Vita walivyokuwa wakivisubiri Hamas sasa ndio vimeanza

Vita walivyokuwa wakivisubiri Hamas sasa ndio vimeanza

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Baada ya vita vikali vya Israel kwa kutumia jeshi la anga na vifaru,vita halisi walivyokuwa wakivisubiri Hamas vitakavyowatoa jasho na kamasi Israel vimeanza.vita hivyo vinaweza vikavuta zaidi muda wa mapigano kati ya mwamba huyo na wapiganaji ambao muda mwengine wakiwa vitani huamua kuvaa suruali za adidas na malapa
Vita hivyo japo Israel tangu mwanzo waliviogopa lakini kwa vile wameshavivulia nguo ni lazima waviogelee.Vita vyenyewe ni vya kupigana mtaa kwa mtaa ndani ya magofu na majumba yaliyohamwa ya jiji la Gaza.
Kuonesha kwamba bado Hamas wapo Gaza na wana nguvu na nidhamu za hali ya juu chini ya viongozi wao,Wanamgambo hao siku ya tatu ya kubadilishana mateka kwa wafungwa wa kipalestina Hamas waliibuka katikati ya Gaza kwenye uwanja wa mashujaa na kukabidhi mateka wa Israel,
Mbali na tukio hilo Hamas pia ilitaka tukio la mwisho la kukabidhiana mateka iwe ni wafungwa wa kipalestina kwa maiti za askari wa IDF waliokufa vitani.Kitendo hicho kiliikasirisha mno Israel na hivyo kukataa mpango huo.
Matukio ya kuitangaza Hamas huwa yanaikasirisha Israel kiasi kwamba kule ukingo wa mashariki wafungwa wa kipalestina wakishaachiwa basi ni marufuku kwa ndugu zao kusherehekea kwa kukushanyika na kuwapokea kwa sauti au kwa mabango.
 
Baada ya vita vikali vya Israel kwa kutumia jeshi la anga na vifaru,vita halisi walivyokuwa wakivisubiri Hamas vitakavyowatoa jasho na kamasi Israel vimeanza.vita hivyo vinaweza vikavuta zaidi muda wa mapigano kati ya mwamba huyo na wapiganaji ambao muda mwengine wakiwa vitani huamua kuvaa suruali za adidas na malapa
Vita hivyo japo Israel tangu mwanzo waliviogopa lakini kwa vile wameshavivulia nguo ni lazima waviogelee.Vita vyenyewe ni vya kupigana mtaa kwa mtaa ndani ya magofu na majumba yaliyohamwa ya jiji la Gaza.
Kuonesha kwamba bado Hamas wapo Gaza na wana nguvu na nidhamu za hali ya juu chini ya viongozi wao,Wanamgambo hao siku ya tatu ya kubadilishana mateka kwa wafungwa wa kipalestina Hamas waliibuka katikati ya Gaza kwenye uwanja wa mashujaa na kukabidhi mateka wa Israel,
Mbali na tukio hilo Hamas pia ilitaka tukio la mwisho la kukabidhiana mateka iwe ni wafungwa wa kipalestina kwa maiti za askari wa IDF waliokufa vitani.Kitendo hicho kiliikasirisha mno Israel na hivyo kukataa mpango huo.
Matukio ya kuitangaza Hamas huwa yanaikasirisha Israel kiasi kwamba kule ukingo wa mashariki wafungwa wa kipalestina wakishaachiwa basi ni marufuku kwa ndugu zao kusherehekea kwa kukushanyika na kuwapokea kwa sauti au kwa mabango.
uislam ni dini ya shetan , hakuna mungu anafundisha mauaji kwan yeye yupo wap kusimama nyuma yenu ?yeye kwann akuambie umuue John je John aliumbwa na nan mpk yeye akuambir umuue wewe je yeye hana mamlaka juu ya John ? Hiyo dini ni ya shetan , amken kabla ya qiyyama
 
