Vita vya Ukraine; Wasichotuambia wazi

Umelishwa matangopoli mpaka akili imeamia kunako, rais wa Ukraine ni rais wa michongo amewekwa kimkakati na marekani. 2014 marekani aliandaa kundi na kuanzisha fujo kubwa sana ndani ya Ukraine mpaka rais aliyekuwa madarakani kidemokrasi kuachia ngazi. USA wakamsimika kiongozi wa kimichongo na haya yanayotokea sasa ndio zao la chokochoko za USA
 
Umejaza maneno ambayo sijayasema, labda huna uwezo wa kuelewa haya mavitu iwe najisumbua bure.


Kwa mujibu wa maelezo yako; mkataba ni makubaliano yaliyotiwa saini mbele ya mashahidi kama hakuna saini na mashahidi hayo ni makubaliano tu na yanawezwa kuvunjwa "kiholela" au sio??!
 
Kwa mujibu wa maelezo yako; mkataba ni makubaliano yaliyotiwa saini mbele ya mashahidi kama hakuna saini na mashahidi hayo ni makubaliano tu na yanawezwa kuvunjwa "kiholela" au sio??!

Soma nilichokisema herufi kwa herufi uje upya.....
 
Unavyoongea kwa madaha huku umebinua kichuguu! nakukumbusha tu kuna dude linaitwa Bulava yaani Lutin akibofya kitufe unaweza jikuta na mimba bila kujali jinsia
 
Soma nilichokisema herufi kwa herufi uje upya.....


Hichi ndicho ulichosema:-




Kama hicho ndicho ulichosema, sasa inakuaje umlaumu Russia kumtwanga Ukraine ??!!
 
Hichi ndicho ulichosema:-





Kama hicho ndicho ulichosema, sasa inakuaje umlaumu Russia kumtwanga Ukraine ??!!

Hadi pale utaacha uzembe usome kila nilichokisema, na urudie mara kadhaa, hautakaa uelewe kitu, tutazungushana humu hadi Putin aje mwenyewe kukutuliza.....ha ha ha!!!!
 
Tanzania iivamie Mombasa nchini Kenya maana sehemu kubwa wanaongea Kiswahili fasaha.
 
Hadi pale utaacha uzembe usome kila nilichokisema, na urudie mara kadhaa, hautakaa uelewe kitu, tutazungushana humu hadi Putin aje mwenyewe kukutuliza.....ha ha ha!!!!


Hadi na wewe utakapoacha kuandika pumba zinazokufunga wewe mwenyewe na kukufanya uanguke mweleka usijue ni nani aliyekuangusha ndipo utaelewa kwamba Zelensky alipandikizwa na NATO ili avunje makubaliano na Russia kihuni ndipo naye Russia kaamua kumtwanga Kihuni, dawa ya moto ni moto, sasa wewe unalalamika nini??!!, au hadi Zelensky aje akupashe habari ya uhuni aliotaka kumfanyia Russia ndipo ujue??!!
 
Pa1 sana mkuu. Hii vita imekuwa na vimitego vingi. Kwa mfano wanafunzi na raia wa kigeni kuzuiwa na kubaguliwa nahisi ndicho kilichomfanya putin apaki matanki nje ya mji akingoja watu wasepe... Hawa wanaodai mrusi kalegea angechukua ndani ya siku mbili tatu hawaangalii kwa jicho lingine. Angerush ina maana kulipua hata wabongo walioko huko
 

Ha ha ha!! Ustadhi nafikiri nimeelewa shida yako, na ndivyo mlivyo kote kwa sasa mnafikiri Putin yupo anawasaidia kukomoa Marekani, wenye dini yao waarabu kwenye hili wamenyamaza kimya, maustadh wa Bongo ndio hamkamatiki.
 
Mlizima channels za Russia ili mtulishe matangopoli. Mmechelewa sana. Nani kakudananya mrusi a apigana vita Ukraine?? Kaishasema mala nyingi tu kuwa anafanya operation ndogo tu ya kijeshi.
Amka utakunya bure kitandani kumekucha... imagine huziamini habari za channel tofauti na za Russia ila unaamini matamshi kuwa kinachoendelea Ukraine sio vita..hujioni na wewe ni boya kuamini habari za upande flani ukiwa nanjilinji bila kuwa na ushahidi wowote?

Sent from my TECNO CD6j using JamiiForums mobile app
 
Ndoa mkishaachika kila mmoja achukue hamsini zake haipaswi kupangiana, Zanzibar wakiachana na Tanganyika, haipaswi Tanganyika aanze kumpangia Zanzibar eti asiungane na Oman.
Marekani aligoma Urusi kuweka silaha zake Cuba, kwa kisingizio Cha Usalama wake
 
Marekani aligoma Urusi kuweka silaha zake Cuba, kwa kisingizio Cha Usalama wake

Marekani hakufanya uvamizi Cuba, aliishi kwa ugomvi na Castro kwa miaka yote lakini hakuna hata siku moja aliivamia Cuba kijeshi.
Putin hakutumia akili, kwanza hapo Ukraine ilikua rahisi sana kwake yeye kupandikiza maana wote ni ndugu, unacheza propaganda fulani hivi mpaka wananchi wote wa Ukraie wanakuelewa na kuchukia Marekani, sasa kwa kuwapiga makombora amefeli vibaya mno.
 
Hivi hujui Ukraine tayari ilikuwa na silaha nyingi kutoka nchi wanachama wa NATO na kuwa tishio kwa majimbo yanayotaka kujitenga ya Luhansky na Donestky? anachofanya Putin, ni kuziondoa silaha zote hatari nchini Ukraine..kuhakikisha Ukraine inakuwa dhaifu kijeshi, kitu ambacho mpaka sasa kafanikiwa kwa 100%, hii operation ikiisha, Ukraine itakuwa haina tena ubavu wa kutisha majirani zake kijeshi.
 

Sijui utakua unafuata taarifa zipi maana naona umepotoka unaposema Urusi amefanikiwa 100%
Urusi amejiingiza kwenye kwenye vyumba visivyokua na milango ya kutokea, Putin amechanganyikiwa mpaka ametishia kutumia nyuklia maana hali inazidi kuwa mbovu, silaha zinaingizwa Ukraine kwa maelfu, na pia maelfu ya wapiganaji wanaendelea kutiririka Ukraine, vifaru vyake vinalipuliwa na kuondoshwa kama karanga, wanajesh na majeneral wake wanauliwa hadi hatari, nyumbani uchumi unaendelea kuangukia pua, ingia kwenye mitandao uone Warusi wanavyochukia balaa.

Hadi ameweka sheria ya kukamata Mrusi yeyote atakayepinga hivi vita au kulisemea mabaya jeshi lao. Amekua kama mwehu....

Mataifa yote ambayo hununua silaha kutoka Urusi yakiwemo ya Waarabu yamepigwa na butwaa, hawaamini macho yao kwamba waliyemtegemea ameonyesha udhaifu mkubwa sana.
 
Ha ha ha!! Ustadhi nafikiri nimeelewa shida yako, na ndivyo mlivyo kote kwa sasa mnafikiri Putin yupo anawasaidia kukomoa Marekani, wenye dini yao waarabu kwenye hili wamenyamaza kimya, maustadh wa Bongo ndio hamkamatiki.


Hapa hatuzungumzi kuhusu dini bali kuhusu Uhuni wa Zelensky kwa Russia na jinsi Russia inavyojibu huo uhuni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…