green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Hata wewe ukimpa papa akaitafutana ni malipo piaUnalipwa nini na hamas kuwa msemaji wao wewe gaidi mrakibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata wewe ukimpa papa akaitafutana ni malipo piaUnalipwa nini na hamas kuwa msemaji wao wewe gaidi mrakibu
Bila ya Vita vya Msalaba ulaya yote na Africa tungekuwa ma abdul warumwa wa Allah thanks Roman empire kuzuia Shetani ibilis Allah.. shenz type.. waislam walikuwa wanaua either ubadilishe dini uwe muislam au ufe au ulipe kodi majizi sana nyieIkiwa kipimo ni kuua watu basi dini ya uislamu ndiyo dini ya amani kuliko zote na ndio asili yake.
Angalia wakristo wa Marekani idadi ya watu iliyowaua kule Afghanistan,Iraq na kwengineko.Hii ni ya karibuni huko nyuma miaka ya 1200 walifanya kuliko hivi katka vita vya msalaba.
Angalia tena idadi ya watu waliouliwa na wafuasi wa dini ya uyahudi huko Gaza na kila siku wanaendelea kuua.
LGBTq mpaka kanisa katoliki linaitambua au ulitaka kusema nn!!?Usichanganye utaifa na dini. Afghanistan Alienda mmarekani sio dini. Wale akina Biden hata dini hawazjjui ndio maana wanakomaa na lgbtq. Kinachotokea ni kuwa wanabrainwash na kuwaambia kuwa mpigamie dini isis algaeda etc.
Mgambo wataweza wanajeshi kweli
Wamebarikiwa ila wamekosa baraka, labda tuseme hivyo.Huko Israel ndo kuna dini?
hao mashoga waliojazana huko wanafirana na nani?
Huyo Netanyahu ni muabudu shetani(satanic worshiper)
Mungu hana dini. Ila ana watu wake (watakatifu) wanaomwabudu katika roho na kweli.Kwa hiyo uyahudi ndio dini ya mungu,, si ndio
Ambao ndo hao waisrael taifa teule la kwake yeye sio wewe na mie si ndioMungu hana dini. Ila ana watu wake (watakatifu) wanaomwabudu katika roho na kweli.
Acha upumbavu weweBaada ya vita vikali vya Israel kwa kutumia jeshi la anga na vifaru,vita halisi walivyokuwa wakivisubiri Hamas vitakavyowatoa jasho na kamasi Israel vimeanza.vita hivyo vinaweza vikavuta zaidi muda wa mapigano kati ya mwamba huyo na wapiganaji ambao muda mwengine wakiwa vitani huamua kuvaa suruali za adidas na malapa
Vita hivyo japo Israel tangu mwanzo waliviogopa lakini kwa vile wameshavivulia nguo ni lazima waviogelee.Vita vyenyewe ni vya kupigana mtaa kwa mtaa ndani ya magofu na majumba yaliyohamwa ya jiji la Gaza.
Kuonesha kwamba bado Hamas wapo Gaza na wana nguvu na nidhamu za hali ya juu chini ya viongozi wao,Wanamgambo hao siku ya tatu ya kubadilishana mateka kwa wafungwa wa kipalestina Hamas waliibuka katikati ya Gaza kwenye uwanja wa mashujaa na kukabidhi mateka wa Israel,
Mbali na tukio hilo Hamas pia ilitaka tukio la mwisho la kukabidhiana mateka iwe ni wafungwa wa kipalestina kwa maiti za askari wa IDF waliokufa vitani.Kitendo hicho kiliikasirisha mno Israel na hivyo kukataa mpango huo.
Matukio ya kuitangaza Hamas huwa yanaikasirisha Israel kiasi kwamba kule ukingo wa mashariki wafungwa wa kipalestina wakishaachiwa basi ni marufuku kwa ndugu zao kusherehekea kwa kukushanyika na kuwapokea kwa sauti au kwa mabango.
Uteule wa Taifa la Israel haimaniishi ni Utakatifu. Mungu anaweza kukuteua kufanya jambo fulani kwa malengo yake maalumu.Mungu hana dini. Ila ana watu wake (watakatifu) wanaomwabudu katika roho na kweli.
Uteule wa Taifa la Israel haimaniishi ni Utakatifu. Mungu anaweza kukuteua kufanya jambo fulani kwa malengo yake maalumu.Ambao ndo hao waisrael taifa teule la kwake yeye sio wewe na mie si ndio
Umezungumza vizuri ingawa huko mwisho umechafua kwa kumtaja Yesu.Uteule wa Taifa la Israel haimaniishi ni Utakatifu. Mungu anaweza kukuteua kufanya jambo fulani kwa malengo yake maalumu.
Sasa huo uteule haimaanishi kuwa tayari wewe ni mtakatifu. Utakatifu unatakiwa uutafute wewe binafsi kwa kufuata maelekezo ya Mungu- yaani kuacha kuishi maisha ya dhambi. Na ili uweze kuishi maisha matakatifu inatakiwa umkiri Yesu Kristo kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yako. Kwa ufupi ni kwamba huwezi kuishi maisha matakatifu bila kuomba msaada kwa Yesu Kristo, kwa imani ili akusaidie kuweza kuzishinda dhambi.
Yesu huyu huyu alieuliwa na taifa teule la Mungu au yesu gani huyo atakaetusaidia kuzishinda dhambi zetuKwa ufupi ni kwamba huwezi kuishi maisha matakatifu bila kuomba msaada kwa Yesu Kristo, kwa imani ili akusaidie kuweza kuzishinda dhambi.
Yohana 14:6Yesu huyu huyu alieuliwa na taifa teule la Mungu au yesu gani huyo atakaetusaidia kuzishinda dhambi zetu
PropagandaSio chini ya wanajeshi 3000 wameuawa, sasa hao wameuawa na nani? Unadhani hamas ni wapiga matofali wa hapa kwetu!
Propaganda
Je allah ni Nani?Yohana 14:6
[6]Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
Warumi 10:9-13
[9]Kwa sababu, ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka.
[10]Kwa maana kwa moyo mtu huamini hata kupata haki, na kwa kinywa hukiri hata kupata wokovu.
[11]Kwa maana andiko lanena, Kila amwaminiye hatatahayarika.
[12]Kwa maana hakuna tofauti ya Myahudi na Myunani; maana yeye yule ni Bwana wa wote, mwenye utajiri kwa wote wamwitao;
[13]kwa kuwa, Kila atakayeliitia Jina la Bwana ataokoka.
Ukichukua Takwimu za Dunia walau kwa miaka hii 100 iliyopita unafahamu Wafuasi wa dini gani wanaongoza kwa ku plan na kutekeleza mauaji kwa Raia wasio na hatia ?uislam ni dini ya shetan , hakuna mungu anafundisha mauaji kwan yeye yupo wap kusimama nyuma yenu ?yeye kwann akuambie umuue John je John aliumbwa na nan mpk yeye akuambir umuue wewe je yeye hana mamlaka juu ya John ? Hiyo dini ni ya shetan , amken kabla ya qiyyama