Pichani amenukuriwa akiiongelea tena vita hii tuliyokuwa tunaanza kuisahau:
Ikumbukwe kinara wa vita hii alikuwa hayati Magufuli.
Bila shaka safari hii hatutaachana gizani, bali tutafikia kufahamishwa mbaya wetu huyo hasa ni nani?
Watuonyeshe mbaya wetu.
Zikawe ama zake ama zetu!
Ikumbukwe kinara wa vita hii alikuwa hayati Magufuli.
Bila shaka safari hii hatutaachana gizani, bali tutafikia kufahamishwa mbaya wetu huyo hasa ni nani?
Watuonyeshe mbaya wetu.
Zikawe ama zake ama zetu!