Vita vya Kagera: Historia yangu - Sehemu ya kwanza

Vita vya Kagera: Historia yangu - Sehemu ya kwanza

Echolima,

Umetaja basi la Lupondije umenikumbusha mbali sana mimi binafsi nimeishalipanda sana.

Zamani tulikuwa tunatoka Dar es Salaam kwenda Mwanza na basi Kauma au Tanganyika basi, ukifika Mwanza kwenda Magu au Nyanguge, unapanda Lupondije basi, teh teh teh.

Naomba nikuulize kitu kama kilikuwa cha kweli, wakati mnatoka vitani, mlikuja na vifaa vingi sana radio/tv/friji/magari/vyombo/ ni kweli mliwapora raia wa Uganda.

Nakumbuka mlivyokuwa mnagawa biskuti kwa raia barabarani.

CC; Jasusi, gombesugu, Prof. Ngongo,
Haaa!!!!!1Umenifanya nikumbuke hata Recordplayer yangu ambayo nilikuwa nikiweka santuri 12 harafu yenyewe inadondosha moja baada ya nyingine.Ndugu penye wengi pana mengi ni kweli baada ya kuteka KAMPALA mwezi APRIL 1979 Kweli kabisa kulikuwa na watu ambao hawakuwa waaminifu na hii ni kawaida kwa majeshi mengi askari wengi huwa wanashindwa kuuzuia Munkari hivyo kupelekea kufanya vitu ambavyo vinasababisha Uvunjifu wa Amani kama vile kupora vitu na hata kuwafanya vibaya Wanawake hii ni kwa majeshi yote Duniani Hasa vitendo kwa wanawake inabidi tu maana chukulia tu watu wamekaa Mstuni miezi sita siku askari wakiingia mjini lazima kunakuwa na patashika tu.Lakini vitendo hivi haviruhusiwi kabisa ila mara nyingi vinafanywa na Askari.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu wangu Lt Echolima asante sana kwa kutupatia uzoefu wako wa vita vya Uganda.Ningeomba kama ikiwezekana uandike kitabu najua wewe ni mwanajeshi si mwandishi wa vitabulakini kupitia uzoefu wako unaweza kumtafuta mwandishi akakusaidia.

Nina maswali mawili.

(a) Umesema umestaafu jeshi ukiwa na cheo cha Lt.Je wakati wa vita ulikuwa na cheo gani ?.Ni kwanini ulistaafu jeshi ukiwa na cheo kidogo Luteni hasa ukizingatia wewe ulikuwa na mafunzo ya kijeshi ndani na nje.Wanajeshi wengi waliopigana vita vya Uganda walistaafu wakiwa Lt Col,Col au zaidi.

(b) Unadhani leo Tanzania ikiingia vitani na Rwanda au Malawi mshikamano ulioonyeshwa baina ya viongozi,wananchi na wanajeshi wakati wa vita vya Uganda unaweza kujirudia ?Kama jibu ni ndiyo taja sababu kama jibu ni hapana nipe sababu.

(c) Umekiri mwenye jeshi la Uganda lilikuwa na vifaa vya kisasa kuliko jeshi letu,vitabu vingi vinavyozungumzia vita ya Uganda vinakiri wazi jeshi la Uganda lilikuwa na vifaa vya kisasa kuzidi jeshi letu.Je baada ya vita mpaka unastaafu hali ikoje ?.Kuna maboresho ya vifaa vya kisasa kuendana na wakati au ndiyo tunasubiri vita ikianza tunakurupuka.Mfano Uganda wana ndege za kisasa Su 30 4 generation .JWTZ bado tunatumia MIG 21 2 generation hapo nimegusia ndege bado hatujaenda upande wa Tanks and .........

