Vita ya 3 ya dunia (WW3)

Vita ya 3 ya dunia (WW3)

Watu wanazungumzia conventional war, siyo hizo.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Kaandika wap io conventional?

Mpaka vita ya uchumi ipo km unavoona nordstreem kutobolewa,makamanda wa iran kuuwawa......

Ila wasiwasi wangu kuna vitu vinaendelea behind the scene...Hawa hamas na mashaka nyuma kuna watu wazito wanasponsor


Na vita zote za fighting war zilianza hivihivi pande kuwanyika
 
Labffa kwenye video games na movie mnazoangalia.
Vita kuu ya tatu ya dunia inaweza isitokee na ikitokea basi itakua vita ya kuangamiza. Isiyofaa dunia na matokeo yake yatakua mabaya. Hususan katika karne hii ambayo nchi nyingi zimejitosheleza kimashambuliza.
Unadhani, kilichotokea kati ya ukraine na russia, israel na palestine pale Gaza. Ngoma ziinazopigka kule Congo na jeshi dogo tu la UN na la watanzania wakiwepo, vita ya tatu na criterias za vita zikisema zishuke. Dunia hakutakua na pakukojoa.
Na vita msije sema eti si lazma mtutu utumke. Kwa dunia ya sasa. Mtutu ni lazimaaaaa.
Kwani Ww3 maana yake nini? em tueleze unavyoelewa
 
Kwani Ww3 maana yake nini? em tueleze unavyoelewa
Kutokana na mada hii. Nategemea WW3, Inayoongelewa ni vita ya tatu ya dunia(sijui kama umeelewa maana swali lako limekaa kidharau na kimajigambo kwamba unafahamu sana) acha nikujibu.
Baado hatuwezi itafsiri world war 3 kwasasa. Itapotokea tutaipa maana.
 
Kutokana na mada hii. Nategemea WW3, Inayoongelewa ni vita ya tatu ya dunia(sijui kama umeelewa maana swali lako limekaa kidharau na kimajigambo kwamba unafahamu sana) acha nikujibu.
Baado hatuwezi itafsiri world war 3 kwasasa. Itapotokea tutaipa maana.
Swali langu umelielewa? Naomba jibu kulingana na nilichouliza.
 
Back
Top Bottom