Vita walivyokuwa wakivisubiri Hamas sasa ndio vimeanza

Vita walivyokuwa wakivisubiri Hamas sasa ndio vimeanza

Ikiwa kipimo ni kuua watu basi dini ya uislamu ndiyo dini ya amani kuliko zote na ndio asili yake.
Angalia wakristo wa Marekani idadi ya watu iliyowaua kule Afghanistan,Iraq na kwengineko.Hii ni ya karibuni huko nyuma miaka ya 1200 walifanya kuliko hivi katka vita vya msalaba.
Angalia tena idadi ya watu waliouliwa na wafuasi wa dini ya uyahudi huko Gaza na kila siku wanaendelea kuua.
Bila ya Vita vya Msalaba ulaya yote na Africa tungekuwa ma abdul warumwa wa Allah thanks Roman empire kuzuia Shetani ibilis Allah.. shenz type.. waislam walikuwa wanaua either ubadilishe dini uwe muislam au ufe au ulipe kodi majizi sana nyie
 
Sema Egypt kadinda hayataki maarabu yake asilia sababu yamegeuka majizi... Israel alikuwa anayafurusha kwa nguvu.. ila bado lazima yasepe
 
Usichanganye utaifa na dini. Afghanistan Alienda mmarekani sio dini. Wale akina Biden hata dini hawazjjui ndio maana wanakomaa na lgbtq. Kinachotokea ni kuwa wanabrainwash na kuwaambia kuwa mpigamie dini isis algaeda etc.
LGBTq mpaka kanisa katoliki linaitambua au ulitaka kusema nn!!?
 
Huko Israel ndo kuna dini?
hao mashoga waliojazana huko wanafirana na nani?
Huyo Netanyahu ni muabudu shetani(satanic worshiper)
Wamebarikiwa ila wamekosa baraka, labda tuseme hivyo.
 
Baada ya vita vikali vya Israel kwa kutumia jeshi la anga na vifaru,vita halisi walivyokuwa wakivisubiri Hamas vitakavyowatoa jasho na kamasi Israel vimeanza.vita hivyo vinaweza vikavuta zaidi muda wa mapigano kati ya mwamba huyo na wapiganaji ambao muda mwengine wakiwa vitani huamua kuvaa suruali za adidas na malapa
Vita hivyo japo Israel tangu mwanzo waliviogopa lakini kwa vile wameshavivulia nguo ni lazima waviogelee.Vita vyenyewe ni vya kupigana mtaa kwa mtaa ndani ya magofu na majumba yaliyohamwa ya jiji la Gaza.
Kuonesha kwamba bado Hamas wapo Gaza na wana nguvu na nidhamu za hali ya juu chini ya viongozi wao,Wanamgambo hao siku ya tatu ya kubadilishana mateka kwa wafungwa wa kipalestina Hamas waliibuka katikati ya Gaza kwenye uwanja wa mashujaa na kukabidhi mateka wa Israel,
Mbali na tukio hilo Hamas pia ilitaka tukio la mwisho la kukabidhiana mateka iwe ni wafungwa wa kipalestina kwa maiti za askari wa IDF waliokufa vitani.Kitendo hicho kiliikasirisha mno Israel na hivyo kukataa mpango huo.
Matukio ya kuitangaza Hamas huwa yanaikasirisha Israel kiasi kwamba kule ukingo wa mashariki wafungwa wa kipalestina wakishaachiwa basi ni marufuku kwa ndugu zao kusherehekea kwa kukushanyika na kuwapokea kwa sauti au kwa mabango.
Acha upumbavu wewe
 
Mungu hana dini. Ila ana watu wake (watakatifu) wanaomwabudu katika roho na kweli.
Uteule wa Taifa la Israel haimaniishi ni Utakatifu. Mungu anaweza kukuteua kufanya jambo fulani kwa malengo yake maalumu.
Sasa huo uteule haimaanishi kuwa tayari wewe ni mtakatifu. Utakatifu unatakiwa uutafute wewe binafsi kwa kufuata maelekezo ya Mungu- yaani kuacha kuishi maisha ya dhambi. Na ili uweze kuishi maisha matakatifu inatakiwa umkiri Yesu Kristo kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yako. Kwa ufupi ni kwamba huwezi kuishi maisha matakatifu bila kuomba msaada kwa Yesu Kristo, kwa imani ili akusaidie kuweza kuzishinda dhambi.
 
