Vita vya Kagera: Nini chanzo? Kulikuwa na ulazima?

Vita vya Kagera: Nini chanzo? Kulikuwa na ulazima?

Nimehamua kuifanyia research paper issue ya kuwa Iddi Amin alituzidi ubora wa zana za kivita. Mpaka sasa sources zangu zinaonyesha kuwa vita vya 1972, Tanzania ilifanya uvamizi Uganda kwa lengo la kumrudisha Obote. Lakini kutokana na tactical errors tulirudisha majeshi nyuma.

Katika vita vya 1978, tactically Tanzania was superior. Kuhusu zana Idd Amin hakuwa na advantage yoyote. Bado utafiti wa data na namba unakuja.
 
Nimehamua kuifanyia research paper issue ya kuwa Iddi Amin alituzidi ubora wa zana za kivita. Mpaka sasa sources zangu zinaonyesha kuwa vita vya 1972, Tanzania ilifanya uvamizi Uganda kwa lengo la kumrudisha Obote. Lakini kutokana na tactical errors tulirudisha majeshi nyuma.

Katika vita vya 1978, tactically Tanzania was superior. Kuhusu zana Idd Amin hakuwa na advantage yoyote. Bado utafiti wa data na namba unakuja.

Usisahau na zana alizoletewa na Libya. Sisi kilichotusaidia ni mizinga ya Katyusha tuliyoazimwa na Angola. Amin alikuwa hajawahi kuisikia mizinga hiyo.
 
Uganda imekaa kikabila sana, kuna kanda watampenda na kuna kanda watamchukia!! Lakini issue ya kuwa alikuwa dictator ilikuwa published sana na waingereza. Nenda kwao kaskazini mashariki sema hayo uliyosema utashangaa utakavyotukanwa mkuu!!


Idd Amin hakuwapenda na hakuwa tayari kuwafuata wazungu na ndio siri ya kuitwa hivyo, alichofanya idd amin ni sawa kabisa na viongozi wengine wengi wa kipindi kile..miaka ya 60,70

It will interest you even Nyerere some publications called him dictator!!


Nyerre had a deep passion for change and hatred toward imperialism. He helped to lead his country to independence in the late 1950's, early 1960's, laying a foundation for his country even before he became official president and dictator. Julius Nyerere- Tanzania


The death of Julius Nyerere, African independence leader and longtime dictator of Tanzania, evoked a flood of encomiums worldwide. The praise is misplaced. Nyerere's approach devastated much of postcolonial Africa (Forbes, 1999).
http://archive.lib.msu.edu/DMC/African Journals/pdfs/political science/volume8n1/ajps008001004.pdf



Nimekupa mifano tu mkuu, nimekaa uganda na ninaweza kukueleza mengi ya huko, Stop calling Amin a dictator, just because you studied that in history does mean so!! just because western propaganda it does mean so!! waingereza ndio walimuita sana Amin baada ya kuwafanyia yale mambo!!! USA at that very time mnamwita amin dicator bado walikuwa na mahusiano mazuri sana ya kibiashara, please find in literature!!







Waberoya;
"Nimekupa mifano tu mkuu, nimekaa uganda na ninaweza kukueleza mengi ya huko, Stop calling Amin a dictator, just because you studied that in history does mean so!! just because western propaganda it does mean so!! waingereza ndio walimuita sana Amin baada ya kuwafanyia yale mambo!!! USA at that very time mnamwita amin dicator bado walikuwa na mahusiano mazuri sana ya kibiashara, please find in literature!!"
We have right to differ on this argument. Did you read the link you posted? I did agree with the paper in the sense that I had most of the information; So what I know is not about Western propaganda; how do you describe a person who ordered his troop to commit mass killings? You mentioned about US business relationship with Amin; President Carter sanctioned Amin, let me remind you US will do business with any country as long as their interest is served. Calling Nyerere dictator? just give me one example of atrocity committed by Mwl. Nyerere (R.I.P); by the way I have been to Uganda several times never heard anybody mentioned good thing about Amin, may be we need to make a trip together. Most Ugandans remember him for the pain suffered.

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
Usisahau na zana alizoletewa na Libya. Sisi kilichotusaidia ni mizinga ya Katyusha tuliyoazimwa na Angola. Amin alikuwa hajawahi kuisikia mizinga hiyo.

Ndio tulikuwa na Katyusha (saba-saba). Nita-compile.
 
Ndio tulikuwa na Katyusha (saba-saba). Nita-compile.
Zakumi, ile mizinga walokuwa wakiita sabasaba inasemekana tuliiteka kwa askari wa Ghadaff na kuitumia dhidi ya majeshi ya Uganda. Hii mizinga inakaa juu ya gari ikiwa na mitutu kama nane hivi, sijui kama umeiona ktk vita ya Iraq na Libya na hupiga kwa kupishana nukta chache sana..Siku hizi imekuwa maarufu sana ktk vita badala la mizinga mikubwa ambayo inakuwa stationed chini.

Narudi kwa chama, mkuu wangu nimefanya sana biashara Uganda baada ya vita wakati wa mashati ya Juliana tukipeleka kwao sukari, sigara na matairi ya General tyres halafu tunarudi na vitu vya Dubai maana Waganda ndio watu wa kwanza kushtukia Dubai. Asikudanganye mtu nilikuwa natembelea sana Uganda na kkuhusu ubaya wa Idd Amin yategemea unakutana na nani. Kwa mfano hata hapa Tz ukiwa mgeni unaweza kuambiwa Nyerere hakupendwa na ukaambiwa mabaya ya Nyerere hadi ukamwona dikteta wa kutisha na hafai kabisa. Uliza watu wa Zanzibar watakwambia jinsi wanavyomtazama Nyerere japokuwa ni fikra za kupandikizwa. Pia tunaoi kina Zakumi na Le Mutuz wote hawa wana sababu zao kwa undani wake.

Idd Amin alipendwa sana Uganda na wananchi wa kawaida isipokuwa wataalam na wanasiasa ambao walikuwa upande wa pili. Kumbuka Uganda tayari ilikuwa na vyama akaja mwanajeshi na kuua siasa za nchi sii rahisi viongozi wanasiasa kukubaliana na utawala wa kidikteta. Sii rahisi mwanasiasa kwanza kukubali udikteta, kukubali kuendesha serikali pasipo itikadi, sera na zaidi ya yote Idd Amin alikuwa mtawala aliyeji identify kama muislaam ktk nchi ya Wakristu (Mwanajeshi halafu Muislaam). Kwa tamaduni zetu za Ndivyo Tulivyo, siasa za makabila na imani ya dini ya mtu ni Kigezo kikubwa sana ktk kuaminiwa, kupendwa na hata kuheshimiwa.

Lakini usitake kabisa niamini kwamba Idd Amin alichukiwa na wananchi wake ambao wengi ni maskini hawakuwa na kitu walipopewa ardhi na kugawiwa mali kama alivyokuwa akiahidi Mtikila. Sema walimwogopa sana kutokana na kwamba siasa za nchi hiyo zilijengeka kwa makabila kama Kenya. Viongozi wao wanachaguliwa kwa makabila yao na hadi kesho kila kiongozi hutazama kabila lake na kama kuna malalamishi humpelekea mtu wa kwao..Hivyo Idd Amin ambaye na ubaya wake alikuja kuua makabila na kama unakumbuka ni yeye Idd Amin aliyetangaza kuwa Kiswahili itakuwa lugha ya taifa hilo.

Tatizo la Idd Amin lilikuwa ELIMU tu basi, kila kitu alikitazama kwa kutumia Logic na alipingana hata na wasomi inapofikia kitu hakikufanikiwa. Yeye alikuwa mbele ya elimu yenyewe maana hakuelewa hataki kusikia ati nchi inafilisika wakati wewe msomi na rasimili zote zipo umekabidhiwa halafu unasema imeshindikana..haiwezekani tatizo ni wewe. Na kilichomponza Idd Amin kama nilivyosema ni ile tamaa yake ya kuwa Mungu mtu. Alitaka sana yeye awe rais wa jumuiya ya EA na Nyerere ndiye kikwazo tu, hivyo akaanza kumchokoinoa kwanza yeye akimwita mzuri sana angekuwa mwanamke angemuoa. Na hata ktk mikutano yeye alikuwa hampi nafasi Nyerere hudakia katikati kuonyesha he is the man.
 
W. J. Malecela,

Nadhani ulikuwa kijana Mzima Mwenye akili timamu wakati wa Matatizo kati ya Tanzania na Uganda, kama unakumbuka wakati huo East African Community ilikuwa hai, lakini Idd Amini bado alikuwa anafanya Mashambulizi ya hapa na pale Maeneo ya Mutukula, Maeneo hayo Wananchi ni Wakulima na pia ni Wafugaji, walijuwa wanashambuliwa na kuchukuliwa Mifugo yao au Mashamba yao kutibuliwa na Vifaru au saa nyingine wanajeshi wanavuka Mpaka wanafanya vitisho na kuondoka.


Mkuu wangu nngu007,
Sawa na wenzako wote, nawe umerukia kwenye hatua ya Amin kufanya mashambulizi kuelekea ama ndani ya ardhi ya TZ. Sitaki kuamini kwamba hufahamu ama u miongoni mwa wale wanao-refer ukweli kutokana na propaganda za Tanzania peke yake pasipo na kuangaliaupande wa pili. Kwa makusudi, unayaacha matukio yaliokuwa yanafanwa na Obote na wafuasi wake kwa msaada wa Nyerere mara baada ya Obote kupinduliwa kutoka madarakani. Yaani kwa makusudi unaacha angalau kitendo kilichokuwa kimefanywa na wafuasi wa Obote kuvuka mpaka kutoka Tanzania na kuingia Uganda na kufanya jaribio la mapinduzi ambalo lilishindwa. Na baada a kushindwa huko, wakarudi tena Tanzania na kujpanga upya ambapo kambi yao ya mafunzo ilikuwa Handeni. Nyerere aliifadhili kambi hiyo kwa uwazi hadi pale uliposainiwa mkataba wa amani unaofahamika kama Mogadishu Accord ambapo moja ya matakwa ya mkataba huo ilikuwa kwa nchi hizo kutoruhusu ardhi zao kwa ajili ya vikundi vya upinzani vya nchi nyingine. Kimsingi, takwa hilo liliilenga zaidi Tanzania kwavile ndiyo ambayo ilikuwa ni kambi ya wapinzani wa Amin. Lakini pamoja na hayo, bado Nyerere aliendelea kufadhili lakini hivi sasa kwa uficho. Kwahiyo, unayoyasema wewe yalifuatia baada ya Nyerere akiwa tayari ameshaanza kufadhili harakati za kijeshi za Obote. Miongoni mwa hizo ni shambulizi ambalo lilipangwa kufanyika February 1972 lakini likasitishwa baada ya PM wa Uchina kutia ngumu na kile kilisomekana baada ya hofu ya Nyerere kwamba huenda Britain na Israel wangeingia kum-support Amin.

