Vita vya Ukraine; Wasichotuambia wazi

Vita vya Ukraine; Wasichotuambia wazi

Natty Bongoman

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2008
Posts
403
Reaction score
191
1646787061584.png


waUkraine na waRus wameishi pamoja kwa amani hadi mshinikizo wa mmarekani na wenzake wa ulaya magharibi - wakaanza kubeza na kuwaonea waRus tokea 2014 kiukatili sana... waUkraine (viongozi) na washinikizaji hadi wakaruhusu kundi la NATIONALIST (wabaguzi wenye itikadi za hitler) kuchochea ubaguzi, ukatili na kutenda matendo mabaya...

Umetambua vile hawatuambii kuhusu hii jamii kubwa ya asili ya kirusi nchini Ukraine? Kwa sababu inatuonyesha kumbe mrusi ana sababu nzuri za kuingia Ukraine.

Siamini waUkraine walio wengi wanakubaliana na siasa za Zelensky akishirikiana na wamagharibi na kundi la kina Hitler. Hitler alitesa na kuua waUkraine wengi vita vya 2 vya dunia - hadi mrusi alipomwaga damu nyingi kuwakomboa. Haileti mantiki raia walio wengi Ukraine wakawa na moyo wa kuwageuka warusi kama tunavotangaziwa na wamagharibi. Mbona karibu nusu nchi ni wa asili ya kirusi? Ni porojo na propaganda tunatangaziwa na wamagharibi ili tuingie mkenge. Wananchi walio wengi Ukraine wamekuwa wanawaogopa wale wanajeshi vichwa hitler manake wameumiza na kuua wapinzani wa sera zao. Kwa hiyo kupiga kelele nchini Ukraine wanaogopa sio kwamba wanaunga mkono kindakindaki.

Putin aliomba mazungumzo, akaonya, wakasaini MINSKY mkataba lkn viongozi wa Ukraine kwa shinikizo la wanje wakaubeza mkataba. Kila majaribio yalivofeli, na vile Putin anajua wanje hawawajali waUkraine ila wanajali kupata nchi ili wawe karibu na adui yao mrusi - kaamua kutatua tatizo pia kukomboa warusi.

Je Putin ilitakiwa asitetee wananchi wake? ana makosa gani?
Je raisi wa Ukraine hana makosa kukubali uchochezi, kuruhusu waasi wa kihitler kuwa wanajeshi na mdomo wake kuwaonea warusi nchini Ukraine?
Mimi naona Zelensky alikuwa mjinga kusahau historia yao na warusi na kukubali kushawishika kijinga
Je huyu raisi

SABABU KUU NAHISI:
  • mafreemason lengo kuu ni kutawala dunia ya serikali na itikadi moja, kisia ni ipi inayosukumizwa dunia nzima siku hizi. Mrusi na mchina ni vikwazo kwa sababu ili lengo litimie inatakiwa wabaki wababe pekee yao.
  • kuna hasira za kuboronga na kushindwa kule Afghanistan, Syria, Iraq, Iran, .... kwa sababu ya mrusi kwa njia moja ama nyingine.
  • waliamua labda kipumbavu kwamba mrusi hana nguvu ama atatulia tu baada ya urusi kubwa kuvunjika... walimkadiria ovyo putin... katoa jibu ambalo hawakutegemea na sasa kwa sababu za sifa na ujeuri hawatakubali kushindwa bila kuvuruga sifa za mrusi duniani... vita vya propaganda ndio silaha waliobakiwa nayo
1646789177604.png

1646789218577.png
 
Ungejikita kwenye facts kwanza kisha umalizie na maoni yako na mtazamo wako, ila andiko lote hili limejaa mtazamo wako unavyotaka tuone wewe.
Kwa sasa Urusi kaingilia nchi ya watu, hivyo ni ugomvi baina ya Ukraine na Urusi, hamna tena cha lugha wala matabaka.
Leo hii Kenya ikiingia kwenye vita baina yake na Tanzania, wale Wamaasai wa Ngorongoro mnaowavuruga huko watauvaa Utanzania na kutetea nchi yao kwanza, hawatataka kujua kwamba Kenya wana lugha yao na undugu, ila utaifa kwanza dhidi ya mvamizi, na ndivyo Wapemba hawatajali undugu wao na Mombasa, au Wapare kwa Wataita, itakua uhuru wa nchi kwanza....

