Mkuu ritz,
Upo serious au unatania?! Ina maana ni kweli watu walikuwa wanalazimishwa kuvaa t-shirt za UPC?! Tell me u're kidding!
Mkuu ritz,
Upo serious au unatania?! Ina maana ni kweli watu walikuwa wanalazimishwa kuvaa t-shirt za UPC?! Tell me u're kidding!
Ukipewa ukaambiwa uvae ni sawa na kulazimishwa uvae?Na kuvua ni the same way?We kweli "maharagwe ya mbeya maji mara moja"Mkuu NasDaz
Watu walikuwa hawalazimishwi kwa nguvu lakini wataki unapewa unaambiawa uvaae bahati mbaya zaidi watu wengi walikuwa hawana nguo walikuwa wanaomba mbili mbili mpaka tatu mkuu wewe ukubahatika kuvaa?...swali langu je ililukuwa sawa raia wa Tanzania kuvalishwa t-shirts za Apolo Milton Obote.
Hii ni duplicate, "mind the server"Mkuu NasDaz
Watu walikuwa hawalazimishwi kwa nguvu lakini wataki unapewa unaambiawa uvaae bahati mbaya zaidi watu wengi walikuwa hawana nguo walikuwa wanaomba mbili mbili mpaka tatu mkuu wewe ukubahatika kuvaa?...swali langu je ililukuwa sawa raia wa Tanzania kuvalishwa t-shirts za Apolo Milton Obote.
William
Wewe ni msomi kila uandishi una agenda na kila agenda utumika kama propaganda machine; kama uliwahi kuongea na Binaisa na Lule hilo hatuwezi kulithibitisha wote ni marehemu (R.I.P) ukweli wa hilo unalijua wewe binafsi; labda nikuulize tu mbona umelitoa leo hii na si jana; "halafu mnakuja watu wazima hapa mnataka kutudanganya na kututisha na maneno mengi uongo uongo as if wote hapa ni watoto wadogo, kama mmezidiwa hoja ni kukaa pembeni tu"! Hapa hatutishani tunadebate kutafuta ukweli wa hoja; katika mada yako unadai vita vimetugharimu hadi leo ninachotaka kukwambia tu kabla Mwl. Nyerere hajaachia madaraka alifanya kazi kubwa ya kuhakikisha madeni yetu na Urusi na China yanasamehewa kitu ambacho alifamikiwa kwa kiasi kikubwa; nimegusia ufisadi ili ujue nini kinachotugharimu watanzania umejaribu kuhusisha gharama vita ndio inayotugharimu umejaribu kukwepa ukweli watanzania wanajua nini kinachowagharimu; Mkuu unapo debate ni wigo mkubwa yataingia yaliyomo na yasiyokuwamo umesoma hilo kwenye humanities; nimesema hizo ni propaganda za wazi najua unaelewa vyema siasa na propaganda vinamix bila matatizo. HIZI NI PROPAGANDA KWANI ULIANZA NA BIAFRA NA SASA VITA NA IDD AMIN HIVI WEWE KAMA MTANZANIA HUNA HATA MOJA ZURI LA KUMJADILI NYERERE? NAAMINI YAPO MENGI SANA ALIYOYAFANYA NYERERE AMBAYO YALIKUNUFAISHA NA YANAENDELEA KUKUNUFAISHA HADI LEO HII. Tuendelee na hoja
Chama
Gongo la Mboto DSM
sasa hapa naona unarudia kusema ulichosema bila kusema chochote. Unaposema "serious crime" una maanisha kama kitu gani? NIpe japo mfano mmoja tu wa kitu ambacho unaki-concider "serious crime" ambayo ingehalalisha Amin kuondolewa madarakani kwa vita. Nadhani watu wengi hawajachukua hata muda kusoma historia ya vita ya Uganda kutoka kwa macho ya mtu mwingine. Vita ya Uganda imeandikwa na kufanyiwa utafiti na wanasheria na wasomi mbalimbali kwani kwa kiasi kikubwa inafanana sana na vita ya kwanza ya Iraq kuiondoa Kuwait. Napendekeza usome utafiti huu unaohoji kwa kisomi zaidi kama TAnzania ilipigana a "just war" au vipi. BONYEZA HAPA KUJISOMEA
Ukipewa ukaambiwa uvae ni sawa na kulazimishwa uvae?Na kuvua ni the same way?We kweli "maharagwe ya mbeya maji mara moja"
Unasema hawakulazimishwa kwa nguvu, waliambiwa wavae, wakawa wanaziomba, hapo ndo kuvalishwa kivipi?
Ukiambiwa uvue nguo, usipolazimishwa, ukavua, utasema ulivuliwa nguo?
sasa kama unakubali kuwa Idi Amin alikuwa mwendawazimu unashindwaje kuamini ukweli kuwa Amini ndiye aliyeanza uchokozi au hujui tabia za kiwendawazimu? asiyejua tabia za kiwendawazimu hawezi akawa sio mwendawazimu!
