Zero One Two
JF-Expert Member
- Sep 16, 2007
- 9,346
- 3,028
Wandugu, salam za mida hii.
Natafuta hotuba ya "SABABU TUNAYO, NIA TUNAYO NA UWEZO TUNAO."
Nataka kusikia hizo "sababu tunazo" na hoja ya Rais ya kwenda vitani kwa mapana na urefu, badala ya kumbukumbu ya mstari mmoja tuliyokaririshwa toka udogoni.
Nitangulize ahsante.
Natafuta hotuba ya "SABABU TUNAYO, NIA TUNAYO NA UWEZO TUNAO."
Nataka kusikia hizo "sababu tunazo" na hoja ya Rais ya kwenda vitani kwa mapana na urefu, badala ya kumbukumbu ya mstari mmoja tuliyokaririshwa toka udogoni.
Nitangulize ahsante.