Na unakumbuka Nyerere alikuwa hafanyi chochote, Idd Amin alikuwa anamwita Nyerere Mwanamke wake, na Unakumbuka wakati mmoja alikuwa kwenye Ulingo wa boxing akasema atafungwa Mkongo wake wa kulia na Macho atatumia Mkono wa kulia kupambana na Nyerere ulingoni na bado atampiga mpaka atamuua.


Kumbukumbu zinaonesha kwamba ni baada ya Amin kuwa tayari ameshaelemewa na vita ndipo akaitisha Press Conference na kusema kwamba badala ya kusababisha madhara kwa watu wasio na hatia na wanajeshi, basi ni bora wapande ulingoni yeye (Amin) na Nyerere. Mengine kuhusu namna gani wapigane upo sawa. Hivyo basi, kwa kuangalia nukuu hiyo bado inaonesha unachoongelea wewe ni matokeo tu na root yake bado hujaiongelea.

Alikuwa na Kejeli nyingi, Sasa Idd Amin hakuwa mtu mzuri kwa Wananchi wake aliua karibia watu 400,000 nchini kwake tu, baadhi ya miili ya watu wake aliila.

Ni bahati mbaya sana kwa hapa nasimamia ukweli bila kujali ukweli huo unamuathiri nani. Kwa mtu asiyetaka kusimamia ukweli ataona namtetea Amin au kama ambavyo wenye upungufu wa kutisha wa hoja wanavyotuita kwamba eti tuna chuki na Nyerere!! Kwavile nasimamia ukweli, basi sina budi kutamka wazi kwamba SI KWELI KWAMBA AMIN ALIKUWA ANAKULA NYAMA ZA WATU. Hizo ni propaganda zilizokuwa zinapikwa huku Tanzania ili kuonesha ni jinsi gani Amin asivyofaa kwa Alif wala Be!! Miongoni mwa propganda hizo ni pamoja na kwamba Amin anakula nyama ya watu, Amin alikuwa anawabeba viwete kwenye tipper na kwenda kuwamwaga Mto Kagera! Huo wote ni uongo ambao ulilenga kumwonesha ni jinsi gani Amin alivyo mnyama kuliko wanyama wenyewe. Propaganda zingine ilikuwa ni kumtwisha majina ambayo yalisanifiwa/kuasisiwa na kutumika dhidi ya Amin tu na hadi sasa hapajatokea mwanadamu ambae alikuja tena kuitwa majina ambayo aliitwa Amin. Majina hayo ni Pamoja na NDULI, FASHISTI pamoja na JOKA! Hebu nisaidie mkuu wangu....leo hii ukiambiwa utaje madikteta unaweza kuwataja hata mia....kuna Dikteta Saadam Hussein, Dikteta Ghadaf, Dikteta Pinnochet, Dikteta Mabutu and many many more! Haya wewe, nitajie baada ya NDULI IDDI AMIN DADA, mwingine ni nani anayetambulika au amepata kutambulika kwa jina hilo?! Baada ya FASHIST IDD AMIN DADA, kuna fashist gani ,mwingie duniani ambae amepata kutambulika kwa jina hilo?! Baada ya JOKA IDDI AMIN DADA, ni nani mwingineambae amepatwa kuwa refered kwa hilo jina?! Kama utataka kusimamia ukweli basi hautachelewa kubaini kwamba hapakuwepo mwingie kabla yake na wala hajatokea mwingine baada yake aliyepata kuwa labled hayo majina! Hivyo, majina hayo yalikuwa ni ya kipropaganda zaidi kama ilivyokuwa kwa madai ya kula nyama!

Sasa Makamu wake wa Urais aliyeitwa General Mustafa Idrisa, alipata ajali ya Gari ya kiajabu ajabu na Unajua Idd Amin alikuwa na kawaida ya kuuwa wapinzani wake kwa kawaida za ajali ya Magari, General Idrisa alikuwa anaongoza Elite Battalion iliyokuwa inaitwa Simba Battalion, Simba Battalion commando wakakimbia wakavuka Mpaka wa Uganda wakaingia Tanzania.


Kwa mara nyingine umeuchukua ukweli, ukaufinyangafinga mithili ya udongo wa mfinyanzi kisha ukautupia kwenye uvungu wa kitanda kilichopo ndani ya chumba chembamba kisicho na japo ya chembe ya angalau tundu la sindano! Wanajeshi wa Simba Battalion hawakukimbilia Tanzania baada ya ajali tata ya Mustafa Idris (shemeji na VP wa Amin ) bali walikimbia baada ya kufanya jaribio la mapinduzi ambalo sawa na mengine nalo lilishindwa. Katika jaribio hilo, Amin alivamiwa kwenye chumba cha Hotel Jijini Kampala lakini alifanikiwa kutoroka kwa kutumia helikopta!! Jaribio hilo lilizimwa na baadhi ya wanajeshi watiifu wa Amin. Baada ya kushindwa kwa jaribio hilo, majeshi ya Amin yakaanza kuwasaka "waasi" na kuwaua ndipo baadhi yao walipoamua kukimbia na kuvuka mpaka hadi Tanzania ambako walikuja kuungana na wafuasi wa Obote. Katika jaribio hili, Amin akamtuhumu Nyerere kwamba alihusika. Na chuki dhid yao ikaongezeka maradufu!

Idd Amin aliposikia hayo hakufurahishwa na alisha kuwa anaivamia Maeneo ya mara kwa mara kwahiyo akaenda akaivamia tema Mutukula na kuichukua na kuweka Bendera ya Uganda na kutangaza kuwa hiyo Sehemu ni Mali ya Uganda akaitembelea aliporudi Kampala akatangaza Vita dhidi ya Tanzania.


Angalau hapo umejitahidi kujikita kwenye ukweli bila shaka kwavile ni ukweli ule tu ambao wewe unaupenda...wa mabaya ya Amin.

Tanzania ikaenda OAU, wakagoma kuongelea hiyo issue na pia kugoma kumuambia Idd Amin arudishe ardhi ya Tanzania, akapeleka UN na unakumbuka wakati huo Rais alikuwa Jimmy Carter alisha wekea Uganda visingiti vya kiuchumi, UN hawakuongelea ombi la Tanzania; OAU sababu haikuongelea ombi la Tanzania ni kwa Sababu Nyerere aliunga Mkono Mapinduzi ya Sychelles iliyomweka Madarakani Albert Rene.

Hapa napo umejitahidi kueleza ukweli. Hata hivyo, sababu kubwa ambayo iliwafanya OAU kutom-support Nyerere ni kwamba, enzi hizo; suala la mapinduzi ya kijeshi barani Afrika lilikuwa ni jambo la kawaida. Hivyo, msimamo wa Nyerere wa kutomtambua Amin kwavile tu amempindua Obote ulikuwa ni msimamo usio na mashiko kwa OAU hasa ukizingatia kwamba OAU yenyewe ilikuwa na viongozi kadhaa ambao nao waliingia madarakani kwa njia ya mapinduzi hivyo ingekuwa ni kichekesho kwa watu walioingia madarakani kwa njia ya mapinduzi wasimtambue mwenzao mwingie aliyeingia madarakani sawa na wao. In thoz old age, OAU was almost like Dictators' Club including Nyerere mwenyewe ingawaje degree of dictatorship ili-vary from one dictator to another!

Kwahiyo, Ilibidi ipigane imuondoe Nduli Idd Amin kutoka Mutukula na pia Uganda sababu hakuna Msaada toka mataifa yoyote, ndio bila vita uchumi wetu ungekuwa bora zaidi ya nchi yoyote Africa, ndio tulinunua silaha kwa bei za rushwa yaani Mara mbili ya bei ya kawaida na ndio iliyotutupa kwenye Umasikini na kumfanya Nyerere kujiuzulu kuliko kupokea machungu ya IMF na World Bank; Yeah Uganda ilitulipa kidogo kidogo walimaliza deni 2007.


Suala la Uganda kulipa Tanzania linaleta shaka ya dhamira ya Tanzania katika vita hiyo. Ikiwa kweli Nyerere alipigana vita ile kwa ajili ya maslahi ya Tanzania basi hapakuwa na sababu ya sisi kulipwa!! Kulipwa huku kunadhihirisha kwamba JWTZ ilikuwa ni kama kikosi cha mamluki kilichotolewa kwenda kuikomboa Uganda!

Kuhusu Obote, Nyerere hakuikomboa Uganda Sababu ya Obote, Nyerere alimpenda sana Yusuf Lule awe Rais wa Uganda, lakini wakati ule wananchi wa Uganda bado walikuwa na kumbukumbu na Obote alivyokuwa kiongozi bora, hawakujua baada ya miaka mingi uraiani amejenga maadui wengi mmoja wao ni Yoweri Museveni walikuwa wanaongea Mjini Moshi lakini Obote alikuwa na chuki ndani kwa ndani.


