Vita ya Aleppo inaanza tena

Hivi unajua ukubwa wa sekta ya utengenezaji wa silaha nchini Iran au unaongea ili ujifirahishe?
 
Ritz Adiosamigo Malaria 2 huku tena kumekucha tunafanyaje sasa?
 
Mlipoanza kumshabikia Putin kupora Crimea bas Erdogan anataka Allepo na China anaitaka Kashmir , mdogo mdogo Kenya ataitaka Serengeti na Kilimanjaro ndipo mtaanza ona umuhim wa kukemea waporaji wa maeneo ya watu
Astaghafilulah sheikh mswalie mtume
 
Hivi unajua ukubwa wa sekta ya utengenezaji wa silaha nchini Iran au unaongea ili ujifirahishe?
Anajifurahisha watu juzi wameapprove bajeti ya ulinzi tu kwa 200% hajui kua sisi hapa Tanzania kama unavyosafiri kutoka dar mpaka bukoba juu ya ardhi Iran na miji ya distance hio ardhini anaiita under ground cities huko kwa majeshi tuu na productions ya madubwasha anasema anayafytua kama pipi.
Nana wanajenga treni ya ardhini itakayounganisha na hospitali ya Imam Khamenei
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…