(d) JWTZ wakati wa Mwl Nyerere na baadae Mzee Ruksa na Mkapa muundo na vyeo ulikuwa kama ifuatavyo.[1] CDF General [2] Chief of Staff Lt General halafu wanafuata [3] Major Genaral kama wakuu camanding za maji,angaa JKT na ardhini halafu [4] Baada ya hapo wanafuata Brigadier wasiozidi 10.Kipindi cha Kikwete CDF General halafu Lt General wako 4 halafu Major General labda 15 Brigadier nadhani wanafika 30.Swali hii imekaa vipi ni kwamba majukumu ya kijeshi yamepanuka sana au siasa imeingia jeshini ?.Mfano Chief of personnel ni Major General na Director of personnel ni Major General ? .
 
Lt. ni kweli mmoja wa makamanda Marwa ama Msuguri, katika kuonyesha madhuni na kusudi la vita, aliwaambia wapiganaji kuwa ni bora wote "wapiganaji" wavuke daraja la mto kagera na ikiwezekana livunjwe(libomolewe) ili askari yoyote asirudi nyuma hadi vita iishe!
Hiyo ni kweli kabisa mwanzo mwanzo tu wa vita tuliporudi nyuma wengine nikiwepo mimi mwenyewe tulikimbia mpaka tukavuka Daraja la kagera na hii ni hatari sana hivyo ndiyo maana MAKAMANDA Walifikiria hata kufanya OPTION hiyo lakini ilisaidia sana Maana kama MPIGANISHAJI hutakiwi kuacha watu waogope na kukimbia uwanja wa vita kwa sababu yoyote ile maana ukiwa vitani ni DIED OR ALIVE.
 
Asante kwa history nzuri na ya kusisimua kuhusu mashujaa wa Vita vya Kagera isipokuwa tu amesahaulika mtu mmoja nyeti sana Nchini naye ni Mh Rais Kikwete na ningependa kufahamu namna alivyoshiriki katika hivyo vita na alikuwa katika Battalion ipi.Asante.

kabla hujaambiwa uhusika wa raisi kikwete, nenda kamwambie kagame plan ya vita ishamalizika na mpaka tarehe ya yeye kupelekwa ICC ipo tayari! tunasubiri baragumu la vita.
 
Echolima! Mbali na Lt. Col. Ben Msuya kuongoza utekaji wa Mji Mkuu wa Uganda - Kampala., Je ? Kuna Hitoria yeyote nyuma ya Vita vya Uganda ya Kamanda wa Kiafrika Kuongoza Jeshi la Waafrika kuteka Mji Mkuu wa Kiafrika?!
 
Mkuu wangu Lt Echolima asante sana kwa kutupatia uzoefu wako wa vita vya Uganda.Ningeomba kama ikiwezekana uandike kitabu najua wewe ni mwanajeshi si mwandishi lakini kupitia uzoefu wako unaweza kumtafuta mwandishi akakusaidia.

Nina maswali mawili.

(a) Umesema umestaafu jeshi ukiwa na cheo cha Lt.Je wakati wa vita ulikuwa na cheo gani ?.

(b) Unadhani leo Tanzania ikiingia vitani na Rwanda au Malawi mshikamano ulioonyeshwa baina ya wananchi na wanajeshi wakati wa vita vya Uganda unaweza kujirudia ?Kama jibu ni ndiyo taja sababu kama jibu ni hapana nipe sababu.

(c) Umekiri mwenye jeshi la Uganda lilikuwa na vifaa vya kisasa kuliko jeshi letu,vitabu vingi vinavyozungumzia vita ya Uganda vinakiri wazi jeshi la Uganda lilikuwa na vifaa vya kisasa kuzidi jeshi letu.Je baada ya vita mpaka unastaafu hali ikoje ?.Kuna maboresho ya vifaa vya kisasa kuendana na wakati au ndiyo tunasubiri vita ikianza tunakurupuka.Mfano Uganda wana ndege za kisasa Su 30 4 generation .JWTZ bado tunatumia MIG 21 2 generation hapo nimegusia ndege bado hatujaenda upande wa Tanks and .........

