GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Kwa mtu ambaye hajui kufanya analysis hawezi kugundua hili ,atachukulia mambo juu juu tu , hizi harakati za ugaidi kwa kiasi kikubwa Mossad na CIA huwa wanahusika
Tunaomba video mkuuRussia anashusha kipigo huko!
Video ukiziona ni za kutisha!
Muda si mrefu utasikia makelele kuwa Russia hafuati haki za binadamu.