uislam ni dini ya shetan , hakuna mungu anafundisha mauaji kwan yeye yupo wap kusimama nyuma yenu ?yeye kwann akuambie umuue John je John aliumbwa na nan mpk yeye akuambir umuue wewe je yeye hana mamlaka juu ya John ? Hiyo dini ni ya shetan , amken kabla ya qiyyama
Ikiwa kipimo ni kuua watu basi dini ya uislamu ndiyo dini ya amani kuliko zote na ndio asili yake.
Angalia wakristo wa Marekani idadi ya watu iliyowaua kule Afghanistan,Iraq na kwengineko.Hii ni ya karibuni huko nyuma miaka ya 1200 walifanya kuliko hivi katka vita vya msalaba.
Angalia tena idadi ya watu waliouliwa na wafuasi wa dini ya uyahudi huko Gaza na kila siku wanaendelea kuua.
 
uislam ni dini ya shetan , hakuna mungu anafundisha mauaji kwan yeye yupo wap kusimama nyuma yenu ?yeye kwann akuambie umuue John je John aliumbwa na nan mpk yeye akuambir umuue wewe je yeye hana mamlaka juu ya John ? Hiyo dini ni ya shetan , amken kabla ya qiyyama
Kwa hiyo uyahudi ndio dini ya mungu,, si ndio
 
Ikiwa kipimo ni kuua watu basi dini ya uislamu ndiyo dini ya amani kuliko zote na ndio asili yake.
Angalia wakristo wa Marekani idadi ya watu iliyowaua kule Afghanistan,Iraq na kwengineko.Hii ni ya karibuni huko nyuma miaka ya 1200 walifanya kuliko hivi katka vita vya msalaba.
Angalia tena idadi ya watu waliouliwa na wafuasi wa dini ya uyahudi huko Gaza na kila siku wanaendelea kuua.
Huwa najaribu kuwaza kuhusu wewe napata jibu moja , " Imani haimpi yeyote aliyemini nafasi ya kufikiri.
Ulitegemea huko Afghanistan baada ya kuharibu na kuua watu zaidi ya 3000 huko Marekani wawe salama !
 
Huwa najaribu kuwaza kuhusu wewe napata jibu moja , " Imani haimpi yeyote aliyemini nafasi ya kufikiri.
Ulitegemea huko Afghanistan baada ya kuharibu na kuua watu zaidi ya 3000 huko Marekani wawe salama !
Ni kweli hawawezi kuwa salama.
 
Baada ya vita vikali vya Israel kwa kutumia jeshi la anga na vifaru,vita halisi walivyokuwa wakivisubiri Hamas vitakavyowatoa jasho na kamasi Israel vimeanza.vita hivyo vinaweza vikavuta zaidi muda wa mapigano kati ya mwamba huyo na wapiganaji ambao muda mwengine wakiwa vitani huamua kuvaa suruali za adidas na malapa
Vita hivyo japo Israel tangu mwanzo waliviogopa lakini kwa vile wameshavivulia nguo ni lazima waviogelee.Vita vyenyewe ni vya kupigana mtaa kwa mtaa ndani ya magofu na majumba yaliyohamwa ya jiji la Gaza.
Kuonesha kwamba bado Hamas wapo Gaza na wana nguvu na nidhamu za hali ya juu chini ya viongozi wao,Wanamgambo hao siku ya tatu ya kubadilishana mateka kwa wafungwa wa kipalestina Hamas waliibuka katikati ya Gaza kwenye uwanja wa mashujaa na kukabidhi mateka wa Israel,
Mbali na tukio hilo Hamas pia ilitaka tukio la mwisho la kukabidhiana mateka iwe ni wafungwa wa kipalestina kwa maiti za askari wa IDF waliokufa vitani.Kitendo hicho kiliikasirisha mno Israel na hivyo kukataa mpango huo.
Matukio ya kuitangaza Hamas huwa yanaikasirisha Israel kiasi kwamba kule ukingo wa mashariki wafungwa wa kipalestina wakishaachiwa basi ni marufuku kwa ndugu zao kusherehekea kwa kukushanyika na kuwapokea kwa sauti au kwa mabango.
Unapigana na adui akiwa kwako hata ukimshinda akakimbia utakuwa umechakaa
 