Kwa sasa mvamizi Putin amesababisha watu wa Ukraine wameungana dhidi ya mvamizi, hamna cha CCM/Chadema/Simba/Yanga...ni taifa kwanza, bendera yao, uhuru wao na watapigana mlango kwa mlango, kwenye mashamba yao, kwenye mitaro, mahandaki, milima yao, mito yao mpaka mvamizi achoke ajiondokee kama ilivyokua kwa Mmarekani kule Vietnam.....
 
Ungejikita kwenye facts kwanza kisha umalizie na maoni yako na mtazamo wako, ila andiko lote hili limejaa mtazamo wako unavyotaka tuone wewe.
Kwa sasa Urusi kaingilia nchi ya watu, hivyo ni ugomvi baina ya Ukraine na Urusi, hamna tena cha lugha wala matabaka.
Leo hii Kenya ikiingia kwenye vita baina yake na Tanzania, wale Wamaasai wa Ngorongoro mnaowavuruga huko watauvaa Utanzania na kutetea nchi yao kwanza, hawatataka kujua kwamba Kenya wana lugha yao na undugu, ila utaifa kwanza dhidi ya mvamizi, na ndivyo Wapemba hawatajali undugu wao na Mombasa, au Wapare kwa Wataita, itakua uhuru wa nchi kwanza....

Kwa sasa mvamizi Putin amesababisha watu wa Ukraine wameungana dhidi ya mvamizi, hamna cha CCM/Chadema/Simba/Yanga...ni taifa kwanza, bendera yao, uhuru wao na watapigana mlango kwa mlango, mashambani, kwenye mitaro, mahandaki, milima yao, mito yao mpaka mvamizi achoke ajiondokee kama ilivyokua kwa Mmarekani kule Vietnam.....
Endelea kutikisa mbuyu mkunya
 
Ungejikita kwenye facts kwanza kisha umalizie na maoni yako na mtazamo wako, ila andiko lote hili limejaa mtazamo wako unavyotaka tuone wewe.
Kwa sasa Urusi kaingilia nchi ya watu, hivyo ni ugomvi baina ya Ukraine na Urusi, hamna tena cha lugha wala matabaka.
Leo hii Kenya ikiingia kwenye vita baina yake na Tanzania, wale Wamaasai wa Ngorongoro mnaowavuruga huko watauvaa Utanzania na kutetea nchi yao kwanza, hawatataka kujua kwamba Kenya wana lugha yao na undugu, ila utaifa kwanza dhidi ya mvamizi, na ndivyo Wapemba hawatajali undugu wao na Mombasa, au Wapare kwa Wataita, itakua uhuru wa nchi kwanza....

Kwa sasa mvamizi Putin amesababisha watu wa Ukraine wameungana dhidi ya mvamizi, hamna cha CCM/Chadema/Simba/Yanga...ni taifa kwanza, bendera yao, uhuru wao na watapigana mlango kwa mlango, kwenye mashamba yao, kwenye mitaro, mahandaki, milima yao, mito yao mpaka mvamizi achoke ajiondokee kama ilivyokua kwa Mmarekani kule Vietnam.....
Poa mkuu sina upingani kaingilia nchi huru ya watu ila nilianza kuongelea pointi yangu vile hawatuambii nchi ilivo - yaani upande wa mashariki ya nchi ni jamii za kirusi... pamoja na kwamba walichokozwa warusi kwanza. Niliona kama kujua Ukraine ilivogawanyika kijamii haikupazwa sauti ...

Mfano wako wa kenya... swali liwe kwa nini imefikia mahali mmasai apigane na mmasai, lingine kufa na kupona tuna uhakika damu haitakuwa nzito kuliko maji?

Tukumbuke vita vilianza kuchemka pale Ukraine ilivoanzisha sheria za kubagua waUkraine wa mashariki wenye asili ya kirusi. Sheria kama kutotumia wala kuongea lugha ya kirusi (lugha yao asili). Juu yake kuwatupia mabomu na kufunga jela walioongea kirusi ama kuonekana wanaendana na urusi... yaliofuata hadi vita leo ni uchochezi wa hali ya juu na uingizaji silaha...