(d) JWTZ wakati wa Mwl Nyerere na baadae Mzee Ruksa na Mkapa muundo na vyeo ulikuwa kama ifuatavyo.[1] CDF General [2] Chief of Staff Lt General halafu wanafuata [3] Major Genaral kama wakuu camanding za maji,angaa JKT na ardhini halafu [4] Baada ya hapo wanafuata Brigadier wasiozidi 10.Kipindi cha Kikwete CDF General halafu Lt General wako 4 halafu Major General labda 15 Brigadier nadhani wanafika 30.Swali hii imekaa vipi ni kwamba majukumu ya kijeshi yamepanuka sana au siasa imeingia jeshini ?.Mfano Chief of personnel ni Major General na Director of personnel ni Major General ? .
Kuhusu kitabu ndiyo lengo langu ndiyo maana nimeamua kuanzia hapa kwa Great-Thinkers ili niweze kupata ushauri wa HOW TO START WITH...(A)Wakati vita inaanza nilikuwa nina miezi mitatu toka nitoke CTU bado DAMU changa kabisa hivyo nilienda vitani nikiwa Luteni Usu.(B)Kama leo hii nchi yetu ikiingia vitani na Rwanda au Malawi Najua vita hii itakuwa ngumu sana Hizi-1.Tecknolojia ya kivita sasa hivi iko juu sana sana ili kuziba pengo hilo linatakiwa Jeshi letu liende na wakati ki-Tecknolojia.2.Kuhusiana na Mshikamano wa wananchi mimi naamini ikitokea vita wananchi wataliunga Mkono Jeshi Lao naamimi wataweka UZALENDO KWANZA.Na ili kuepuka hili lazima Elimu itolewe kuelimisha watu Umhimu wa kuwa kitu kimoja mimi nilishangaa sana mimi nilipotoka Vitani wananchi wa kijiji changu walijitolea ng~ombe 7 kwa ajili yangu peke yangu na huko Mstari wa Mbele kulikuwa na mifugo mingi sana ilitolewa na wananchi kwa hiari yao kudhamini mchango wetu kwao.(c)Wakati natoka mimi hali kwa kweli sikuipenda lakini kwa sasa hivi naweza kusema Jeshi letu limeboreka sana kuna tatizo la hapa na pale la baadhi ya watu KULA BILA KUNAWA hii ni hatari sana kwa Jeshi letu,Lakini kwa sababu Mkuu wa kaya naye ni MJESHI basi anaweza kuona namna ya kuliimarisha jeshi letu.
 
Last edited by a moderator:
Echolima! Mbali na Lt. Col. Ben Msuya kuongoza utekaji wa Mji Mkuu wa Uganda - Kampala., Je ? Kuna Hitoria yeyote nyuma ya Vita vya Uganda ya Kamanda wa Kiafrika Kuongoza Jeshi la Waafrika kuteka Mji Mkuu wa Kiafrika?!
Kutokana na kumbukumbu zangu Afande Ben amevunja Record Kweli hii ni fahari kwetu kuingia nchi ya ugeni na kupokelewa Kishujaa nalipongeza sana Jeshi letu.
 
Mkuu Echolima samahani nilifanya maboresho kidogo katika bandiko langu #62.Ni kwanini ulistaafu na cheo cha chini sana hasa ikizingatiwa wewe ullikuwa na mafunzo ya ndani na nje ?.
 
Last edited by a moderator:
Echolima! Mbali na Lt. Col. Ben Msuya kuongoza utekaji wa Mji Mkuu wa Uganda - Kampala., Je ? Kuna Hitoria yeyote nyuma ya Vita vya Uganda ya Kamanda wa Kiafrika Kuongoza Jeshi la Waafrika kuteka Mji Mkuu wa Kiafrika?!
Kutokana na kumbukumbu zangu Afande Ben amevunja Record Kweli hii ni fahari kwetu kuingia nchi ya ugeni na kupokelewa Kishujaa nalipongeza sana Jeshi letu.
 