Kutokana na hapo kwenye RED, ni sawa na kusema Nyerere alipigana vita ili amweke Lule madarakani. Comment yangu ya kwanza, naomba niegemee kwenye hayo madai yako....haikuwa sahihi hata kidogo kwa jambo hilo kwa yeye kuingia vitani kwavile alipenda Lule awe rais Uganda. Cooment yangu ya pili acha ni-base kwenye ukweli wenyewe...hapa ningependa niseme wazi kwamba SI KWELI HATA KIDOGO KWAMBA NYERERE ALIPENDA LULE AWE RAIS UGANDA. Suala la Nyerere kuridhia Lule awe ndie rais si kwavile alimpenda bali ni kwavile there was no way kwamba Obote angekuwa rais...the reason behind ni kwamba Obote alikuwa hapendwi hivyo ilikuwa ni lazima apatikane mbadala wake! Na labda niongeze kitu kidogo. Kama ni kupenda, basi nazani Nyerere alimpenda zaidi Museven awe mbadala wa Obote kuliko Lule. Lakini inavyoelekea ni kwamba Nyerere alifahamu kwamba Museven alikuwa ni very powerful than Lule hivyo kumweka madarakani baada ya kupinduliwa kwa Amin pangehitajika kazi ya ziada kumtoa tena hapo baadae. Na hili, linaonekana kwa sasa! Naamini Nyerere alikuwa na matumaini kwamba Obote angerudi tu kwa sanduku la kura (na kweli alirudi) kwahiyo busara ilikuwa ni kumweka mtu ambae ni weak. Don' play with mwalimu wewe, yule mtu alikuwa very clever na smart....!!

Kwahiyo Nyerere hakuikomboa Uganda kwa sababu ya Obote; ni kwa Manufaa ya Watanzania; Wananchi wa Uganda ndio waliomchagua Obote.
kama ilikuwa ni kwa manufaa ya Tanzania ni kwanini Uganda wanatulipa?!
 
Tatizo la Idd Amin lilikuwa ELIMU tu basi, kila kitu alikitazama kwa kutumia Logic na alipingana hata na wasomi inapofikia kitu hakikufanikiwa. Yeye alikuwa mbele ya elimu yenyewe maana hakuelewa hata kusikia ati nchi inafilisika wakati wewe msomi na rasimili zote zipo, haiwezekani tatizo ni wewe. Na kilichomponza Idd Amin kama nilivyosema ni ile tamaa yake ya kuwa Mungu mtu. Alitaka sana yeye awe rais wa jumuiya ya EA na Nyerere ndiye kikwazo tu, hivyo akaanza kumchokoinoa kwanza yeye akimwita mzuri sana angekuwa mwanamke angemuoa. Na hata ktk mikutano yeye alikuwa hampi nafasi Nyerere hudakia katikati kuonyesha he is the man.

Duh!! Sa' kama Nyerere tu alikuwa mlimbwende machoni mwa Amin, ingekuwa ndo Baba Riz1 ingekuwaje...!!!
 
NasDaz,
Unajua mkuu wangu mimi natatizwa kitu kimoja tu hapa. Hawa kina Museveni na Waganda kibao waliokuwa nchini wakichukua mafunzo ndio hao hao waliokuja kumwondoa Obote. Hivi kweli tunashindwa kutazama unyama wa Obote na kutumia vigezo vile vile vya Idd Amin ktk njama za Nyerere kumshambulia tena Obote, mtu wake lakini tu wepesi kuona ubaya wa Nyerere kwa Idd Amin tu japokuwa yeye aliishambulia Tanzania.

Nitarudia kusema Nyerere alkikuwa na kila sababu ya kumwondoa Idd Amin maana akili haikumtulia kabisa mtu yule na sii swala la kumrudisha Obote. Ndio maana akawaweka kina Yusuph Lule na Binaisa, mazezeta wale wakashindwa kuongoza ndipo hamad ikamwangukia tena Obote ambaye kwa ujinga wake akataka kulipa kisasi na kutawala kwa iron fist kama Idd Amin kina Museveni wakampiku.
Duh!! Sa' kama Nyerere tu alikuwa mlimbwende machoni mwa Amin, ingekuwa ndo Baba Riz1 ingekuwaje...!!!
ahahaha! hahaha! ushoga ungekuwa halali kikatiba..
 
Mkandara Says: "Nimekupa mifano tu mkuu, nimekaa uganda na ninaweza kukueleza mengi ya huko, Stop calling Amin a dictator, just because you studied that in history does mean so!! just because western propaganda it does mean so!! waingereza ndio walimuita sana Amin baada ya kuwafanyia yale mambo!!! USA at that very time mnamwita amin dicator bado walikuwa na mahusiano mazuri sana ya kibiashara, please find in literature!!"

While Chama Says: We have right to differ on this argument. Did you read the link you posted? I did agree with the paper in the sense that I had most of the information; So what I know is not about Western propaganda; how do you describe a person who ordered his troop to commit mass killings? You mentioned about US business relationship with Amin; President Carter sanctioned Amin, let me remind you US will do business with any country as long as their interest is served. Calling Nyerere dictator? just give me one example of atrocity committed by Mwl. Nyerere (R.I.P); by the way I have been to Uganda several times never heard anybody mentioned good thing about Amin, may be we need to make a trip together. Most Ugandans remember him for the pain suffered.

Chama
Gongo la Mboto DSM

And what i see here is like Two Ugandans who made several trips to Tanzania! Mmoja walikuwa anafikia Kilimanjaro hususani Moshi na mwingine alikua anafikia place like Dodoma! The time when these two Ugandans fellows were back home, mmoja alikuwa anasisitiza kwa nguvu zote ni jinsi gani CHADEMA na Slaa wao walivyo very powerful all over Tanzania. Mwingine, anakataa katakata na kusisitiza HOW CCM na JK wao walivyo very powerful all over Tanzania!! I guess, it's researchable topic otherwise, una-apply msemo wa Baba Riz, Akili za Mbayu mbayu, changanya na.......!!!
 
And what i see here is like Two Ugandans who made several trips to Tanzania! Mmoja walikuwa anafikia Kilimanjaro hususani Moshi na mwingine alikua anafikia place like Dodoma! The time when these two Ugandans fellows were back home, mmoja alikuwa anasisitiza kwa nguvu zote ni jinsi gani CHADEMA na Slaa wao walivyo very powerful all over Tanzania. Mwingine, anakataa katakata na kusisitiza HOW CCM na JK wao walivyo very powerful all over Tanzania!! I guess, it's researchable topic otherwise, una-apply msemo wa Baba Riz, Akili za Mbayu mbayu, changanya na.......!!!
What? did I!!!! nashangaa hapo juu pekundu... ebu rudi nyuma mkuu wangu utazame kama kweli ni mimi niloandika..
 
[/SIZE][/FONT]

Mkuu wangu nngu007,
Sawa na wenzako wote, nawe umerukia kwenye hatua ya Amin kufanya mashambulizi kuelekea ama ndani ya ardhi ya TZ. Sitaki kuamini kwamba hufahamu ama u miongoni mwa wale wanao-refer ukweli kutokana na propaganda za Tanzania peke yake pasipo na kuangaliaupande wa pili. Kwa makusudi, unayaacha matukio yaliokuwa yanafanwa na Obote na wafuasi wake kwa msaada wa Nyerere mara baada ya Obote kupinduliwa kutoka madarakani. Yaani kwa makusudi unaacha angalau kitendo kilichokuwa kimefanywa na wafuasi wa Obote kuvuka mpaka kutoka Tanzania na kuingia Uganda na kufanya jaribio la mapinduzi ambalo lilishindwa. Na baada a kushindwa huko, wakarudi tena Tanzania na kujpanga upya ambapo kambi yao ya mafunzo ilikuwa Handeni. Nyerere aliifadhili kambi hiyo kwa uwazi hadi pale uliposainiwa mkataba wa amani unaofahamika kama Mogadishu Accord ambapo moja ya matakwa ya mkataba huo ilikuwa kwa nchi hizo kutoruhusu ardhi zao kwa ajili ya vikundi vya upinzani vya nchi nyingine. Kimsingi, takwa hilo liliilenga zaidi Tanzania kwavile ndiyo ambayo ilikuwa ni kambi ya wapinzani wa Amin. Lakini pamoja na hayo, bado Nyerere aliendelea kufadhili lakini hivi sasa kwa uficho. Kwahiyo, unayoyasema wewe yalifuatia baada ya Nyerere akiwa tayari ameshaanza kufadhili harakati za kijeshi za Obote. Miongoni mwa hizo ni shambulizi ambalo lilipangwa kufanyika February 1972 lakini likasitishwa baada ya PM wa Uchina kutia ngumu na kile kilisomekana baada ya hofu ya Nyerere kwamba huenda Britain na Israel wangeingia kum-support Amin.

[/SIZE][/FONT]

Kumbukumbu zinaonesha kwamba ni baada ya Amin kuwa tayari ameshaelemewa na vita ndipo akaitisha Press Conference na kusema kwamba badala ya kusababisha madhara kwa watu wasio na hatia na wanajeshi, basi ni bora wapande ulingoni yeye (Amin) na Nyerere. Mengine kuhusu namna gani wapigane upo sawa. Hivyo basi, kwa kuangalia nukuu hiyo bado inaonesha unachoongelea wewe ni matokeo tu na root yake bado hujaiongelea.

[/SIZE][/FONT]
Ni bahati mbaya sana kwa hapa nasimamia ukweli bila kujali ukweli huo unamuathiri nani. Kwa mtu asiyetaka kusimamia ukweli ataona namtetea Amin au kama ambavyo wenye upungufu wa kutisha wa hoja wanavyotuita kwamba eti tuna chuki na Nyerere!! Kwavile nasimamia ukweli, basi sina budi kutamka wazi kwamba SI KWELI KWAMBA AMIN ALIKUWA ANAKULA NYAMA ZA WATU. Hizo ni propaganda zilizokuwa zinapikwa huku Tanzania ili kuonesha ni jinsi gani Amin asivyofaa kwa Alif wala Be!! Miongoni mwa propganda hizo ni pamoja na kwamba Amin anakula nyama ya watu, Amin alikuwa anawabeba viwete kwenye tipper na kwenda kuwamwaga Mto Kagera! Huo wote ni uongo ambao ulilenga kumwonesha ni jinsi gani Amin alivyo mnyama kuliko wanyama wenyewe. Propaganda zingine ilikuwa ni kumtwisha majina ambayo yalisanifiwa/kuasisiwa na kutumika dhidi ya Amin tu na hadi sasa hapajatokea mwanadamu ambae alikuja tena kuitwa majina ambayo aliitwa Amin. Majina hayo ni Pamoja na NDULI, FASHISTI pamoja na JOKA! Hebu nisaidie mkuu wangu....leo hii ukiambiwa utaje madikteta unaweza kuwataja hata mia....kuna Dikteta Saadam Hussein, Dikteta Ghadaf, Dikteta Pinnochet, Dikteta Mabutu and many many more! Haya wewe, nitajie baada ya NDULI IDDI AMIN DADA, mwingine ni nani anayetambulika au amepata kutambulika kwa jina hilo?! Baada ya FASHIST IDD AMIN DADA, kuna fashist gani ,mwingie duniani ambae amepata kutambulika kwa jina hilo?! Baada ya JOKA IDDI AMIN DADA, ni nani mwingineambae amepatwa kuwa refered kwa hilo jina?! Kama utataka kusimamia ukweli basi hautachelewa kubaini kwamba hapakuwepo mwingie kabla yake na wala hajatokea mwingine baada yake aliyepata kuwa labled hayo majina! Hivyo, majina hayo yalikuwa ni ya kipropaganda zaidi kama ilivyokuwa kwa madai ya kula nyama!

