Kaandika wap io conventional?
Mpaka vita ya uchumi ipo km unavoona nordstreem kutobolewa,makamanda wa iran kuuwawa......
Ila wasiwasi wangu kuna vitu vinaendelea behind the scene...Hawa hamas na mashaka nyuma kuna watu wazito wanasponsor
Na vita zote za fighting war zilianza hivihivi pande kuwanyika