Vita ya Aleppo inaanza tena

Ukisema ubishane na watu wa hivyo utakaukiwa nishati mwili.
Wewe ukimuona mtu analeta udini mu ignore tu mkuu.
Achana naye.
 
Mkuu Uturuki ndo muhusika mkuu kwa hichi kinacho endelea sasa ,maana waasi anao waunga mkono ndo wahusika wakuu wa mashambulizi yanayo endelea japo kuna makundi mengine madogo.
Turkey, Israel na USA wote lao Moja hapo syria.ila nimefurahi Russia amenimwagia moto wa kutosha usiku wa kuamkia leo hawa waasi hawana maisha marefu wameanza kulia kuwa Russia ana commit war crimes
 
Israel ujanja mwingi mbele kiza Arab spring waliratibu wao wakidhani wakishawatawanya nchi za kiarabu wataishi kwa amani lakini leo bado wapo matatizoni
 
Kobazi huwa wanawaza ugaidi masaa 24
 
Kwa nini Ukraine wawe vibaraka wa Marekani na si Urusi ambao ni waothodox wenzao? tunarudi pale pale ni masilahi ndo yamefanya ndugu hawa wagombane.

Mbona hujawahi kujiuliza kuwa ni kwann Venezuela na Cuba ni maadui wakubwa wa Marekani ambao ni wakatoliki wenzao?
Ulisha wahi kujiuliza ni kwanini China na Vietnam ni maadui wakati wote ni mabudha?
Ulisha wahi kujiuliza ni kwanini Bangladesh ilitengana na paksitani hali yakuwa wote ni waisilam?

Linapo kuja suala la masilahi ya wana siasa mambo ya sijui undugu , sijui dini ,sijui kabila huwa ni takataka kwake,mwana siasa kumuua hata baba na mama yake kwa ajili ya madaraka ni kitu cha kawaida.
 
sisi waafrika tusikubali kuchonganishwa na nchi zetu kuwa viwanja vya mapambano ya nchi zenye nguvu kuoneshana ubabe kwa majaribio ya silaha zao mpya za kisasa
Ukipenda sana kula vyao matokeo yake ndo kama hayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…