[/SIZE][/FONT]

Kwa mara nyingine umeuchukua ukweli, ukaufinyangafinga mithili ya udongo wa mfinyanzi kisha ukautupia kwenye uvungu wa kitanda kilichopo ndani ya chumba chembamba kisicho na japo ya chembe ya angalau tundu la sindano! Wanajeshi wa Simba Battalion hawakukimbilia Tanzania baada ya ajali tata ya Mustafa Idris (shemeji na VP wa Amin ) bali walikimbia baada ya kufanya jaribio la mapinduzi ambalo sawa na mengine nalo lilishindwa. Katika jaribio hilo, Amin alivamiwa kwenye chumba cha Hotel Jijini Kampala lakini alifanikiwa kutoroka kwa kutumia helikopta!! Jaribio hilo lilizimwa na baadhi ya wanajeshi watiifu wa Amin. Baada ya kushindwa kwa jaribio hilo, majeshi ya Amin yakaanza kuwasaka "waasi" na kuwaua ndipo baadhi yao walipoamua kukimbia na kuvuka mpaka hadi Tanzania ambako walikuja kuungana na wafuasi wa Obote. Katika jaribio hili, Amin akamtuhumu Nyerere kwamba alihusika. Na chuki dhid yao ikaongezeka maradufu!

[/SIZE][/FONT]

Angalau hapo umejitahidi kujikita kwenye ukweli bila shaka kwavile ni ukweli ule tu ambao wewe unaupenda...wa mabaya ya Amin.


[/SIZE][/FONT]Hapa napo umejitahidi kueleza ukweli. Hata hivyo, sababu kubwa ambayo iliwafanya OAU kutom-support Nyerere ni kwamba, enzi hizo; suala la mapinduzi ya kijeshi barani Afrika lilikuwa ni jambo la kawaida. Hivyo, msimamo wa Nyerere wa kutomtambua Amin kwavile tu amempindua Obote ulikuwa ni msimamo usio na mashiko kwa OAU hasa ukizingatia kwamba OAU yenyewe ilikuwa na viongozi kadhaa ambao nao waliingia madarakani kwa njia ya mapinduzi hivyo ingekuwa ni kichekesho kwa watu walioingia madarakani kwa njia ya mapinduzi wasimtambue mwenzao mwingie aliyeingia madarakani sawa na wao. In thoz old age, OAU was almost like Dictators' Club including Nyerere mwenyewe ingawaje degree of dictatorship ili-vary from one dictator to another!



Suala la Uganda kulipa Tanzania linaleta shaka ya dhamira ya Tanzania katika vita hiyo. Ikiwa kweli Nyerere alipigana vita ile kwa ajili ya maslahi ya Tanzania basi hapakuwa na sababu ya sisi kulipwa!! Kulipwa huku kunadhihirisha kwamba JWTZ ilikuwa ni kama kikosi cha mamluki kilichotolewa kwenda kuikomboa Uganda!

[/SIZE][/FONT][/SIZE][/FONT]

Kutokana na hapo kwenye RED, ni sawa na kusema Nyerere alipigana vita ili amweke Lule madarakani. Comment yangu ya kwanza, naomba niegemee kwenye hayo madai yako....haikuwa sahihi hata kidogo kwa jambo hilo kwa yeye kuingia vitani kwavile alipenda Lule awe rais Uganda. Cooment yangu ya pili acha ni-base kwenye ukweli wenyewe...hapa ningependa niseme wazi kwamba SI KWELI HATA KIDOGO KWAMBA NYERERE ALIPENDA LULE AWE RAIS UGANDA. Suala la Nyerere kuridhia Lule awe ndie rais si kwavile alimpenda bali ni kwavile there was no way kwamba Obote angekuwa rais...the reason behind ni kwamba Obote alikuwa hapendwi hivyo ilikuwa ni lazima apatikane mbadala wake! Na labda niongeze kitu kidogo. Kama ni kupenda, basi nazani Nyerere alimpenda zaidi Museven awe mbadala wa Obote kuliko Lule. Lakini inavyoelekea ni kwamba Nyerere alifahamu kwamba Museven alikuwa ni very powerful than Lule hivyo kumweka madarakani baada ya kupinduliwa kwa Amin pangehitajika kazi ya ziada kumtoa tena hapo baadae. Na hili, linaonekana kwa sasa! Naamini Nyerere alikuwa na matumaini kwamba Obote angerudi tu kwa sanduku la kura (na kweli alirudi) kwahiyo busara ilikuwa ni kumweka mtu ambae ni weak. Don' play with mwalimu wewe, yule mtu alikuwa very clever na smart....!!


kama ilikuwa ni kwa manufaa ya Tanzania ni kwanini Uganda wanatulipa?![/FONT][/SIZE]

Haya Nipe Uthibitisho kuwa Tanzania na Majeshi ya Obote ndio yaliyoanza Uchokozi kwanza na Sio Uganda. Mimi nitakuhakikishia toka kwa Habari toka USA na UK na nchi zote zilikuwa hazimpendi Nyerere kwanza...
 

Haya Nipe Uthibitisho kuwa Tanzania na Majeshi ya Obote ndio yaliyoanza Uchokozi kwanza na Sio Uganda. Mimi nitakuhakikishia toka kwa Habari toka USA na UK na nchi zote zilikuwa hazimpendi Nyerere kwanza...

Mwambie huyu mheshimiwa au ndugu asome hii hapa pia.

Tragically, Amin would not have lasted as long as he did if Africa had had the courage to isolate him, and if the East and West had cared less about their own interests and more about Uganda's. But Libya helped train Amin's army and sent military advisers and civilian technicians. Saudi Arabia promised Amin $2 million in the dying days of his regime in the name of Islamic brotherhood. The Palestine Liberation Organization provided personal bodyguards as a reward for Amin's anti-Israeli ravings. Egypt, Pakistan and Bangladesh sent university professors for Makerere, doctors for Mulago, engineers and other professionals. The Soviet Union gave sophisticated weapons, East Germany trained the secret police.

The West's interests were economic. The United States - which to its credit did institute a trade embargo shortly before Amin was toppled - was for years the biggest purchaser of Uganda coffee. Western companies supplied the country with petroleum. Britain, Uganda's largest trading partner, sold Amin everything from radio technology to drugs to military uniforms. It was not until Amin ordered the murder of Uganda's Anglican archbishop and two senior cabinet ministers in 1977 - Amin said they died in a car accident - that world opinion turned solidly against the man who had once seemed such a good-natured oaf.


Amin was facing pressures at home, too, at the time he killed the archbishop. His army was restless, and tribal fighting broke out in the barracks. Amin needed to put his soldiers to work. The solution he came up with was to start a war. On October 30, 1978, the Ugandan army invaded northwest Tanzania, annexing 710 square miles without opposition. The occupation, Amin announced, was ‘a record in world history,' completed in the ‘supersonic speed of twenty-five minutes.' Julius Nyerere responded that Amin was a ‘snake' mentally damaged by syphilis. He summoned his generals and ordered a counterattack. The initial results were a case study in how not to wage war.


The first day the Tanzanians mistakenly shot down three of their own planes. A week later the counteroffensive had to be halted entirely because no one was sure where the ammunition stockpiles were. One Tanzanian battalion never got the word of the delay and headed off for Rwanda, planning to veer north into Uganda. But the unit got lost in the Rwandan forests and wandered for days, unable to find its way either into Uganda or back to Tanzania. Most of the Tanzanian military vehicles broke down, so the generals had to commandeer buses, Land-Rovers and cars in Dar es Salaam, 850 miles from the front. The convoy finally got rolling. Many of the vehicles ran out of gas en route. The soldiers abandoned them and finished the journey on foot.


When the two armies at last caught up with each other a few weeks later, there was little enthusiasm for any fighting. Soldiers just set up camp on either side of the Kagera River. Nyerere, though, was determined to complete the job, and in the spring of 1979 he brought the twenty-eight Ugandan exile and liberation groups to a conference in Moshi, Tanzania. They included Marxists and monarchists, socialists and capitalists, tribalists and nationalists, men who were united only in their resolve to rid Uganda of Amin. Nyerere scraped together a 50,000-man people's militia, composed largely of illiterate youths pulled off the streets and out of the bush. It was more a mob than an army, for its members had no rank and little training, but together with a handful of Uganda rebels they pushed north, crossed the Kagera River and moved into Uganda. Amin's soldiers - supposedly the best armed and trained in East Africa - threw down their weapons at the first sound of gunfire and fled. Several hundred Libyan soldiers, dispatched to Uganda by Colonel Muammar Qaddafy in an eleventh-hour attempt to save Amin, took up the front-line positions around Kampala. They broke and ran too, and the capital fell without a battle. Amin escaped on a military flight to Tripoli, and Yusufu L. Lule stepped out of the shadows of parliament to speak about the new beginning that was never to be.


Hii imetoka kitabu hiki: David Lamb, The Africans (Methuen, London: 1985) pp.77-92.


Kuna analytical articles zinazoongelea vita ile bila upendeleo. Inaonyesha wapi majeshi ya Tanzania yalipokosea huko Uganda na ni kwa nini yalikosea; lakini hakuna analysis yoyote inayoonyesha kuwa Vita ilifanyika ili Obote arudishwe madarakani; hiyo ilikuwa ni matokeo ya vita tu. Mojawapo ya article hizo ni hii hapa:The Tanzanian Invasion of Uganda: A Just War?