Ambao ndo hao waisrael taifa teule la kwake yeye sio wewe na mie si ndio
Uteule wa Taifa la Israel haimaniishi ni Utakatifu. Mungu anaweza kukuteua kufanya jambo fulani kwa malengo yake maalumu.
Sasa huo uteule haimaanishi kuwa tayari wewe ni mtakatifu. Utakatifu unatakiwa uutafute wewe binafsi kwa kufuata maelekezo ya Mungu- yaani kuacha kuishi maisha ya dhambi. Na ili uweze kuishi maisha matakatifu inatakiwa umkiri Yesu Kristo kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yako. Kwa ufupi ni kwamba huwezi kuishi maisha matakatifu bila kuomba msaada kwa Yesu Kristo, kwa imani ili akusaidie kuweza kuzishinda dhambi.
 
Uteule wa Taifa la Israel haimaniishi ni Utakatifu. Mungu anaweza kukuteua kufanya jambo fulani kwa malengo yake maalumu.
Sasa huo uteule haimaanishi kuwa tayari wewe ni mtakatifu. Utakatifu unatakiwa uutafute wewe binafsi kwa kufuata maelekezo ya Mungu- yaani kuacha kuishi maisha ya dhambi. Na ili uweze kuishi maisha matakatifu inatakiwa umkiri Yesu Kristo kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yako. Kwa ufupi ni kwamba huwezi kuishi maisha matakatifu bila kuomba msaada kwa Yesu Kristo, kwa imani ili akusaidie kuweza kuzishinda dhambi.
Umezungumza vizuri ingawa huko mwisho umechafua kwa kumtaja Yesu.
Sisi waislamu tuna mifano mingi ya Allah kumteua mtu afanye kazi yake halafu alipofanya vibaya akamuadhibu.Mmoja ni nabii Yunus alipokwenda kinyume alimezwa na samaki na akabaki tumboni mwake mpaka alipotubu.
Israel wanajidanganya na utakatifu lakini ni kweli kama unavyosema hata kama wanasema waliteuliwa hawawezi kubaki na hali hiyo kwa matendo maovu wanayowafanyia wenzao na wanayofanyiana wao wenyewe kama vile ushoga.
 
Yesu huyu huyu alieuliwa na taifa teule la Mungu au yesu gani huyo atakaetusaidia kuzishinda dhambi zetu
Yohana 14:6
[6]Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.

Warumi 10:9-13
[9]Kwa sababu, ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka.
[10]Kwa maana kwa moyo mtu huamini hata kupata haki, na kwa kinywa hukiri hata kupata wokovu.
[11]Kwa maana andiko lanena, Kila amwaminiye hatatahayarika.
[12]Kwa maana hakuna tofauti ya Myahudi na Myunani; maana yeye yule ni Bwana wa wote, mwenye utajiri kwa wote wamwitao;
[13]kwa kuwa, Kila atakayeliitia Jina la Bwana ataokoka.
 
Yohana 14:6
[6]Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.

Warumi 10:9-13
[9]Kwa sababu, ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka.
[10]Kwa maana kwa moyo mtu huamini hata kupata haki, na kwa kinywa hukiri hata kupata wokovu.
[11]Kwa maana andiko lanena, Kila amwaminiye hatatahayarika.
[12]Kwa maana hakuna tofauti ya Myahudi na Myunani; maana yeye yule ni Bwana wa wote, mwenye utajiri kwa wote wamwitao;
[13]kwa kuwa, Kila atakayeliitia Jina la Bwana ataokoka.
Je allah ni Nani?

Mimi nadhani allah ni aina ya majini au mapepo
 
Masaa 24 yaliyopjita jeshi la IDF limepata hasara kubwa zaidi kwa kuuliwa askari wake 10 zaidi katika mapigano na Hamas.
Kwa mara nyengine kati ya waliouliwa ni afisa mkubwa wa jeshi hilo.
 
uislam ni dini ya shetan , hakuna mungu anafundisha mauaji kwan yeye yupo wap kusimama nyuma yenu ?yeye kwann akuambie umuue John je John aliumbwa na nan mpk yeye akuambir umuue wewe je yeye hana mamlaka juu ya John ? Hiyo dini ni ya shetan , amken kabla ya qiyyama
Ukichukua Takwimu za Dunia walau kwa miaka hii 100 iliyopita unafahamu Wafuasi wa dini gani wanaongoza kwa ku plan na kutekeleza mauaji kwa Raia wasio na hatia ?

unafahamu kuwa Mpango mzima wa kuua watu laki nane ndani ya siku 90 kwny mauaji ya Kimbari uliratibiwa na dini gani?

unafahamu alietekeleza Mauaji ya Halaiki Wayahudi 6 million kwny Second World War hakuwa Muislam wala mpagani ?

unafahamu Wa South Africa wameteseka kwa karne kadhaa kwa mateso ya watu waliokuwa wana share nao imani ya dini ?

Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom