Labda tunasahau, Idi Amin aliweza vipi kuwa rais mara ya kwanza, tusije kuwa tunaruka ssehemu ya historia. Maana watu wanazungumzia Nyerere alitaka kumrudisha Obote lakini hawatuambii kwa misingi gani au Obote alikuwa na haki gani ya kurudishwa madarakani.
Sijui kama umepata nafasi ya kusoma hotuba ile ya kutangaza vita. Watu wengi wanakumbuka maneno ya "nia tunayo" lakini hawakumbuki sababu zilizotolewa.
Asante kuwa unakubali lengo ni Obote, whatever Amin did that time prime source was Obote was in our land, this made Amin unrest! the question here is how far Nyerere went to prevent this war, is there any written report/hostory. documents that Nyerere did this and that to prevent this war?? will appreciate for that!
Waberoya,
..naweza kusema kwamba kitendo cha Mwalimu kumkaribisha Obote, na kujaribu kumrudisha madarakani 72/73 kiliifanya Tanzania na Nyerere kuwa target ya vituko vya Idi Amini.
..NB:
..inawezekana Bunge la Tanzania, au CCM [miaka ile chama kilikuwa kimeshika hatamu] walibariki vita vya kumngoa Amini. sina uhakika na hili. lakini kuna maeneo mengine ambayo JWTZ walipelekwa na si bunge wala chama vilishirikishwa. Raisi wetu ana madaraka makubwa kupindukia.
..
Joka kuu ala kumbe kifupi cha jina lako ni JK!!
Thanks for this piece of information, we are looking back so that we canb predict and evaluate how are we doing now. Briefly you have decribed that Nyerere was confident and trouble shooter this is a quality of any good leader.
However, in your information it seems you have relied on 'mwalimu did this' or mwalimu did that...this is where my problems arises
Je ni nani aliamua Obote akaribishwe ilikuwa Nyerere kama Nyererere au Nyerere kama rais wa nchi! I mean decision za maamuzi mengi inaonyesha ilikuwa personal zaidi na hatuonyeshwi kwenye historia ( au mimi sijaona) kuwa kulikuwa na organ ya kufanya maamuzi!!!
Mathalan vita ya ghuba, iraq ambavyo USA aljiingiza, inaonekana kuna organ zinafanya maamuzi au kupitisha maamuzi ya rais! I bet you, kuna wengi leo hii hawakufurahishwa na yale maamuzi ya vita!!! they were blinded by good speech 'nia tunayo' baada ya vita kila mtu akaanza kulia na hata leo hii tuna suffer!! my question is HAKUKUWA NA ARGUMENT ZOZOTE ZA twende au tusiende??
Leo hii Kikwete anafanya very same thing, mara kwenda kuokoa comoro sijui wapi, wanajiamulia amulia tu, zikifika athari tunalia sote!!
je japo Obote alikuwa nchini, intelijinsia hazikuonyesha kuwa anything like that might happen?? mpakani hakukuwa na ukilinzi?
Nani alisimamia usuluhishi wa Mogadishu? je huyu mpatanishi hakuwa consulted baada ya vita...I BELIEVE OAU WANGEONA KABISA IDD AMIN AMEVUNJA MKATABA WA AMANI, BASI OAU INGEKUWA UPANDE WA NYERERE!! what happened there..... AU OAU ilichakachuliwa?? kama OAU ilichakachuliwa Nyerere alichukua hatua gani baada ya vita?? kuendela kuwa mwanachama?? what for??? kuna mwenye info?? sijapata jibu la kuridhisha nafsi yangu, japo maswali haya yanazua hisia labda Nyerere hapendwi la! lets discuss FACTS!!!