Chazo cha thread hii kinaweza kuwa kimechochewa na ukweli kuwa mzee Malecela aliyekuwa waziri wa mambo ye nje wa Tanzania kati ya mwaka 1972 hadi mwaka 1973 alisaini ule mkataba wa "Mogadishu Accord" kwa niaba ya Tanzania ili kuondoa uhasam baina ya Tanzania na Uganda. Alisaini mktaba ule kama waziri wa mambo ya nje wa Tanzania pamoja na Wanume Kibedi kama Waziri wa mambo ya nje wa Uganda, na kuthibitishwa na Omar Arteh Ghaleb aliyekuwa waziri anayehusika na mambo ya nje ya Somalia. Kwa bahati mbaya, watu wa mzee Malecela hudai kuwa alimua kusaini mkataba huo yeye mwenyewe bila kumshirikisha Nyerere, na huenda ndiyo chanzo cha thread hii. Kuna sababu za kutosha kuwa Malecela asingefanya hivyo kwa vile angekuwa amejimaliza kisiasa kabisa kwa kuwa iwapo Nyerere angesema amewasaliti wa Watanzania wakati huo wa chama kimoja na kutokana na ukweli kuwa kuwa kuna sehemu za Mwanza na Kagera zilizokuwa zimeshpigwa mabomu na Amini.

Hizi propaganda dhidi ya Nyerere ni mambo ya kupita tu kwani historia ni msema kweli siku zote; unaweza kuipindisha lakini itajionyoosha yenyewe.
 
Mwambie huyu mheshimiwa au ndugu asome hii hapa pia.




Hii imetoka kitabu hiki: David Lamb, The Africans (Methuen, London: 1985) pp.77-92.


Kuna analytical articles zinazoongelea vita ile bila upendeleo. Inaonyesha wapi majeshi ya Tanzania yalipokosea huko Uganda na ni kwa nini yalikosea; lakini hakuna analysis yoyote inayoonyesha kuwa Vita ilifanyika ili Obote arudishwe madarakani; hiyo ilikuwa ni matokeo ya vita tu. Mojawapo ya article hizo ni hii hapa:The Tanzanian Invasion of Uganda: A Just War?

Chazo cha thread hii kinaweza kuwa kimechochewa na ukweli kuwa mzee Malecela aliyekuwa waziri wa mambo ye nje wa Tanzania kati ya mwaka 1972 hadi mwaka 1973 alisaini ule mkataba wa "Mogadishu Accord" kwa niaba ya Tanzania ili kuondoa uhasam baina ya Tanzania na Uganda. Alisaini mktaba ule kama waziri wa mambo ya nje wa Tanzania pamoja na Wanume Kibedi kama Waziri wa mambo ya nje wa Uganda, na kuthibitishwa na Omar Arteh Ghaleb aliyekuwa waziri anayehusika na mambo ya nje ya Somalia. Kwa bahati mbaya, watu wa mzee Malecela hudai kuwa alimua kusaini mkataba huo yeye mwenyewe bila kumshirikisha Nyerere, na huenda ndiyo chanzo cha thread hii. Kuna sababu za kutosha kuwa Malecela asingefanya hivyo kwa vile angekuwa amejimaliza kisiasa kabisa kwa kuwa iwapo Nyerere angesema amewasaliti wa Watanzania wakati huo wa chama kimoja na kutokana na ukweli kuwa kuwa kuna sehemu za Mwanza na Kagera zilizokuwa zimeshpigwa mabomu na Amini.

Hizi propaganda dhidi ya Nyerere ni mambo ya kupita tu kwani historia ni msema kweli siku zote; unaweza kuipindisha lakini itajionyoosha yenyewe.

Kichuguu,

Na-review sources hapa kuhusu vita hivi. Vita vya 1972 vilikuwa na elements za watanzania kumrudisha Obote. Kumbuka Obote alikuwa ni Trio katika siasa za ukombozi: Nyerere, Obote, and Kaunda.

Kufikia 1978, technically Obote hakuwa na umuhimu wowote katika masuala ya ukombozi. Marais wa Msumbiji na Angola tayari walishaingia kambini.

Na wakati huo huo kulikuwa na wanajeshi watanzania wanaopigana vita vya proxy nchi Msumbiji na Zimbabwe. Hivyo Tanzania haikuwa na sababu ya kufungua front nyingine ya kumrudisha Obote Uganda.

Vita vya Uganda vilianza baada ya vikosi vya majeshi ya Uganda kuanza kupigana vyenyewe. Vikosi vingine vilikimbilia Tanzania na Idi Amin alifikiri kuwa Tanzania ndio chanzo cha migogoro ya wanajeshi wake. Na akahamua kuvamia Tanzania.

Kwa kuwa alijileta mwenyewe, agenda ya kumrudisha Obote ikawa ndani ya meza. Kutokana na uhusiano wa Nyerere na Obote wa miaka ya 60, Nyerere ali-prefer Obote. Lakini waganda wengine hawakumtaka. Na Nyerere alishamwambia Museveni kuwa kijana una uchu na madaraka.
 
And what i see here is like Two Ugandans who made several trips to Tanzania! Mmoja walikuwa anafikia Kilimanjaro hususani Moshi na mwingine alikua anafikia place like Dodoma! The time when these two Ugandans fellows were back home, mmoja alikuwa anasisitiza kwa nguvu zote ni jinsi gani CHADEMA na Slaa wao walivyo very powerful all over Tanzania. Mwingine, anakataa katakata na kusisitiza HOW CCM na JK wao walivyo very powerful all over Tanzania!! I guess, it's researchable topic otherwise, una-apply msemo wa Baba Riz, Akili za Mbayu mbayu, changanya na.......!!!

NasDaz
Naona umeishiwa na hoja sasa unakuja na hadithi za alinacha; nilichomuulia Waberoya ni kitu kidogo sana; tatizo lenu mnakurupuka kuposti vitu ambavyo hamvisomi, majibu yote yamo kwenye link ya Waberoya, hapa hatufanyi ligi tunelemishana; kwa nini hamfanyi kama Zakumi? Yeye akiona hana jibu anaomba muda ili afanye utafiti; tatizo NasDaz unataka kutoa majibu ya kwenye vilinge vya kahawa.

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
What are you complaining about? Yule mtu aliondolewa madarakani,basi.That person was gay,colleagues wake waliomuona katika jeshi KAR,wanasema he was gay,anadhani mwanaume ni msichana.
 
Mkandara,
ATROCITIES OF AMIN


IDI AMIN, ONE OF THE MOST EVIL MEN TO HAVE LIVED ON PLANET EARTH KILLED AN ESTIMATED 500,000 HUMAN BEINGS. THIS BLOG IS DEDICATED TO HONORING HIS VICTIMS. THE BODIES OF MOST OF AMIN'S VICTIMS WERE CLANDESTINELY DISPOSED OF OR MUTILATED BEYOND RECOGNITION, NEVER TO BE RECOVERED BY THEIR FAMILIES. THE VAST MAJORITY OF THE VICTIMS ARE UNIDENTIFIABLE FOR THIS REASON. IF YOUR LOVED ONE WAS LIQUIDATED PUT THEIR DETAILS IN ANY COMMENTS SECTION.





THURSDAY, 31 DECEMBER 2020

Cruel Blood thirsty




To understand Amin's reign of terror it is necessary to realize that he was not an ordinary political tyrant. He did more than murder those whom he considered his enemies: he also subjected them to barbarisms even after they were dead. These barbarisms are well attested. It was common knowledge in the Ugandan medical profession that many of the bodies dumped in hospital mortuaries were terribly mutilated, with livers, noses, lips, genitals or eyes missing. Amin's killers did this on his specific instructions; the mutilations follow a well-defined pattern. After Gofrey Kigala was shot in 1974, his eyes were gouged out and his body was partially skinned before it was dumped outside Kampala. Medical reports on deaths of Shaban Nkutu, Lt.Col Ondoga etc stated that the bodies had been cut open and that a number of internal organs had ben tampered with...... H. Kyemba (State of Blood).


On several ocassions as Minister of Health, Amin insisted on being left alone with his victim's bodies. Such was the case when Brigadier Arube was murdered in 1974. Amin came to see the body while it was in the mortuary; he ordered the deputy medical superintendent, Dr Kyewalabaye to "wait outside". Amin then went in by himself....... Source H.Kyemba.


Reimar Oltmanns: Irgendwo in Afrika - Massenmorde unter schwarzen Diktatoren
Biography: Idi Amin Dada
Biography: Idi Amin Dada (Part 2 of 2)



POSTED BY KOLOLO AT 06:08 2 COMMENTS
LABELS: 1ST PICTURE SHOWS CORPSES IN THE BASEMENT OF NAKASERO STATE RESEARC BUREAU. ONE OF IDI AMIN'S EXTERMINATION CENTRES WHERE HUNDREDS OF THOUSANDS MET THEIR DEATH






WEDNESDAY, 30 DECEMBER 2020

Unidentifiable Victim




We hereby honour this unidentifiable victim and hundreds of thousands who are unidentifiable.

Like hundreds of thousands of victims who were executed in Nakasero SRB, his head was battered beyond recognition.

We cannot name this man, doesn't mean he should be excluded from Amin's list of victims.

This man was murdered in Nakasero State Research Bureau.



Amin0004.jpg



The above picture was shot by Reimar Oltmanns.
German journalist and author. He was 1970-1972 Spokesman of the Lower Saxony Minister of Education Peter von Oertzen.



POSTED BY KOLOLO AT 06:25 0 COMMENTS







WEDNESDAY, 4 FEBRUARY 2015

Theresa Nanziri Bukenya



The Sad Demise of Theresa Nanziri Bukenya
Nanziri.jpg

It was on the evening of June 22nd 1976 when Idi Amin's regime committed a heinous act. Theresa Nanziri Bukenya, then a warden of Africa Hall at Makerere University, was picked from her residence by men from the dreaded State Research Bureau. Two days later Nanziri's dead body was found with bullet wounds on the neck, at River Ssezibwa. Nanziri had joined along list of others who suffered cold death at the hands of Idi Amin.

Bear in mind that she was 7 months pregnant at the time of her murder

Who was Nanziri?
Life Under Idi Amin: The Story of Theresa Nanziri Bukenya




POSTED BY KOLOLO AT 05:05 0 COMMENTS







SATURDAY, 3 JANUARY 2015

Bishop Janani Luwum



Janani Luwum - Wikipedia, the free encyclopedia




Idi Amin with Archbishop Luwum. Note the pistol at the side of Amin. He was said to have used it shortly afterwards to murder the Archbishop.

Bishop Luwum was tortured and killed by Amin and Minawa Farouk at Nakasero State Research Bureau torture chambers in 1977.



We forgave Amin, says Luwum family


This Month (February 2012) marked 34 years since the death of Archbishop Janan Luwum, who was allegedly murdered by State Research Bureau, an intelligence outfit under President Idi Amin's regime. His son, Ben Okello Luwum, the former minister of Lands from 1986 to 1990, Auditor General and now a private accountant, talked to Risdel Kasasira about the death of his father.


1. Could your father have done things differently to avoid death or having confrontations with Idi Amin and to what extent should religious leaders get involved in politics?
Amin and his men were terrible people. Just seeing you drive a beautiful car; you are dead. If his soldiers liked your house, they would kill you. So, I don't know the kind of answer I can give but I know he handled it well because Amin would kill for any reason.
There was no rule of law. Every religious leader is like I and you. They can comment about political issues whenever they get an opportunity because like any other Uganda, they should ask questions about political decisions in the country.



SEVEN QUESTIONS: We forgave Amin, says Luwum family*- Thought & Ideas*|monitor.co.ug


POSTED BY KOLOLO AT 06:10 0 COMMENTS







THURSDAY, 18 DECEMBER 2014

'Jolly Joe' J.W. Kiwanuka




Journalist, MP and former president of Uganda National Congress

Long-time politician


Murdered in cold blood.


Joseph Kiwanuka had the dubious distinction of being killed by Idi Amin himself. First, however, he was kept in Makindye Prison/barracks for several days of torture. On the day of his execution, Amin and a top official named Malire determined to beat him to death with hammers. They intended to drag out the ordeal and prolong his suffering, but as Joseph began to pray out loud for the forgiveness of their sins, Amin went into an uncontrollable rage, grabbed a nearby sledge hammer, dashed out his brains.


Amin then cut off his head and practiced blood rituals over his remains. Recognizing Jolly Joe as the smartes man in Uganda he stored his head in a deep freezer, superstitiously believeing that he could thus appropriate his ability to thing.
Jolly Joe Kiwanuka has found the Kingdom!


Adapted from A Distant Grief by F. Kefa Sempangi.


POSTED BY KOLOLO AT 08:38 1 COMMENTS







MONDAY, 3 FEBRUARY 2014

5th March 1971. 371 soldiers killed



371 Soldiers are believed to have been killed at Makindye barracks.

Amin0002.jpg



POSTED BY KOLOLO AT 05:15 0 COMMENTS





Frugence Musoke




Cousin of Nanziri



Genesis of murder:



According to Jane Mukasa Sserunjoji, prior to the kidnap of Nanziri, the same men from State Research Bureau had picked up Nanziri's best friend and cousin, Frugence Musoke who they allegedly used as bait to take away Nanziri from her residence without resistance or attracting attention from University students. Musoke then an accountant with East African Development Bank has never been seen again and relatives believe he was also killed. The kidnap and murder of Nanziri followed many other unexplained incidents at Makerere University that put Amin's regime under a magnifying glass.


POSTED BY KOLOLO AT 04:54 0 COMMENTS







SUNDAY, 29 DECEMBER 2013

Alex Ojera









Alex Ojera; right.








Obote's Minister of Information.

Killed in 1972




POSTED BY KOLOLO AT 01:01 0 COMMENTS
LABELS: OJERA ESCORTED TO A COCKTAIL PARTY WHERE AMIN PUBLICLY INTERROGATED HIM BEFORE HE WAS KILLED






THURSDAY, 20 JUNE 2013

Kay Adroa Amin




Kay Adroa Amin; Divorced wife and blood relative to Amin:

She was ex-president Idi Amin's wife and pride. Then her body was found, dismembered.
Who did it?http://allafrica.com/stories/200706180593.html






Kay (Left)
Kay Adroa Amin



POSTED BY KOLOLO AT 08:57 0 COMMENTS







SUNDAY, 28 APRIL 2013

Mr James Apinyi



Uganda Police Officer

2nd from Left or right: On his wedding day in 1966: Apinyi was killed by Amin in 1971.

To this very day, the where abouts of Mr Apinyi's remains are unknown.

The bodies of most of Amin's victims were clandestinely disposed of or mutilated beyond recognition, never to be recovered by their families. The vast majority of the victims are unidentifiable for this reason.

Apinyi (RIP)



POSTED BY KOLOLO AT 06:18 0 COMMENTS







SATURDAY, 30 MARCH 2013

Sebastino Namirundu




Suspected "Guerillas" alleged, apprehended, tried and convicted by the regime.



Sebastino Namirundu (Left) with Tom Masaba (Right) before their public execution by firing squad in 1973.


POSTED BY KOLOLO AT 05:19 0 COMMENTS





Tom Masaba (RIP)



Tom Masaba is stripped naked before being publicly executed in 1973.




The lifeless body of Masaba after the firing squad


POSTED BY KOLOLO AT 05:10 0 COMMENTS
LABELS: MASABA EXECUTED PUBLICLY BY AMINS REGIME






FRIDAY, 29 MARCH 2013

Lt. Ben Ogwang




, former intelligence officer at Malire Regiment


Ben Ogwang reads a confession / "plot" he was killed shortly afterwards.


POSTED BY KOLOLO AT 09:48 0 COMMENTS
LABELS: BEN OGWANG READS A CONFESSION / "PLOT" HE WASKILLED SHORTLY AFTERWARDS




Basil Bataringaya




Obote's Minister of Internal Affairs


Basil Bataringaya was dismembered alive outside the town of Mbarara and his severed head displayed on the end of a pole. His wife too was killed soon after, allegely by Juma Bahir, the Governor of Western Province.


Source: Uganda Since Independence. A Story of Unfulfilled Hopes.
Africa World Press, Inc.
P.O.Box 1892
Trenton, N.J.08607
@ Phares Mutibwa, 1992


First American edition 1992
Originated by C. Hurst & Co. (Publishers)Ltd. London England
ISBN: 0-86543-357 PB


POSTED BY KOLOLO AT 08:30 0 COMMENTS
LABELS: BASIL BATARINGAYA'S LAST MOMENTS, HE HAS NEVER BEEN SEEN AGAIN.




Okot YY



Top Right
Executed on trumped up charges in 1977

In september 1977, amin publicly executed 12 people he accused of plotting against his government. Those executed at the kampala clock tower on september 9, in what was termed "death in the afternoon", included y.y. okot, former chief of education; john leji olobo, senior relations officer of ministry of works; elias okidi-menya, former general manager of lake victoria bottling co; garison s. Onono, former principal of bobi foundation school; julius peter adupa, former teacher in lira; ben ongom, businessman; abdalla anyuru, former chairman of the uganda public service commission; lt. Ben ogwang, former intelligence officer at malire regiment; daniel nsereko, former assistant commissioner of police; peter atua, former principal officer with luzira prison; e. N. Mutabazi, former superintendent of prisons; john kabandize, former senior superintendent of prisons.

The notorious col. Nassur abdallah, the central province governor, had by this stage developed a dislike for slippers, which he considered bathroom attire. Once caught wearing slippers in the city centre, apart from being made to eat them, one was spirited off to nakasero state research bureau. Countless numbers of ugandans perished in the dungeons there.


POSTED BY KOLOLO AT 06:56 1 COMMENTS





Mr Charles Oboth Ofumbi




Left, murdered by Amin 1977


the killing of archbishop janani luwum, lands minister and former inspector general of police erinayo oryema and interior minister charles oboth-ofumbi on february 17, 1977, marked the climax of amin's bloody repression.
After these murders, amin took a ruthless and sweeping decision: all remaining acholi and langi soldiers were to be eliminated. After all, he had allegedly uncovered a plot to overthrow his government in which the archbishop and the two ministers were a part.


POSTED BY KOLOLO AT 06:22 0 COMMENTS







SUNDAY, 17 MARCH 2013

Mr Apollo Lawoko





Survived cruelty dehumanisation and torture. We thank God he survived to tell the tale in his book. THE DUNGEONS OF NAKASERO
Författares Bokmaskin | Page 2

The dungeons of NakaseroWodOkello LawokoCirkapris: 250:-Utgivningsår: 2005Språk: engelskaAntal sidor: 336Utförande: limbundenISBN: 91-7910-691Beställningsadress: WodOkello LawokoStångholmsbacken 56, 4tr127 40 SkärholmenTelefon: 08-710 38 65







POSTED BY KOLOLO AT 09:57 0 COMMENTS







SATURDAY, 16 MARCH 2013

Eng P.M.O Onen




Was arrested by Amin's henchmen, ArchBishop Luwum's intervention saved his life.

He survived by going into exile. His account of what took place is in his book "The diary of an obedient servant during miisrule"

JANyeko Publishing Centre Ltd
ISBN 9970-510-02-0
.




POSTED BY KOLOLO AT 07:43 0 COMMENTS







FRIDAY, 1 MARCH 2013

John Tidhamulala



Secretary, National Insurance Corporation.

in early 1973, members of the Public Safety Unit burst into the corporations building in Kampala, arrested the Cariman Mr Wekiro and te Secretary Mr Tidhamulala. They hit them repeatedly in front of their staff, forced them into waiting cars. They drove to the HQters of PSU naguru. By the time they arrived the secretary was dead. Wekiro the chairman survived.

POSTED BY KOLOLO AT 19:28 0 COMMENTS







THURSDAY, 28 FEBRUARY 2013

Eliphaz Laki



Eliphaz Laki, Former County Chief of Ibanda, Mbarara




Amin Era Soldier Faces Murder Charge
©New Vision (Kampala)
July 7, 2001

Another soldier of the defunct Uganda Army Sgt. Mohamed Anyure, was on Thursday charged with the 1972 murder of Eliphaz Laki, the former county chief of Ibanda, Mbarara, reports Hillary Kiirya.
Anyure is the third soldier to be charged with the murder. The others were Amin's former army chief of staff, Maj. Gen. Yusuf Gowon, and his bodyguard, Nursur Gille.
Anyure, who was arrested last week, was remanded in Luzira on Thursday. Gowon, however, was granted bail on 18 June due to illness, including high blood pressure. He is to re-appear in court on July 12 for mention. Buganda Road Court Grade One Magistrate Joyce Namubiru told the accused to apply to the High Court for bail.
The prosecutor, Miriam Akite, said Anyure, Gowon and Gille, murdered Laki at his county office in Ibanda. in Mabarara district. The hearing was adjourned to July 12 when he also re-appears in court.
Copyright © 2001 New Vision. Distributed by AllAfrica Global Media (allAfrica.com).