Mtu alieweza kupora mali za waasia walizochuma kwa jasho lao kisha kuwafukuza na kugawa mali hizo kwa rafiki zake unamchukuliaje? ukitaka ukweli waulize waganda waliokuwepo enzi za Amin watakupasha ukweli, na jiulize kwanini waganda waliyaunga mkono majeshi ya TZ na kuwashangilia na kuwaita wakombozi wao? wewe unadhani walikuwa wamekombolewa kutoka kwenye nini?
Acheni kuja na historia za kutunga zisizo na mashiko!
Kama Nyerere alikuwa mchokozi kwanini OAU au UNO hazikumlaani!? acheni hoja za kipuuzi ambazo ambazo zinaweka bayana ufinyu na umbumbumbu wa tafakari zenu.
Mkuu NasDaz
Watu walikuwa hawalazimishwi kwa nguvu lakini wataki unapewa unaambiawa uvaae bahati mbaya zaidi watu wengi walikuwa hawana nguo walikuwa wanaomba mbili mbili mpaka tatu mkuu wewe ukubahatika kuvaa?...swali langu je ililukuwa sawa raia wa Tanzania kuvalishwa t-shirts za Apolo Milton Obote.
Avatar yako na ubongo wako havina tofauti.Wewe kweli maharagwe ya Kibosho nadhani utakuwa umeshiba Kitawa au Sohoo.
Mie nimeuliza ni sawa raia wa Tanzania kuvalishwa t-shirt za Obote hakiamasisha mapambano ya chama chake kutokea Tanzania..badala ya kujibu unaleta vioja.
your problem is that you don't read and understand things...ungesoma post yangu mpaka mwisho na kuelewa ungejua jibu langu......na pia ungejijibu...yaani ulivyo mediocre..umeacha ku quote jibu langu na ume quote pre-amble ya jibu(kwa makusudi unayoyajua)....jifunze kusoma na kuelewa vitu...it will help you...don't entertain mediocrity....- Mkuu hlod on a second, hapa tunakata ishus za policies za Mwalimu na effect yake to this Nation, hapa tunakata ishu ya kumpiga Amin na wewe unaweza kufungua ya mazuri ya MWalimu, otherwise ni vyema ukasema uzuri wa kumsambulia Amin mpaka ndani ya nchi yake, kuliko kuwaamulia wengine what to say na what to writte, that is never the JF's Mission!
William.
Kuna mahali ukisoma unajiuliza huyu aliyeandika amelipwa kiasi gani! Yaani ufisadi huu wa kutisha bado mtu anapata ujasiri wa kusema si kiini cha matatizo, na anataka kutuaminisha kuwa ni matokeo ya utawala wa awamu ya kwanza. Hivi kipindi cha utawala ule kulikuwa na ufisadi wa kiwango hiki? Hizi chuki mbona hatari sana.
Saadam Hussein aliingia Kuwait, kisha Marekani wala sio Kuwait walopigana ila Marekani walikuja kumwondoa na kuingia hadi Iraq wala sii ugonvi wao. Je, Marekani walivunja sheria?
It's all about UHURU, HAKI na USAWA ukiweza kuviona hivyo na kuvianisha kwa nani, utaweza kupembua mchele toka ktk pumba.Karl Peter alivamia Dola ya wahehe, je alivunja sheria?
Hivi ilikuwa inahusu nini sisi raia wa Tanzania kulazimishwa kuvaa T-Shirts za Uganda People's Congress (UPC).
Saadam Hussein aliingia Kuwait, kisha Marekani wala sio Kuwait walopigana ila Marekani walikuja kumwondoa na kuingia hadi Iraq wala sii ugonvi wao. Je, Marekani walivunja sheria?
Je vipi kuhusu Hitler si aliondolewa na majeshi ya NATO au, Hao Taliban wameondolewa na nani?..Nuriega, kina Milosovic na kadhalika. Iweje kweli jambo limetutokea sisi wenyewe na tukachukua jukumu la kulimaliza sisi wenyewe leo hii liwe swala la sheria na kufikiri wakati Idd Amin alivamia nchi yetu na kuua watu kibao huko Bukoba. Kapiga mabomu Mwanza nikiwa nimelala nyumba tatu tu toka pale yalipoangukia au sisi hatukuwa Watanzania kihivyo?..Hivi lini Ubinafsi wenu utakwisha na mkaweza kuyatazama maswlaa haya kwa mabana zaidi?Bila shaka unazungumzia Gulf War (1991) ambayo ilipiganwa na Bush Sr. Marekani (NATO) hawakuvunja sheria kwavile vita ile ilikuwa na baraka za UN. Hata hivyo, NATO walichofanya ni kumuondoa tu Saadam toka Kuwait na hakwenda mbali zaidi ya hapo. Endapo wangefikia hatua ya kumng'oa Saadam madarakani kama ambavyo alifanya Bush Jr basi vita ile ingekuwa na tafsiri tofauti.