Vita vya Kagera: Historia yangu - Sehemu ya kwanza

Vita vya Kagera: Historia yangu - Sehemu ya kwanza

Hii ilitokea sana kwenye vikosi vingi maana kipindi hicho kilikuwa cha masika na mwaka huo ulikuwa na mvua nyingi sana kama Infrantry yaani askari wa miguu ilibidi kutembea kipindi chote cha mapambano na ndicho kilichomfanya Kamanda MWITA Akaitwa KAMBALE Maana alipigana kipindikirefu wakiwa kwenye maji hiki ni kitu cha kawaida kwa Infrantry.kilichokuwa kinatafutwa ni ku-WIN THE APPOTUNITY ya kumshinda adui.
hiyo ya kupigana ukiwa ndani ya maji kwa week mbili,ni balaa.kuna mwanajeshi mstaafu aliyepigana vita hivi aliniambia alitembea kwa miguu umbali wa takribani kilimeter 500 ama zaidi akiwa vitani kuelekea kampala,naomba experience yako pia juu ya hili
 
Nshimanyi na wengine wengi sana wametajwa kwenye sehemu ya pili ya historia hii vuta subira nitaitoa mda si mrefu.
kuna col Dominic Nshimanyi aliongoza moja ya vikosi vya infantry naona haujamtaja,baadae alikuja kunyongwa kwa kesi ya mauaji.

Sad story ni kwamba mabint wake wawil ambao nilisoma nao walijiua kwa nyakat tofaut miaka ya 1994 na 2010
 
Nshimanyi na wengine wengi sana wametajwa kwenye sehemu ya pili ya historia hii vuta subira nitaitoa mda si mrefu.

asante kaka watoto wake used to be proud of their father lakini baadae wote wali commit suicide!very beutiful young ladies,kweli karma is a bitch na ukiishi kwa upanga utaish kwa upanga
 
Hii historia ntaitunza kwa ajili ya mwanangu ambaye kwa sasa ana 3yrs. Its very interesting!
 
asante kaka watoto wake used to be proud of their father lakini baadae wote wali commit suicide!very beutiful young ladies,kweli karma is a bitch na ukiishi kwa upanga utaish kwa upanga
Habari hiyo kwenye changamoto na Vituko kwenye uwanja wa vita nimeelezea kwa kirefu sana hii inatokana na madhara yaliyowapata askari waliopigana vita hii itkuwa sehemu ya pili
 
Asante sana, babu yangu pia alikuwa Luteni. Huyu jamaa Kaahtan sitashangaa kusikia alikuwa mfanyakazi wa Amin upande wa mfua c.h.u.pi za Amin maana analeta jokes kwenye National patriotism.
I am proud of you heros!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Kwenye sehemu ya pili nitajikita zaidi kwenye medani za kivita vituko na mikasa kwenye uwanja wa vita vya KAGERA.
echolimo,

..kuna vitabu 3 kuhusu vita vya Kagera.

..kuna kimoja kimeandikwa na waingereza waandishi wa habari.

..halafu kingine kimeandikwa nadhani na Lt.Col.Ngatuni.

..kitabu cha tatu nimesahau kimeandikwa na nani, sijakiona muda mrefu, lakini nakitafuta sana. kimeandikwa kwa kiswahili na kiko very detailed kwa kumbukumbu zangu. unaweza kunikumbusha kuhusu kitabu hicho na wapi naweza kukipata??

..tafadhali, tafadhali, andika kitabu au hata vitabu kuhusu hii vita. mlifanya kazi KUBWA sana and I dont think it has been adequately documented.

..wale majenarali wote walioongoza vita walitakiwa waandike experiences zao kuhusu vita ile. zaidi, walitakiwa wawe wanazunguka ktk vyuo mbalimbali vya kijeshi kutoa mihadhara.

..andikeni hata operation za Seychelles, Comoro[nadhani walikwenda mara mbili], Msumbiji, na Zimbabwe.

NB:

..ambush ya Lukaya, maandilizi yake, washiriki wake, etc etc, inaweza kuwa kitabu peke yake.

cc: gobore, Moshe Dayan, Shwari, Jasusi, Mzee Mwanakijiji
 
Last edited by a moderator:
Jokakuu nakushukuru sana kwa ushauri wako,umenikumbusha wale askari toka uingereza waliovuka mpaka nakushikiliwa na wanajeshi wa IRAN siku walipoachwa huru wengine waliamua kuandika kuhusiana na tukio hilo na wengine waliuza habari kwenye mashirika ya habari.
Kuhusu kitabu mimi sina ila nitakutafutia kwa jamaa zangu wa karibu.Ambush ya LUKAYA ipo itaambatana na picha.
 
Jokakuu nakushukuru sana kwa ushauri wako,umenikumbusha wale askari toka uingereza waliovuka mpaka nakushikiliwa na wanajeshi wa IRAN siku walipoachwa huru wengine waliamua kuandika kuhusiana na tukio hilo na wengine waliuza habari kwenye mashirika ya habari.
Kuhusu kitabu mimi sina ila nitakutafutia kwa jamaa zangu wa karibu.Ambush ya LUKAYA ipo itaambatana na picha.
 
Mkuu Echolima hii story umeandika wewe kwa mkono wako? Naona ina mtiririko mzuri lakini naona kuna maeneo imeandikwa kwa kingereza kizuri lakini wewe mwenyewe unapocoment Kitu kwa kingereza nakuona kama kingereza chako sio kizuri sana. Hayo Maneno ya kingereza nani kayachomekea katikati?
 
Kwangu mimi kiingereza ni lugha ya kigeni si mtaalaamu kama wewe au wengine pamoja na kwamba naweza kuandika historia hii kwa kiingereza najua naweza sehemu kukosea, labda kwa faida yako nimesoma Marekani kwa mwaka mmoja Israel miaka mitatu na iliyokuwa USSR UKRANE Mwaka mmoja hivyo kuchapia kwa kiingereza naweza kukosea tu maana si lugha ya mama.
Mkuu Echolima hii story umeandika wewe kwa mkono wako? Naona ina mtiririko mzuri lakini naona kuna maeneo imeandikwa kwa kingereza kizuri lakini wewe mwenyewe unapocoment Kitu kwa kingereza nakuona kama kingereza chako sio kizuri sana. Hayo Maneno ya kingereza nani kayachomekea katikati?
 
Back
Top Bottom