Vita ya Aleppo inaanza tena

Turkey ya Edorgan ni ya kishenzi sana , Uturuki yeye ana ugomvi na pkk wakurdi ,sijui ni kwanini anaenda kushambulia vikosi vya serikali ya Assad ,yeye kama Target yake ni wakurdi angeenda kuwaponda huko Kurdistan kuliko kushambulia vikosi vya serikali iliyokithiri kuleta stability kwenye nchi baada ya vita ya miaka mingi na uharibifu mkubwa na kiuhalisia territory ya wakurdi IPO ndani ya Syria na ni sehemu ya taifa la Syria na haitakiwi kuvamia na kudhambulia kinyemela kama anavyofanya kila siku yeye na washenzi wenzake mazayuni IDF WA Israel ,ule ni ushenzi na ugaidi .
Huyu fala ni wa kumtoa madarakani na kumyonga , Syria ilikuwa imeanza kutulia baada ya Hezbollah ,Iran na Urusi kusimamia show na kuwang'oa ISIs na magaidi wengine waliofadhiliwa na Marekani na mazayuni kama Alnusra nk
 
Hahaha sasa hapo mwenye chuki nani, mimi au wewe? Matusi unatukana wewe, halafu unasema mimi ndiye nina chuki! Mjukuu wa mudi acha hasira, tafuta suluhu ya mgogoro, tusije shika majambia msikitini.
Huna akili.
 
Rudia Tena kutafuta taarifa ujue netanyau na US wanachokifanya Syria, pia netanyau kavamia maeneo mengi ya hzb ndani ya Syria kudestroy silaha
 
Russia anashusha kipigo huko!

Video ukiziona ni za kutisha!

Muda si mrefu utasikia makelele kuwa Russia hafuati haki za binadamu.
 
Haiwezi kufunguka njia kwasababu US na Zayuni wanaweka vibaraka wao ambao kwao watachota mafuta na wataidhibit Lebanon Hasa hizb
 
Russia anashusha kipigo huko!

Video ukiziona ni za kutisha!

Muda si mrefu utasikia makelele kuwa Russia hafuati haki za binadamu.
Awakung'ute bila huruma mpaka waishe kama sisimizi hawa wapuuzi , wanaharibu hiyo nchi , nchi ilikuwa ishaanza kutulia wao wanatibua tena , Ukiangalia maafa waliosababisha wao na ISIS kipindi kile cha vita ,na ni hawa hawa wajenzi Israel ,Turkey na Marekani ndio waliokuwa supporters wa hivi vikundi vya uasi na ugaidi +ISIS huko Allepo na maeneo mengine ndani ya Syria .
Mpaka leo kuna indications na evidences za magaidi wa ISIs kuwa walipitia Uturuki kuingia Syria na Iraq kipindi kile na Intelligence za Uturuki zilijua hili na kuruhusu makusudi hayo kutokea .
Erdogan ni mbwa yule ,
 
Russia imeshasema Uturuki imekiuka makubaliano yaliyokuwa baina ya Syria na Turkey, hivyo Syria ina haki ya kutumia kila aina ya silaha na njia ya aina yoyote kuwamaliza hawa magaidi.

Kuanzia jana mpaka leo magaidi taribani 300 wameshakwenda na maji.

Inaonekana waliingia wengi sana!
 
kwa Gaddafi mlisema hivyo hivyo,Libya ya leo imefika wapi?Rasilimali za Libya zinachotwa na hao hao waliowachonganisha!Hata huko Syria,US anajichotea tu mafuta!US hataki vita iishe Syria!
 
Hizi story toka SMO inaanza tumeshazisikia sana ila mwisho wa siku ni bure!
Muda ni mwalimu mzuri!
 
Itakuwa kweli ,maana siku zote Uturuki imekuwa njia ya kupitisha mercenaries kwenda kufanya machafuko Iraq na Syria ,
 

Israel inahusika pia sana katika hili , inakuwaje IDF wafanye mashambulizi Aleppo na Idlib dhidi ya vikosi vya Resistance vya kishia na jeshi la Syria halafu harakati za uasi zianzie hapo hapo kwenye hiyo miji ?.
Hii ilifanyika tarehe 9 Nov kabla ya uasi huu kuanza ,inaonekana Israel ni coordinator WA huu ufedhuli ,kama alivyokuwa anatibu magaidi wa ISIs kwenye hospitali zake baada ya kupewa kipondo kikali na Asad enzi zile za vita vya Syria
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…