Vita ya Aleppo inaanza tena

Ongeza Israel anajipigia kila siku,nilisikia marekani wanamiliki visima vya mafta hapo 🏃🏃
 
LGBTq mna shida sanaaa
 
Maeneo ya mataifa kupigana yapo mengi duniani mbona
 
Saa hizi yanauana wenyewe hutawasikia wazee wa mtambani wakikemea
 
Kwa hayo maaelezo utafikir iran ni lidude likuuubwa kumbe ni stori tu za pwagu na pwaguzi
 
Waarabu hawana akili- wanatumika kama toilet papers - anybody can use them to his/her interests.Hawawezi wakaamua kutulia - na wote ni vikundi vya kiislam..sasa unashangaa dini moja lkn wanatwangana kama hawana akili - huku kuna ISIS, kule Al quida n.k.
Pale mashariki ya kati kuna laana sio bure...
Anzia Israel, Palestina, Lebanon, Syria - majirani zao waarabu wenzao mdo hawaeleweki - nenda Iran..naye full bifu na Saudia - Nenda kwa Turkey - huyu ndo kama Nyoka sasa..anauma na kupuliza..alikua anapiga kelele Israel kuipiga Palestina..wakati huohuo anawork na Israel against Syria - Syria ambaye ni pro Palestina..
Sogea chini kuna Yemen - huko ndo kama hakuna Serikali - Houthi wanaongoza nchi sasa - Shuka Sudan - wameuana mpaka wamekoma...na hawachoki.
NA HIZI NCHI ZOTE HAWAWEZI KABISA KUSOLVE MIGOGORO YAO.
Kuna shida na hizi races za hapo katikati - Wayahudi, Waarabu, Turks, Central Asian Countries...wanashida hawa watu.NO PEACE..THEY ALWAYS LIKE TROUBLES
 
Yaaaani una rahisisha mambo we Jamaa... Ila sishangai tunatofautiana uelewa. USA aache kumpa Israel back up apigwe mpaka achakae haitakuja kutokea hata kama pale Ikilu ya white house ya Marekani atakuja Rais mwenye asili ya Iran. Unaujua uhusiano wa USA na Israel? Yaani lile ni tawi la USA pale middle East hasa kipindi hiki ambacho Saudia anapewa presha kubwa na waarabu wenzie kwa namna ambayo amewndelea kuwa na uhusiano na Israel licha ya kadhia inayoendelea Gaza. HIVI UNAELEWA NI KWA NINI KWENYE VIKAO VYENYE HIGH PROFILE VINAVYOJADILI KUHUSU MASLAHI YA ISRAEL YOYOTE PALE MIDDLE EAST LAZIMA AWEPO MKUU WA MOSAD NA DIRECTOR MKUU WA CIA?
 
Edogan mnafiki sana haeleweki hasira tu hizo tenki yake ya mafuta imetiwa kibiriti na Houth ilikua inaenda Israel kamtishia kuungana na US kule baharini huyo hawezi kuunga Non NATO members wanamtumia watakavyo akina biden
Uturuki bado hana msuli wa kujibizana na Mrusi au Marekani kwa sasa! Huo msuli hana!

Ila amekaa sehemu ya ki stratejia!

Kuna kipindi alileta makeke kwa Urusi alichofanyiwa wanajeshi wake walitiwa sana kiberiti Syria.
 
Kama inatoka uturuki hivyo vyombo in vya waasi kwahyo asad kazi anayo
 
Mlipoanza kumshabikia Putin kupora Crimea bas Erdogan anataka Allepo na China anaitaka Kashmir , mdogo mdogo Kenya ataitaka Serengeti na Kilimanjaro ndipo mtaanza ona umuhim wa kukemea waporaji wa maeneo ya watu
Sasa kenya na wewe ndio wa kumtisha nani hapa bongo??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…