Tunakula zaidi habari za upande wa magharibi. Sio siri hii vita iko kote hadi propaganda na habari feki. Labda kama unavosema Putin kaunganisha waUkraine... ila du vile waUkraine wameteseka kwa kuwa na asili ya kirusi (cheki ramani) wote wameunganika na muUkraine wa magharibi? Ila Putin ametikisa dunia, sidhani wamagharibi walilitegemea - hawakuwa tayari...

Mchezo unaendelea kuchafuka, na sasa unatesa waUkraine wote sio wa mashariki tu. Zelensky sijui sa ivi anaegemea nini, kasema wapiganaji wa nje karibuni tuwape silaha... kajibiwa japo si kisheria sisi wenyewe tuna maombi kibao waliotusaidia kupigana na isil... du - hii ni chess game
 
Poa mkuu sina upingani kaingilia nchi huru ya watu ila nilianza kuongelea pointi yangu vile hawatuambii nchi ilivo - yaani upande wa mashariki ya nchi ni jamii za kirusi... pamoja na kwamba walichokozwa warusi kwanza. Niliona kama kujua Ukraine ilivogawanyika kijamii haikupazwa sauti ...

Mfano wako wa kenya... swali liwe kwa nini imefikia mahali mmasai apigane na mmasai, lingine kufa na kupona tuna uhakika damu haitakuwa nzito kuliko maji?

Tukumbuke vita vilianza kuchemka pale Ukraine ilivoanzisha sheria za kubagua waUkraine wa mashariki wenye asili ya kirusi. Sheria kama kutotumia wala kuongea lugha ya kirusi (lugha yao asili). Juu yake kuwatupia mabomu na kufunga jela walioongea kirusi ama kuonekana wanaendana na urusi... yaliofuata hadi vita leo ni uchochezi wa hali ya juu na uingizaji silaha...

Tunakula zaidi habari za upande wa magharibi. Sio siri hii vita iko kote hadi propaganda na habari feki. Labda kama unavosema Putin kaunganisha waUkraine... ila du vile waUkraine wameteseka kwa kuwa na asili ya kirusi (cheki ramani) wote wameunganika na muUkraine wa magharibi? Ila Putin ametikisa dunia, sidhani wamagharibi walilitegemea - hawakuwa tayari...

Mchezo unaendelea kuchafuka, na sasa unatesa waUkraine wote sio wa mashariki tu. Zelensky sijui sa ivi anaegemea nini, kasema wapiganaji wa nje karibuni tuwape silaha... kajibiwa japo si kisheria sisi wenyewe tuna maombi kibao waliotusaidia kupigana na isil... du - hii ni chess game

Putin hajaitkisa dunia, kama vipi ameonyesha namna Urusi ilivyo dhaifu, wengi tulijua huu mchezo ataumaliza ndani ya siku tatu, leo wiki zimepita, ameingiza wanajeshi 120,000 Ukraine bado hawajafaulu kuiteka Kiev, wanajeshi wengi hivyo ni gharama hadi tumeshuhudia wanaiba vyakula kwenye maduka, njaa imeanza kuwatafuna.

Leo hii Putin ameanza kuwafuta kazi majenerali Putin awafuta kazi majenerali nane na pia agombana sana na taasisi y ujasusi ya FSB
 
Putin hajaitkisa dunia, kama vipi ameonyesha namna Urusi ilivyo dhaifu, wengi tulijua huu mchezo ataumaliza ndani ya siku tatu, leo wiki zimepita, ameingiza wanajeshi 120,000 Ukraine bado hawajafaulu kuiteka Kiev, wanajeshi wengi hivyo ni gharama hadi tumeshuhudia wanaiba vyakula kwenye maduka, njaa imeanza kuwatafuna.