Baada ya vita vikali vya Israel kwa kutumia jeshi la anga na vifaru,vita halisi walivyokuwa wakivisubiri Hamas vitakavyowatoa jasho na kamasi Israel vimeanza.vita hivyo vinaweza vikavuta zaidi muda wa mapigano kati ya mwamba huyo na wapiganaji ambao muda mwengine wakiwa vitani huamua kuvaa suruali za adidas na malapa
Vita hivyo japo Israel tangu mwanzo waliviogopa lakini kwa vile wameshavivulia nguo ni lazima waviogelee.Vita vyenyewe ni vya kupigana mtaa kwa mtaa ndani ya magofu na majumba yaliyohamwa ya jiji la Gaza.
Kuonesha kwamba bado Hamas wapo Gaza na wana nguvu na nidhamu za hali ya juu chini ya viongozi wao,Wanamgambo hao siku ya tatu ya kubadilishana mateka kwa wafungwa wa kipalestina Hamas waliibuka katikati ya Gaza kwenye uwanja wa mashujaa na kukabidhi mateka wa Israel,
Mbali na tukio hilo Hamas pia ilitaka tukio la mwisho la kukabidhiana mateka iwe ni wafungwa wa kipalestina kwa maiti za askari wa IDF waliokufa vitani.Kitendo hicho kiliikasirisha mno Israel na hivyo kukataa mpango huo.
Matukio ya kuitangaza Hamas huwa yanaikasirisha Israel kiasi kwamba kule ukingo wa mashariki wafungwa wa kipalestina wakishaachiwa basi ni marufuku kwa ndugu zao kusherehekea kwa kukushanyika na kuwapokea kwa sauti au kwa mabango.
Unapigana na adui akiwa kwako hata ukimshinda akakimbia utakuwa umechakaa
 
Ikiwa kipimo ni kuua watu basi dini ya uislamu ndiyo dini ya amani kuliko zote na ndio asili yake.
Angalia wakristo wa Marekani idadi ya watu iliyowaua kule Afghanistan,Iraq na kwengineko.Hii ni ya karibuni huko nyuma miaka ya 1200 walifanya kuliko hivi katka vita vya msalaba.
Angalia tena idadi ya watu waliouliwa na wafuasi wa dini ya uyahudi huko Gaza na kila siku wanaendelea kuua.
Usichanganye utaifa na dini. Afghanistan Alienda mmarekani sio dini. Wale akina Biden hata dini hawazjjui ndio maana wanakomaa na lgbtq. Kinachotokea ni kuwa wanabrainwash na kuwaambia kuwa mpigamie dini isis algaeda etc.
 
uislam ni dini ya shetan , hakuna mungu anafundisha mauaji kwan yeye yupo wap kusimama nyuma yenu ?yeye kwann akuambie umuue John je John aliumbwa na nan mpk yeye akuambir umuue wewe je yeye hana mamlaka juu ya John ? Hiyo dini ni ya shetan , amken kabla ya qiyyama
Nyie msharuhusiwa na papa mfirane ndo dini ya haki,nyie ndo masetani kila siku mnayakemea kill siku makanisani mbona hayatoki kama mna mungu wa kweli.
 
