na mama zenu walikuwa wanajeshi!
Samaki wahedi
 
Ndugu mgambo umeulizwa hapo juu.
Huu mwaka wa 7 hujaandika hicho kitabu.
Au bado karatasi zinaleta tabu?
Sema tukufanyie mchango hapa.

Kanuni moja ya MUONGO Inakusumbua inayosema "UKITAKA KUWA MUONGO USISAHAU ULICHOSEMA".!
Sasa tazama unavyojichanganya.!

Teh teh teh teh.
Dah.
 
Yeah! That is the TRUTH unless you have a different version to prove that what was written was not the whole TRUTH.
Truth has to be proven by authentic sources otherwise it remains as a story.
How on earth a different version of a story proves the facts?
You let me down today young man.
 
Siku nyingi kitabu kiko sokoni nataka tena ku-Reprint July mwaka huu!!!
 
Naona Udini unakutesa sana mpaka umefikia kiasi cha kusema uongo mweupe kuwa tulipoteza askari 1800 hiyo idadi uliipata wapi?? Hata hivyo wanajeshi wetu hawakupita hapo kwa mitumbwi kama unavyodai hata hivyo endelea kuteseka na Udini wako ambao hautakusaidia chochote!!
 
Tofautisha UKWELI na Udini.
Nyerere alikwenda Uganda kwa hiari yake?
Uganda ilimhusu nini Nyerere na watanzania?
Acha kuandika vitu kwa hisia.

Kanisa KATOLIKI ndio lililomuamuru Nyerere aende Uganda kumtoa Idd Amini .
Matokeo yake watanzania wakafa km kuku wenye mafua.
 
Mjukuu wangu kahtaan na mwenzako Chuki zenu juu ya Nyerere na Udini wenu haviwezi kabisa kuwasaidia nyinyi endeleeni tu Kuteseka na roho zenu za Chuki.Kwetu sisi kazi waliyotutuma wananchi wa Tanzania tulishaimaliza na tukarudi kishujaa nyinyi endeleeni kuteseka!!!
 
Teh teh teh.
Bi mkubwa naona umeamua kunilia kungu.
Jina lako tu peke yake sio rizki.

Sasa hapa umejenga hoja au umehorojeka.
Haya ndio matatizo ya kuishi kwa shemeji
Akikwambia ufue chupi ya dadako unasema anakutaka . Sasa ule bure vyake bure kazi ya chumbani afanye dadako peke yake? Hata mimi nisingekuacha.
Anyway its been nice knowing you Nicompoop.
 
Yaani ni shida!
Huyu mgambo katusumbua hapa mwaka wa 3 huu na story zake.
Huyu si mgambo ni Luten canal. mwenye mafanikio! JKT ulikuwa nanga sana wewe, hukuelewa vyeo vya jeshi wewe. bichwa zito, na hutaelewa ndo maana kila kitu Mgambo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…