Leo hii Putin ameanza kuwafuta kazi majenerali Putin awafuta kazi majenerali nane na pia agombana sana na taasisi y ujasusi ya FSB
Hiyo nayo pointi kwa mtazamo huo.
Unaonaje labda alikuwa anatumia mchezo wa kutishia kwanza manake kupaki nje ya kiev siku kadhaa nako ni kujiamini
...ama labda wamagharibi waliandaa upinzani zaidi ya warusi walivotegemea
... ama mishe kuondoa raia kwanza
... ila pia taarifa za wanationalist kutumia raia kama kinga nazo nyingi - inabidi kubomu makini
 
Ungejikita kwenye facts kwanza kisha umalizie na maoni yako na mtazamo wako, ila andiko lote hili limejaa mtazamo wako unavyotaka tuone wewe.
Kwa sasa Urusi kaingilia nchi ya watu, hivyo ni ugomvi baina ya Ukraine na Urusi, hamna tena cha lugha wala matabaka.
Leo hii Kenya ikiingia kwenye vita baina yake na Tanzania, wale Wamaasai wa Ngorongoro mnaowavuruga huko watauvaa Utanzania na kutetea nchi yao kwanza, hawatataka kujua kwamba Kenya wana lugha yao na undugu, ila utaifa kwanza dhidi ya mvamizi, na ndivyo Wapemba hawatajali undugu wao na Mombasa, au Wapare kwa Wataita, itakua uhuru wa nchi kwanza....

Kwa sasa mvamizi Putin amesababisha watu wa Ukraine wameungana dhidi ya mvamizi, hamna cha CCM/Chadema/Simba/Yanga...ni taifa kwanza, bendera yao, uhuru wao na watapigana mlango kwa mlango, kwenye mashamba yao, kwenye mitaro, mahandaki, milima yao, mito yao mpaka mvamizi achoke ajiondokee kama ilivyokua kwa Mmarekani kule Vietnam.....


Jirani yako anapong'ang'ania kuleta hatari karibu ya nyumba yako kwa kukiuka makubaliano mliyokubaliana (in this case mkataba wa Minsky) njia nyepesi ni kumtwanga.
 
Hiyo nayo pointi kwa mtazamo huo.
Unaonaje labda alikuwa anatumia mchezo wa kutishia kwanza manake kupaki nje ya kiev siku kadhaa nako ni kujiamini
...ama labda wamagharibi waliandaa upinzani zaidi ya warusi walivotegemea
... ama mishe kuondoa raia kwanza
... ila pia taarifa za wanationalist kutumia raia kama kinga nazo nyingi - inabidi kubomu makini

Unapoingia kwenye mishe ya special operation uliyokusudia kuikamilisha ndani ya siku chache kwa namna ulivyojiona mwenye jeuri na misuli, inapaswa iwe hivyo, mengine yote ni ngonjera, kuanza kujtetea oooh! mara hivi mara vle mara nitafytua nyuklia, hayo yote hayahusu.
 
Jirani yako anapong'ang'ania kuleta hatari karibu ya nyumba yako kwa kukiuka makubaliano mliyokubaliana (in this case mkataba wa Minsky) njia nyepesi ni kumtwanga.

Ndoa mkishaachika kila mmoja achukue hamsini zake haipaswi kupangiana, Zanzibar wakiachana na Tanganyika, haipaswi Tanganyika aanze kumpangia Zanzibar eti asiungane na Oman.
 
Ndoa mkishaachika kila mmoja achukue hamsini zake haipaswi kupangiana, Zanzibar wakiachana na Tanganyika, haipaswi Tanganyika aanze kumpangia Zanzibar eti asiungane na Oman.

Ndio maana ya mkataba, mkataba ni "kifungo", ni Lazima mkae tena pamoja mvunje mkataba jinsi mlivyokaa pamoja kuwekeana mkataba na hapo ndipo mambo mengine yaendelee.

Huwezi kama jirani yangu uniletee "koboko" karibu na nyumba yangu ilhali tulishakubaliana kwamba usilete "koboko" nyumbani kwako (jirani na nyumba yangu)----- katika hali hiyo mimi lazima nichukue hatua kabla mambo hayajaniharibikia---- prevention is better than cure.
 
Ndio maana ya mkataba, mkataba ni "kifungo", ni Lazima mkae tena pamoja mvunje mkataba jinsi mlivyokaa pamoja kuwekeana mkataba na hapo ndipo mambo mengine yaendelee.

Huwezi kama jirani yangu uniletee "koboko" karibu na nyumba yangu ilhali tulishakubaliana kwamba usilete "koboko" nyumbani kwako (jirani na nyumba yangu)----- katika hali hiyo mimi lazima nichukue hatua kabla mambo hayajaniharibikia---- prevention is better than cure.

Yale yalikua makubaliano sio mkataba, mataifa hukubaliana na pia kuvunja makubaliano kila mmoja anabaki na hamsini zake, Tanzania na Kenya ni mfano hai.
 