Usichanganye utaifa na dini. Afghanistan Alienda mmarekani sio dini. Wale akina Biden hata dini hawazjjui ndio maana wanakomaa na lgbtq. Kinachotokea ni kuwa wanabrainwash na kuwaambia kuwa mpigamie dini isis algaeda etc.
Huko Israel ndo kuna dini?
hao mashoga waliojazana huko wanafirana na nani?
Huyo Netanyahu ni muabudu shetani(satanic worshiper)
 
Usichanganye utaifa na dini. Afghanistan Alienda mmarekani sio dini. Wale akina Biden hata dini hawazjjui ndio maana wanakomaa na lgbtq. Kinachotokea ni kuwa wanabrainwash na kuwaambia kuwa mpigamie dini isis algaeda etc.
Hata Gaza nako hali ni hiyo hiyo.Mkiona mnazidiwa mnasema msilete udini japo udini huwa unaanza kwenu kwanza.
Kwa nje hata Hamas hawajasema wanapigania dini yao.Lakini na Netanyahu akitaja dini yake na wao wanaibuka kuliko yeye.
Netanyahu amepata kaadui katamtesa kweli.
 
Ikiwa kipimo ni kuua watu basi dini ya uislamu ndiyo dini ya amani kuliko zote na ndio asili yake.
Angalia wakristo wa Marekani idadi ya watu iliyowaua kule Afghanistan,Iraq na kwengineko.Hii ni ya karibuni huko nyuma miaka ya 1200 walifanya kuliko hivi katka vita vya msalaba.
Angalia tena idadi ya watu waliouliwa na wafuasi wa dini ya uyahudi huko Gaza na kila siku wanaendelea kuua.
Sawa lakini wamerekani walipoondoka, waafghanistan laki sita walidandia ndege ya US kutoroka utawala wa kiislam na sharia wa Taliban. Nadhani taarifa hio sio ngeni kwako, kwanini walimbilia nchi za makafir wasiende UAE,Saudia n.k

("uislam ni dini ya shetan , hakuna mungu anafundisha mauaji kwan yeye yupo wap kusimama nyuma yenu ?yeye kwann akuambie umuue John je John aliumbwa na nan mpk yeye akuambir umuue wewe je yeye hana mamlaka juu ya John ? Hiyo dini ni ya shetan , amken kabla ya qiyyama" ) 4by94
 
Sawa lakini wamerekani walipoondoka, waafghanistan laki sita walidandia ndege ya US kutoroka utawala wa kiislam na sharia wa Taliban. Nadhani taarifa hio sio ngeni kwako, kwanini walimbilia nchi za makafir wasiende UAE,Saudia n.k

("uislam ni dini ya shetan , hakuna mungu anafundisha mauaji kwan yeye yupo wap kusimama nyuma yenu ?yeye kwann akuambie umuue John je John aliumbwa na nan mpk yeye akuambir umuue wewe je yeye hana mamlaka juu ya John ? Hiyo dini ni ya shetan , amken kabla ya qiyyama" ) 4by94
Ile ya watu kudandia ndege kukimbia kwa nafsi yake ilikuwa ni pigo jengine kwa Marekani.Wala haikuwa na maana kuwa watu walikuwa wakiwakimbia Taliban.Ni njaa na shida walizowasababishia ndio maana wakachanganyikiwa kutaka kwenda kokote.Ingekuwa ndege zinakwenda Saudia ambako hukumu ya mlevi ni fimbo 80 bado wangepanda.
Ile ni kama Mungu aliwaambia wamarekani haya ondokeni na askari wangu wengine watakaowapiga baadae huko huko.
Binadamu hana akili ya kupambana na mipango ya Mwenyezi Mungu.
 
Hii ya bunduki kitanda Kwa kitanda kama kampeni za CCM,hatoboi Israel.

Sasa hivi patahitajika msaada WA vifaa vya kuchimbia makaburi nchini Israel,sepetu na majembe.
 
Hii ya bunduki kitanda Kwa kitanda kama kampeni za CCM,hatoboi Israel.

Sasa hivi patahitajika msaada WA vifaa vya kuchimbia makaburi nchini Israel,sepetu na majembe.
Waache wajichanganye muarabu hajawahi kushindwa vita ya kuvizia ht siku moja...hakuna lizayuni litatoka humo

Nipo hapa makumbusho nasoma magazeti
 
Back
Top Bottom