Kaandika wap io conventional?
Kwani Ww3 maana yake nini? em tueleze unavyoelewaLabffa kwenye video games na movie mnazoangalia.
Vita kuu ya tatu ya dunia inaweza isitokee na ikitokea basi itakua vita ya kuangamiza. Isiyofaa dunia na matokeo yake yatakua mabaya. Hususan katika karne hii ambayo nchi nyingi zimejitosheleza kimashambuliza.
Unadhani, kilichotokea kati ya ukraine na russia, israel na palestine pale Gaza. Ngoma ziinazopigka kule Congo na jeshi dogo tu la UN na la watanzania wakiwepo, vita ya tatu na criterias za vita zikisema zishuke. Dunia hakutakua na pakukojoa.
Na vita msije sema eti si lazma mtutu utumke. Kwa dunia ya sasa. Mtutu ni lazimaaaaa.
Kutokana na mada hii. Nategemea WW3, Inayoongelewa ni vita ya tatu ya dunia(sijui kama umeelewa maana swali lako limekaa kidharau na kimajigambo kwamba unafahamu sana) acha nikujibu.Kwani Ww3 maana yake nini? em tueleze unavyoelewa
Swali langu umelielewa? Naomba jibu kulingana na nilichouliza.Kutokana na mada hii. Nategemea WW3, Inayoongelewa ni vita ya tatu ya dunia(sijui kama umeelewa maana swali lako limekaa kidharau na kimajigambo kwamba unafahamu sana) acha nikujibu.
Baado hatuwezi itafsiri world war 3 kwasasa. Itapotokea tutaipa maana.