Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haiwezekani. Ni ngumu sana sheikh wangu. Nimesikitika sana. Aswaliwe mtume sheikhWako warabu ni makondoo wanacho ambiwa na US wanafanya.
Hivyo viko africa tu na GazaHuku hutosikia vifo vya wanawake na watoto
Sehemu yote ikiwa chini ya udhibiti wa serikali huu mgawanyiko hauwezi kuwa na nguvu.Syria hajawahi kutulia na Wala haitatulia bila kuigawa hiyo nchi kwenye mapande ya Kidini na kikabila
Hivi nyinyi hamuwezi kujadili dini bila kuingiza kejeli na kashifa za kidini?Hahaha Magaidi wana uwana wao kwa wao, Raha sana hapo hakuna cha UN wala,sijui NATO.
Russia kwa sasa anashida yake huko Ukraine na NATO wan msumbua, msaada kwa Syria unaweza kuwa kigodo sana.
Kila kitu ni opportunity.
Iran huku wana taka kumnenepesha Hezbollah, na Kambi zake za kigaidi nchini Syria zinapata tabu sana, asipopeleka misaada na silaha mapema.
Sijui hapa kwetu msikiti wa MTAMBANI wataamuaje, kwani hatuwezi kupeleka magaidi japo kwa uchache, au ndiyo tuna ile sera ya KUTOKUFUNGAMANA na UPANDE WOWOTE?!
Acha ujinga hivyo ni vita ya kimaslahi kati ya mataifa makubwa kwa sababu Syria ipo kwenye eneo la kimkakati hakuna uhusiano wowote na dini.ati wana dini islam, wanakuambia ni dini ya amani, dini gani hii ya vurugu? Wanapigana wenyewe kwa wenyewe huku umoja wao wa ioc hauna cha kusema wakae kwa amani.
Tanzania mnaongozwa na watu gani?.Unajuwa kuwa aliyeiharib nchi ni Assad , Assad aliua mtu kweny maandamano yaliyopelekea Hali kuwa hv ilivyo Leo na bado mnaona ni sahihi Syria kuongozwa ni muuaji
Weka sababu yoyote unadhani ndio itafanya Russia asiende kusaidia!! Lkn mm nakuakikishia RUSSIA aitokubali kuanguka kwa serikali ya Assad Wanasababu nyingi sana za kuilinda SYRIA lkn pia usidanganyike kuwa Russia aina Wajeda wakupigana kwakuchukua Wajeda w korea Hii ya kuchukua Wajeda ipokimkakati zaid sio vile unadhani!!! Moja ya Sababu wanataka washilika wake wapate uzoefu Vitani mfano kizazi cha Wajeda wasasa wote w Korea awajawai kupigana vita ndio mn korea kusini ilichukia kusikia N korea wamepeleka wajeda Russia wanajua wenzao wanaenda kwenye mafunzo yajuu kivitendo yenye Hatari harisi. Usidhani tu Russia kaishiwa ata ukisikia IRAN kapeleka Missile Ressia jua ivyo Iran ndio kaomba ikatest Tec yake kwenye Air DF ya West marekani na West wanajua ivyo wanachukia sana kujua washilika wa Ressia wanapata Uzoefu na kutest vitu vyao,,, lkn sasa marekani aiwezi sema ilo la kweli kivita aipo ivo hii Vita watu wanakufa pande zote ,, sasa kipropaganda itabidi waseme Russia kaishiwa Wanajeshi Russia anategemea Misile za Iran hii ni propaganda dogo jiongeze kichwani kidogo. RUSSIA ni dude kubwa sana ndio mana wamejikusanya lkn wapi Tegemea vita upya apo Syria lkn west awashindi iyo vita wanaopigana apo ni wajeda w West pamoja na Uturuki lkn kwenye picha utaoneshwa Waarabu ndio ilivo kimikakati ya jeshi. Kwasasa majibu tumepata Hezboollah kukubali kusimamisha mapigano kule na Israel kulichangiwa na ukweli huu w Syria yumkin walishapata fununu ya kuzuka vita Syria na niwao tena ndio tegemeo kule syria sasa unaweza pata picha West waliratibu alaka hii vita ya Syria ili kumuokoa Israel mana ilishakuwa piga nikupige piga nikupige ndio utaona Marekani ataki kuondoka Syria Yupo pale kimkakati.Urusi hawezi peleka wanajeshi wake huko, kwasasa Putin anauhitaji mkubwa wa wanajeshi kwenye vita vyake na Ukraine kuliko wakati mwingine, na hata ikitokea atapelekwa wachache sanaa,
Hahahaha dah nimecheka sana hallo kwamba abaki kwenye pampasi ,😂😂😂We baki huko huko kwenye pempas ufilhwe vizuri kama alivyoagiza papa,, kobaz wanavaa wanaume
Mie nilikua nakuchukulia Uturuki kama taifa zuri kumbe nao wanafiki hivi!?Uturuki wana mambo ya kisenge sana Syria ilikuwa imesha anza kutulia wameanza kuivuruga tena.
Cha kwanza nakubaliana na wewe ila Cha pili hakuna kiwanda Cha silaha Cha Iran kilicholipuliwa mkuu.Iran na Russia kweli hawawezi kukubali Utawala wa Assad uanguke lakini hawana jinsi.
1. Kumbuka Russia anamenyana huko kwake na Ukraine -na hali sio poa kwa Russia katika vita hiyo. Hali ni tete kiasi kwamba Russia ameanza kuokoteza au kubangaiza wapiganaji mamluki e.g. Houthis, N.Korea n.k.
2. Kumbuka Juzi kati hapo viwanda vya kutengeneza silaha vya Iran vilishambuliwa na kuharibiwa na (IDF) Israeli. Kwa mantiki hiyo Iran imepungukiwa na uwezo wa Utoaji wa misaada ya Hali na Mali (silaha na mafunzo)kwa makundi ya kigaidi na hivyo uwezo wake kumsaidia Asad pia nao umepungua.
Ni katika mtizamo huo Bwana Asad wa Syria atakuwa na wakati mgumu sana.
Uturuki hana ubavu wa kupambana na Iran kamwe.Turkey siyo nchi ya kupambana na Underdog Iran.
lazima tushangae inakuaje waislam kwa waislam wapigane? Hao waothodox wa urusi na ukraine wanabondana kutokana na mmoja kuwa upande wa magharibi akitumiwa kumdhoofisha mwenzake. Urusi hataki ukuda huo anaamua kumuadhibu ndugu yake kwa kukaribisha maadui karibu yakeAcha ujinga hivyo ni vita ya kimaslahi kati ya mataifa makubwa kwa sababu Syria ipo kwenye eneo la kimkakati hakuna uhusiano wowote na dini.
Mbona Urusi na Ukraine wanauwana na wote ni waothodox lakini hujawahi kuhusisha mgogoro wao na dini?
Hivi nyinyi waisilam walisha wafanya nini mbona mmejaa vinyongo dhidi yao?
Russia vs Ukraine ni dini gani wale!?Saa hizi yanauana wenyewe hutawasikia wazee wa mtambani wakikemea