Mkuu Echolima samahani nilifanya maboresho kidogo katika bandiko langu #62.Ni kwanini ulistaafu na cheo cha chini sana hasa ikizingatiwa wewe ullikuwa na mafunzo ya ndani na nje ?.
Nilipata kazi nje ya nchi.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Echolima,

Unazingumziaje operation chakaza iliyoanza tarahe 25 OCT 1978 na kumalizika 25 Jul 1979.

Kitu gani ambacho unakikumbuka mpaka sasa katika operation hiyo.

Ni kweli tulipoteza wanajeshi wengi katika mapambano.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Echolima,

Unazingumziaje operation chakaza iliyoanza tarahe 25 OCT 1978 na kumalizika 25 Jul 1979.

Kitu gani ambacho unakikumbuka mpaka sasa katika operation hiyo.

Ni kweli tulipoteza wanajeshi wengi katika mapambano.
 
Last edited by a moderator:
Lt. hii ilikuwa ni friendly talk au just a commanding talk, nitapata wapi hotuba yote ya mwalimu wakati akitangaza vita pale Diamond Jubelee, ila ulijisikiaje wakati hotuba hio inatolewa
Hiyo ni kweli kabisa mwanzo mwanzo tu wa vita tuliporudi nyuma wengine nikiwepo mimi mwenyewe tulikimbia mpaka tukavuka Daraja la kagera na hii ni hatari sana hivyo ndiyo maana MAKAMANDA Walifikiria hata kufanya OPTION hiyo lakini ilisaidia sana Maana kama MPIGANISHAJI hutakiwi kuacha watu waogope na kukimbia uwanja wa vita kwa sababu yoyote ile maana ukiwa vitani ni DIED OR ALIVE.
 
Lt. hii ilikuwa ni friendly talk au just a commanding talk, nitapata wapi hotuba yote ya mwalimu wakati akitangaza vita pale Diamond Jubelee, ila ulijisikiaje wakati hotuba hio inatolewa
Hiyo ni kweli kabisa mwanzo mwanzo tu wa vita tuliporudi nyuma wengine nikiwepo mimi mwenyewe tulikimbia mpaka tukavuka Daraja la kagera na hii ni hatari sana hivyo ndiyo maana MAKAMANDA Walifikiria hata kufanya OPTION hiyo lakini ilisaidia sana Maana kama MPIGANISHAJI hutakiwi kuacha watu waogope na kukimbia uwanja wa vita kwa sababu yoyote ile maana ukiwa vitani ni DIED OR ALIVE.
 
Lt. hii ilikuwa ni friendly talk au just a commanding talk, nitapata wapi hotuba yote ya mwalimu wakati akitangaza vita pale Diamond Jubelee, ila ulijisikiaje wakati hotuba hio inatolewa
Ninayo kwenye VHS NITAIFANYIA maalifa ili niitupie hapa kama sikosei ilikuwa 06-11-1978,Kwa sababu ilikuwa ni mara yangu ya kwanza kuingia Vitani kweli niliogopa sana lakini kwa kuwa nilikuwa kiongozi ilibidi kujikaza kisabuni tu,lakini hatupa ya Mwalimu ilikuwa ya kutia moyo sana sana,kilichonitia moyo sana ni Jamaa waliopigana Msumbiji kweli sisi wageni kwenye vita walitutia moyo sana sana.
 
Thanks mkuu for sharing with us, it has blessed me man made me feel good especially now ambapo tumepigwa cha tatu na hao hao The Cranes Ug
 
Kwa hii migogoro tuliyonayo baina ya rwanda na malawi,huoni kuwa vita sio suluhisho? Kwa sababu kama tukienda pigana na rwanda lengo ni nini?kuingia na kumtoa rais wa nchi hiyo?na kwa malawi vivyo hivyo? Na athari za kiuchumi kwa nchi yetu vp?
 
Back
Top Bottom