Facts about Uganda-Tanzania war
1. Source na mchokozi alikuwa Nyerere
2. Nyerere hakupata support ya wanachama wa OAU
3. Ilikuwa tabia ya Tanzania kuvamia nchi zingine, kabla ya hapo waliivamia Seychells..na OAU walikuwa kinyume na Tz.
4. Idd Amin hakuwa katili kama ilivyosemwa sana,leo kawalize waganda
5. mpaka 1983 USA walikuwa wanunuzi wakubwa wa kahawa uganda!
6. Idd Amin alifanyiwa ugadafi kwani alikuwa Lulu ya waafrika, mtu mwenye mind yake mwenyewe na asiyeogopa wamagharibi
7. leo hii Tanzania bado inaidai uganda kwa kumwondoa amin madarakani!! why?
8. Obote alijitayarisha kumpindua Amin akiwa Tanzania na Amin alimuwahi na kagera ilikuwa tu funika funika ukweli Nyerere alikuwa anaamuliwa amtoe kipenzi chake
9.athari za ile vita hazitaondoka Tanzania mpaka Uganda imalize deni!!!! mpaka sasa Uganda imeishailipa Tanzania Bilioni 120 Sh. zilizolipwa mara ya mwisho mwaka 2007
10. Tanzania ndio iliyomweka Lule awe rais na si Obote, kwani alikataliwa katakata na wananchi wake!
11. Ukiwa uganda slogan ni..Amin ameua elfu, Obote ameua makumi elfu...Museven ameua mamilioni! kupitia swaiba wake Kony!!
12. Idd Amin alimwona Nyerere kama mwanamke mrembo simply kwa sababu ya uwoga na kuelemea sana nchi za magharibii! ambao walipelekea Nyerere alazimishe muungano wa Zanzibar na Tanganyika, mmoja wa watu waliomdhihaki Nyerere ni Amin!!!
13. Kulikuwa na room ya mazungumzo kuzuia ile vita...kwa nn Nyerere hakuruhusu?
..............................
.............................
Hayo hapo ni NILIYOYAONA baada ya kupitia mapitio mbalimbali, movie mbalimbali, ikiwemo Last King of Scotland, nimeishi Uganda ikanifanya niwe na interest zaidi ya kumjua huyu jamaa......
ukweli ni kuwa donors wetu hawakutoa hata senti tano kusaidia ile vita
Ukija kwenye ulingo wa research na intelectualism...bado wanasema kuwa KULIKUWA NA MIXED MOTIVES AFTER 8 YEARS OF BAD RELATIONSHIP YA TZ na UG.......
Ukija kwa wataalamu wa vita wanasema ilikuwa ni.....just war... WAR WAS MORALLY LEGITIMATE !!!
Ukija kwa Humanitarian watasema..why forces when we had opportunity ya kuongea nao
MY TAKE ITABAKI KUWA ....KAMA WEWE UNGEKUWA NYERERE AT THAT TIME, UNGEFANYA NINI?? Yes alimtetea rafiki yake ambaye walikuwa wasocialist lakini mwisho wa siku what would you do??
Pili shutuma za kutaka kupinduliwa na kambona na uvamizi wa kusini (msumbiji na kaskazini uganda) mwaka 72 na ambazo zilizosababisha Nyerere na Obote watengeneze Guirreilas wars sio siri ni ukweli mtupu uliomfanya Nyerere amalize mzizi wa Fitina mwaka 1978...
Huwa nasikia kichefuchefu mtu anapomtetea Nyerere kana kwamba ni mtume au malaika, this could be stupidity hasa unapompenda marehemu ambaye alikuwa mtu na alikosea sana
Nyerere is not and will never be a saint. Huwa nawaambia uwa Nyerere atajitetea yy mwenyewe, maan wa kizazi chake watakufa na maswali ya aina hii yataulizwa tu....andikeni vitabu mapema kuweka kila kitu sawa ila historia itasimama tu!
KWA HIYO KULIKUWA NA MIXED MOTIVES.......... KWENYE ILE VITA SAWA WILLY?
NINGEKUWA NYERERE NINGEFANYA KAMA YEYE TU-simply kwa sababu na mimi nataka kuheshimiwa, selfish, na hidden motives nyingi tu...why think of my citizen, tell them anything they will agree!!!! life is too short to wait for chances that will show who you are!!! especially when I take country as my house
ATAKAYESOMA HII PAPER HAPA CHINI ATAPATA MTAZAMO MPYA, KWANZA KUJUA IN DEEP, PILI SABABU TATU THEORIES MBALIMBALI.....za vita na ukweli.......Napenda paper za style hii ambazo ni well reserached, haziko biased na tatu ni educative
sipendi ubishi nionekane nampenda Nyerere au simpendi Nyerere ...factz ni nzuri sana, zinakuweka huru muda wote!! I will always take him as just anothe human who was stonger in things he stood for and weaker in the things he failed!!
http://www.unomaha.edu/itwsjr/ThirdXII/AchesonBrownTanzaniaVol12.pdf