Vita ya Aleppo inaanza tena

Vita ya Aleppo inaanza tena

Uwezi pigana na mtu mwenye air superiority na uendelee kusonga mbele ni kama israel anacho fanya gaza ndo wanacho fanyiwa hawa wavamizi na Russia na syria army kwa sasa.
 
Jana nimeona kule X wale Waasi wameanza kuchinja mateka wa Vita huku wakisema Shia ni Makafiri.
Isijekuwa ISIS wamerejea kutoka Turkey.
 
Back
Top Bottom