POSTED BY KOLOLO AT 04:05 0 COMMENTS







WEDNESDAY, 27 FEBRUARY 2013

Mr Sirayo Yona Nyeko



NEW BOOK REVEALS IMPACT OF AMIN'S BLOODY RULE


By George Murumba
15[SUP]th[/SUP] Aug 2011:
The new book

The daughter of one of former Ugandan dictator Idi Amin's many victims has written a book called ‘The Silent Sunset' which talks about her late father Mr. Sirayo Yona Nyeko, a prominent Acholi from Kitgum who was one of the people killed in 1977 during Idi Amin's reign of terror.In an email to Uganda Correspondent, the author, Ms Jennifer Nyeko-Jones, who is a practising Lawyer in the United Kingdom says, "…the book is a biography of my father Sirayo Yona Nyeko, one of Amin's victims, who we lost in 1977".She then sets out the things that inspired her to write ‘The Silent Sunset'. "…I have felt the need to preserve his [her father's] memory, and by so doing, write his story", author says. The other reason, she says, is that "…very little has been written about Amin's victims, their lives, and the lives of their families who still endure the pain that Amin's brutality inflicted on them".Finally, Jennifer says, she "…wanted to change the mindset that people have, that whenever they talk about Amin's victims, only the manner of their deaths are discussed, but not what they stood for, or their contributions to their country Uganda"



POSTED BY KOLOLO AT 03:29 0 COMMENTS







WEDNESDAY, 20 FEBRUARY 2013

Keneri Obita Achellam




Killed in 1972


POSTED BY KOLOLO AT 06:57 0 COMMENTS







FRIDAY, 1 FEBRUARY 2013

Mr Justice Michael Kagwa



President, Industrial Court.

Kagwa was extremely rich (he had a Mercedes sports car with its own TV)had a girlfriend, Helen Ogwang, in whom Amin was interested. In september 1971, Kagwa was seized by Amin's bodyguards at the Kampala international hotel swimming pool. They shot him and burnt his body, together with his mercedes, on the outskirts of Kampala near namirember Cathedral. No attempt was made to discover who the murderers were. The senior polic officers had already ben arrested for investigating the Okoya murder.

Killed.

Source Henry Kyemba....

POSTED BY KOLOLO AT 07:24 0 COMMENTS





Mr Ben Kiwanuka



Benedict Kiwanuka; Democratic Party leader, first Prime minister of Uganda and Chief Justice at the time of his death. Kiwanuka had angered Amin by releasing a European, for lack of evidence, on the ridiculous charge of stealing a telephone directory from a hotel.




Mystery of Ben Kiwanuka's Murder.
Mystery of Ben Kiwanuka's murder. Compare with Kalimuzo's, you will then learn more | Ugandans-At-Heart


Ben Kiwanuka to be remembered:
Ben Kiwanuka to be remembered | Uganda Multimedia News and Information


Ben Kiwanuka's final days (from the weekly observer 20th oct 2005
ugandaobserver.com



POSTED BY KOLOLO AT 06:56 0 COMMENTS







WEDNESDAY, 30 JANUARY 2013

Dora Bloch



30572709_122399225273.jpg

British-Israeli Hostage.

On the morning of july 4, 1976, israeli commandos raided entebbe airport (old airport) to free 102 israeli hostages taken after a plane hijack by the palestinians. The raid cost amin 20 of his soldiers. One hostage, 75-year-old dora bloch, who had been hospitalised at mulago, was picked up by maj. Farouk minawa of the state research bureau and capt. Nasur ondoga, amin's chief of protocol. She has never been seen again

After the humiliation at the hands of the israelis, amin asserted his authority through further indiscriminate killings in parts of uganda.

Dora Bloch (1901 - 1976) - Find A Grave Memorial


POSTED BY KOLOLO AT 05:15 0 COMMENTS







TUESDAY, 29 JANUARY 2013

Bryon Kawadwa



Playwright, Artiste and director of National Theater. Murdered by Amin's henchmen.

The fatte of Kawadwa at the hands of Amin's agents was not without its tragic irony. Several Baganda theatre artists welcomed Amin's coup, as first. Popular theatre artists like Kiyingi and Kawadwa, and literary dramatists like Serumaga, thought Amin would reinstate the Kabaka, (who had been deposed from his traditional kinship by Obote). Although the Kabaka was not reinstalled, in the early years of Amin's regime, Kawadwa's productions did seem to spearhead a Baganda renaissance.


Eventually, however, Amin's paranoia took offence at one of Kawadwa's most popular plays. St Charles Lwanga, first produced in 1970, was a play about the nineteenth century Baganda Christians who were martyred by Kabaka Mwanga. kawadwa decided to revive the play in 1976 and owing to its Christian content, sought and received approval for the performance from Muslim Amin's presidential office.


In 1977, the year of the performance, Amin's notorious Bureau of State security outraged Ugandan and world opinion by murdereing the Anglican Archbishop, Janani Luwum. Suddenly Kawadwa's play was transformed from a relatively innocuous exploration of nineteenth century Ugandan history into a politically sensitive allegory on contemporary sttate terroris. Soon afterwards, Byron and several members of his theatre company were picked up by the bureau of state security and their burnt bodies were discovered in the bush 33 km outside Kampala. Kawadwa's fate seems all the more pathetic because he was not an oppositional author of a consciously ideological stamp; it was just tthat his ability to ceate theatrical forms with a wide popular appeal outside Amin's permitted propaganda machinery eventually seemed a threat to the state.


POSTED BY KOLOLO AT 08:41 0 COMMENTS





Ms. Edith Bataringaya



Wife of Basil Bataringaya murdered three years after her husband.

POSTED BY KOLOLO AT 08:36 0 COMMENTS





Nicholas Stroh



American Journalist.

on july 7, 1971, two american journalists – nicholas stroh and robert l. Siedle (also a lecturer at makerere university) – set out to investigate the masaka army barracks massacres. On arrival at the barracks, they were arrested on the orders of lt. Col. Ali and to this day they have never been seen again nor their bodies found.

%252Faa_sun_19710806_p013-001.jpg



POSTED BY KOLOLO AT 08:26 0 COMMENTS





Ahmed Oduka



Director of Police band

bandmaster in the police.

Director of Music Uganda Police. Fled to Mombasa but returned on Amin's assurance of safety. Bludgeoned to death within minutes of return. Amin admitted his death but insisted that Oduka died of fright when soldiers pointed guns at him.




POSTED BY KOLOLO AT 08:26 0 COMMENTS







SATURDAY, 5 JANUARY 2013

Mr Erinayo Oryema




Murdered in 1977


DEATH

On 16 February 1977, Oryema, Archbishop Janani Luwum and Interior Minister Charles Oboth Ofumbi were arrested. The same day Idi Amin convened a rally in Kampala with the three accused present. A few other "suspects" were paraded forth to read out "confessions" implicating the three men for planning to stage a coup. The next day, Radio Uganda announced that the three had been killed when the car transporting them to an interrogation center had collided with another vehicle. The accident, Radio Uganda reported, had occurred when the victims had tried to overpower the driver in an attempt to escape.[SUP][2][/SUP] Henry Kyemba, Minister of Health in Amin's government, later wrote in his book A State of Blood, that "The bodies were bullet-riddled. The archbishop had been shot through the mouth and at least three bullets in the chest. The ministers had been shot in a similar way but one only in the chest and not through the mouth. Oryema had a bullet wound through the leg."[SUP][3][/SUP]
According to the later testimony of witnesses, the victims had been taken to an army barracks, where they were bullied, beaten and finally shot.[SUP][4][/SUP]
Erinayo Oryema was by the time of his death the longest serving minister in Amin's government. The murder of Oryema and Luwum had profound effects. Their deaths made many realise that no one was safe, and shortly thereafter several of Amin's ministers defected or fled to exile.



POSTED BY KOLOLO AT 06:56 0 COMMENTS







TUESDAY, 1 JANUARY 2013

Mr Mateo Auko




He was the third born of seven, he studied in Pajule, he used to walk six miles to (and from) school. After finishing his junior education, he joined the Police force. He excelled and studied in the UK at the Police academy in Hendon and he studied in Sandhurst as well.

Auko (RIP) was chief of CID. Auko's death is inextricably linked to Okoya's murder, as Auko was one of the investigators into Okoya's murder.

The late Auko was killed as he travelled to Jinja. The exact location is unclear, but it is between Iganga and Jinja. This was a conspiracy (involving Amin) to cover Okoya's murderers.

Anyone with further information may add it in the comments section or send it discreetly toapinyi99@yahoo.com

Kind Regards,

POSTED BY KOLOLO AT 16:29 0 COMMENTS







SUNDAY, 30 DECEMBER 2012

Brig. Pierino Okoya



Commander of the army's Second Infantry (RIP) and his wife Anna Okoya (RIP), were shot and killed in their home at Koro village, a few miles from Gulu town and Military Airbase on January 25, 1970.
brig20okoya20small.jpg



Acholi Times.
Belgium takes Senegal to court over fugitive - Acholi Times - The voice of the Acholi people



Born in 1928 at Palaro, sub-county, Gulu district, Okoya joined the King's African Rifles (KAR) in 1950, joining a long line of Ugandan soldiers in the outfit. Those who had joined earlier included Idi Amin, Tito Okello and Shaban Opolot. By the time Okoya died in 1969, he was only 41 years old and obviously with a long soldiering life ahead of him.

He was commissioned lieutenant in 1962 after independence. Others appointed to the same rank by the Presidential Commission of the Kabaka were Omoya and Albertino Langoya. The only other lieutenants in the country at the time were Idi Amin Dada and Shaban Opolot who were commissioned by the Queen. Before that Okoya was the second in command of the B Company in the 4th regiment of the King's Africa Rifle (KAR) at Jinja which was the nucleus of the post-independence army. Okoya's fellow lieutenants suffered mixed fate in their soldiering life.