Unapoingia kwenye mishe ya special operation uliyokusudia kuikamilisha ndani ya siku chache kwa namna ulivyojiona mwenye jeuri na misuli, inapaswa iwe hivyo, mengine yote ni ngonjera, kuanza kujtetea oooh! mara hivi mara vle mara nitafytua nyuklia, hayo yote hayahusu.
sawa sawa. wacha tuone matokeo nani atashinda... kaheshimika kuingiliwa si swala dogo
 
Ndio maana ya mkataba, mkataba ni "kifungo", ni Lazima mkae tena pamoja mvunje mkataba jinsi mlivyokaa pamoja kuwekeana mkataba na hapo ndipo mambo mengine yaendelee.

Huwezi kama jirani yangu uniletee "koboko" karibu na nyumba yangu ilhali tulishakubaliana kwamba usilete "koboko" nyumbani kwako (jirani na nyumba yangu)----- katika hali hiyo mimi lazima nichukue hatua kabla mambo hayajaniharibikia---- prevention is better than cure.
...tena ni mkataba na mdogo wako tusilifiche hilo, kwa hiyo ni mkataba kuhusu usalama wa kaka mkubwa mwanzo mwisho
 
Putin hajaitkisa dunia, kama vipi ameonyesha namna Urusi ilivyo dhaifu, wengi tulijua huu mchezo ataumaliza ndani ya siku tatu, leo wiki zimepita, ameingiza wanajeshi 120,000 Ukraine bado hawajafaulu kuiteka Kiev, wanajeshi wengi hivyo ni gharama hadi tumeshuhudia wanaiba vyakula kwenye maduka, njaa imeanza kuwatafuna.

Leo hii Putin ameanza kuwafuta kazi majenerali Putin awafuta kazi majenerali nane na pia agombana sana na taasisi y ujasusi ya FSB
Bila human shield unayo tumika huko basi hsko kanji sasa hivi kangekuwa majivu.
 
Ungejikita kwenye facts kwanza kisha umalizie na maoni yako na mtazamo wako, ila andiko lote hili limejaa mtazamo wako unavyotaka tuone wewe.
Kwa sasa Urusi kaingilia nchi ya watu, hivyo ni ugomvi baina ya Ukraine na Urusi, hamna tena cha lugha wala matabaka.
Leo hii Kenya ikiingia kwenye vita baina yake na Tanzania, wale Wamaasai wa Ngorongoro mnaowavuruga huko watauvaa Utanzania na kutetea nchi yao kwanza, hawatataka kujua kwamba Kenya wana lugha yao na undugu, ila utaifa kwanza dhidi ya mvamizi, na ndivyo Wapemba hawatajali undugu wao na Mombasa, au Wapare kwa Wataita, itakua uhuru wa nchi kwanza....

Kwa sasa mvamizi Putin amesababisha watu wa Ukraine wameungana dhidi ya mvamizi, hamna cha CCM/Chadema/Simba/Yanga...ni taifa kwanza, bendera yao, uhuru wao na watapigana mlango kwa mlango, kwenye mashamba yao, kwenye mitaro, mahandaki, milima yao, mito yao mpaka mvamizi achoke ajiondokee kama ilivyokua kwa Mmarekani kule Vietnam.....
Kwa anayeijua siasa ya dunia hii kwa sasa, kila vita popote duniani imetengenezwa na marekeni ili kutimiza azma yake dhidi ya ama upande mmoja kati ya wapiganaji au pande zote dhidi ya wapiganaji.

Ulishawahi jiuliza sababu ya uingereza kujitoa umoja wa Ulaya?
 
Bila human shield unayo tumika huko basi hsko kanji sasa hivi kangekuwa majivu.

Unapongia kuvamia nchi ya watu kwenye taifa lao, bendera yao haupaswi uanze kulalamika ooohh! Human shield.....
Inapaswa wanajeshi Warusi waingie mtaani waanze kuviziana na watu wa Ukrane jengo kwa jengo, vitongoji, vijiweni, mashambani, kwenye vichaka na hapo ndio mtaona body bags za Warusi maana watazikwa hadi basi.
Hebu waza wanajeshi wa nchi jirani waje kuviziana na Watanzania huko Tandale.....
 
Back
Top Bottom