Opolot was later arrested by Milton Obote and imprisoned, but Amin went on to become the Army Commander and President of Uganda. Albertino Langoya, the other lieutenant was, however, one of the top officers to be murdered when Aminoverthrew Obote, while Omoya died mysteriously at the rank of colonel in 1968.

Brigadier Pierino Yere Okoya was the deputy army commander to Idi Amin and the commander of the Second Infantry Brigade of the Uganda Army in Masaka, by the time he was killed.

Following independence, Okoya rose through the ranks, becoming a captain, major and colonel by 1965. He was made brigadier and army chief of staff in 1968 due to his leadership ability, dedication and discipline; which, according to those who knew him were of admiration to other officers and won him respect in the rank and fi le of the Ugandan army.

Death so soon
A giant, whisky-loving soldier, Okoya was additionally the brigade commander of what was at the time known as the Western Command, based in Masaka. He was killed, together with his wife Anna on January 25, 1970 at their Gulu home in northern Uganda, a few kilometers away from the army barracks in Gulu.

Anna Okoya had gone out to take a bath on the veranda when the killers struck. Brig Okoya came out on hearing the gunshot and was in turn killed in the doorway. It is not clear if it was a robbery gone wrong or an assassination. The media the next day carried the grisly photo of the brigadier and his wife.

Acholi leaders and Acholi officers and men of the Uganda Army failed to hold Obote's government to account for the death of Brig. Okoya which came almost immediately after the mysterious death of another Acholi soldier, Col Omoya in 1969. Brig. Okoya's murder complicated the relationship between Obote and Aminon one hand and Amin and the other Acholiofficers on the other.

Okoya had earlier denounced Amin for cowardice because he fled to a military base instead of taking charge of the army following an attempted assassination of Obote in December 1969. This is why some fingers pointed at Amin as having master-minded the murder. On the other hand, Okoya's death marked the beginning of the blood bath that the people of Acholi are still facing to this day, years after Okoya's death.

Accusations
According to Brig. Bernard Rwehururu, the murder of Okoya pointed to several sources. "Since Okoya was an Acholi, he was viewed as a threat to Obote," Rwehururu wrote in his book Cross to The Gun. "The decision lay in having Okoya eliminated," he adds.

Following this, Brig. Smuts Guwedeko, then a captain, and Maj. Geoffrey Kasule were arrested. Okoya's death was never properly investigated, even after numerous calls for an independent inquiry. Rwehururu says having trained with and worked with the two accused, it would be surprising if they had a hand in the assassination.

"Those of us who knew the two officers received the news of their arrest with shock. …under normal circumstances, they could never harm a fly," Rwehururu said. "We concluded the two officers were being used as pawns in a game of chess whose real players we could not really point at," he wrote. The two officers were later released by Idi Amin when he took over power in 1971. Guwedeko even rose to the rank of colonel. On his part, Obote believed that Okoya was killed by IdiAmin.

"A few weeks later, Okoya was killed. Investigations in both the attempted assassination on me and the murder of Okoyawere leading to Idi Amin by the time I left the country for Singapore in January 1971," Obote wrote in one of his life stories in 1991. Obote said by early 1971, he had ‘finalised' investigations in the murder of Okoya and he was sure Amin was the killer. On the other hand, Henry Kyemba, author of the much acclaimed State of Blood concluded that Okoya was murdered by Amin.

"A month later, at a meeting of senior army officers, Brig. Pierino Okoya, Amin's number two, an Acholi, quarreled violently with Amin on the subject of army discipline as related to Amin's behavior after the attempted assassination," Kyembaremembers. But whether it was an assassination or a robbery gone wrong, Uganda lost a soldier whose prospects looked good.


POSTED BY KOLOLO AT 04:48 0 COMMENTS
LABELS: BRIG OKOYA (LEFT) WITH DR A.M. OBOTE






SATURDAY, 29 DECEMBER 2012

Mrs Anna Okoya



Mrs Anna Okoya, wife of Okoya was killed by Amin

POSTED BY KOLOLO AT 08:24 2 COMMENTS







THURSDAY, 20 DECEMBER 2012

Otim Oryem




He was apprehended.... by security men. He was quietly led away to an underground subway. Otim could not allow himself to be interrogated and tortured.....




That fateful morning of 15th July 1975 died a true, and perhaps the most courageous son of uganda and one of the last Oryems........



God bless Acholi


POSTED BY KOLOLO AT 06:12 0 COMMENTS









Subscribe to: Posts (Atom)






BLOG ARCHIVE













ABOUT ME

KOLOLOVIEW MY COMPLETE PROFILE



Chama
Gongo la Mboto DSM



 
Watu wote wasio na hoja ukimbilia kwenye hoja mbovu kama hizo za udini....!!! Huo ndo upofu wa watu wasio na hoja za msingi na badala yake kukimbilia kujificha kwenye hoja zinazochefua kama hizo za udini. Unavyosema "baadhi yenu" ina maana nami ni mmoja wao...hebu onesha angalau mstari wangu mmoja achilia mbali post mzima ambayo nimehusisha suala la udini kama msukumo wa Nyerere. Ni aibu, narudia ni aibu...kukosa hoja halafu kukimbilia kwamba huo ni udini, chuki na upuuzi mwingine kama huo. Narudia, onesha angalau mstari mmoja ambao nimehusisha na suala la udini.

Nisamehe kwa kwa generalization niliyoifanya kama wewe sio mmoja wao.
 
Kichuguu,

Na-review sources hapa kuhusu vita hivi. Vita vya 1972 vilikuwa na elements za watanzania kumrudisha Obote. Kumbuka Obote alikuwa ni Trio katika siasa za ukombozi: Nyerere, Obote, and Kaunda.

Kufikia 1978, technically Obote hakuwa na umuhimu wowote katika masuala ya ukombozi. Marais wa Msumbiji na Angola tayari walishaingia kambini.

Na wakati huo huo kulikuwa na wanajeshi watanzania wanaopigana vita vya proxy nchi Msumbiji na Zimbabwe. Hivyo Tanzania haikuwa na sababu ya kufungua front nyingine ya kumrudisha Obote Uganda.

Vita vya Uganda vilianza baada ya vikosi vya majeshi ya Uganda kuanza kupigana vyenyewe. Vikosi vingine vilikimbilia Tanzania na Idi Amin alifikiri kuwa Tanzania ndio chanzo cha migogoro ya wanajeshi wake. Na akahamua kuvamia Tanzania.

Kwa kuwa alijileta mwenyewe, agenda ya kumrudisha Obote ikawa ndani ya meza. Kutokana na uhusiano wa Nyerere na Obote wa miaka ya 60, Nyerere ali-prefer Obote. Lakini waganda wengine hawakumtaka. Na Nyerere alishamwambia Museveni kuwa kijana una uchu na madaraka.

Inaitwa mixed motives.....
 
Waberoya;
"Nimekupa mifano tu mkuu, nimekaa uganda na ninaweza kukueleza mengi ya huko, Stop calling Amin a dictator, just because you studied that in history does mean so!! just because western propaganda it does mean so!! waingereza ndio walimuita sana Amin baada ya kuwafanyia yale mambo!!! USA at that very time mnamwita amin dicator bado walikuwa na mahusiano mazuri sana ya kibiashara, please find in literature!!"
We have right to differ on this argument. Did you read the link you posted? I did agree with the paper in the sense that I had most of the information; So what I know is not about Western propaganda; how do you describe a person who ordered his troop to commit mass killings? You mentioned about US business relationship with Amin; President Carter sanctioned Amin, let me remind you US will do business with any country as long as their interest is served. Calling Nyerere dictator? just give me one example of atrocity committed by Mwl. Nyerere (R.I.P); by the way I have been to Uganda several times never heard anybody mentioned good thing about Amin, may be we need to make a trip together. Most Ugandans remember him for the pain suffered.

Chama
Gongo la Mboto DSM

Kumbe unataka tushindane uwepo wetu wa uganda...?, ukitaka kubisha unaweza kuendelea. Nimekutana na waganda wengi na moja ya sababu ya kukichukia kiswahili ni kwa sababu ya hasira zao kwa askari waliofundishwa Tanzania waliomuondoa dada!!

Mkuu hivi u-dictator mpaka ufanye mass killings? realy?

umekubali kuwa kulikuwa na mixed motives ya Nyerere kumpiga idd amin kwenye hiyo paper? what can you say abaout this?

Trip siwezi kwenda niko hukuhuku mkuu, njoo Busia twende Jinja tu hapo upate mwanga...jioni nitakupumzisha na wahindi wanaojiuza ..LoL!

Mkuu kama nilivyosema hapo awali ukabila wa Uganda unatisha sana....

Kama umetembea uganda, sio unaishia kampala halafu unasema umetembea..kampala watamponda tu amin kama wanavyomponda museven sasa, ndio.. sio Baganda bana? wanataka kusujudiwa na uwalambe miguu!! ukiacha kiingereza lugha kubwa inayofuatia ni buganda/baganda..ambao hata uwe kabila gani lazima ujue lugha yao bila hivyo maisha ni magumu sana uganda

Hawa ndio ambao amin aliwatembelea...na kudai mass killings, museven pia hataki hata kuwaona

facts ni kuwa Museven kaua wengi kuliko Obote, Obote kaua wengi kuliko amin,..Obote waziwazi alitupa katiba kule mara baada ya uhuru na ku-assume dictatorship!!! Amin (huyu dictator) akamwondoa dictator mwenzake. But no where utasikia Obote alikuwa dictator..!! tafuta article inayoitwa ""From obote to museven: one game different players!"

spinning nyingi zinatoka kwa hili kabila babe ambalo ndio wameenda shule

Mkuu Nyerere kuitwa dictator sio mshtuko!!! in some cases alikuwa hivyo na kama utaleta definition ya neno hili basi...mpaka mababa nyumbani wanaitwa madictator so take it lightly he was

Kuuondoa vyama vingi, ku-assume chama kimoja, kuweka watu vizuizini, kuzuia demokrasia ( nadhani ulichagua mtu na kivuli..pole we)!!

Nyerere jamani ni mtu, sio malaika.....alifanya mazuri na alifanya madudu pia..why bother??
 
Back
Top Bottom