Vita ya Hamas na Wazayuni ni zaidi ya tunayoiona na kuisikia

Vita ya Hamas na Wazayuni ni zaidi ya tunayoiona na kuisikia

FaizaFoxy

Platinum Member
Joined
Apr 13, 2011
Posts
100,246
Reaction score
123,145
Naamini mpaka sasa duniani hakuna, kama wapo ni wachache sana, wasioelewa kuwa kuna vita inapiganwa kati ya Hamas (Wapalestina) na Mazayuni (israel).

Naomba ieleweke, hakuna vita ya Waarabu na Wayahudi au Waislam na wasio Waislam.

Hamas ni kikundi cha kihalali cha kisiasa na Mazayuni ni kundi 'halali" la kisiasa. Vina sura na mitazamo tofauti, lakini vyote vipo kihalli.

Tukija upande wa israel, wapo, mpaka kwenye jeshi lao, mazayuni wanaojipachika uyahudi wasio nao, kuna Eaislam, kuna wakristo na kuna wasioamini Mungu wala dini, ndiyo wengi zaidi).

Kwa upande wa Hamas ni hivyo hivyo, wapo, wayahudi, wapo Waislam, wapo Wakristo na wapo wachache sana wasioamini kabisa.

Vita inayopigwanwa sasa hivi ni vita kati ya wazuri na wabaya. Wazuri kwa maana ya wanao amini sheria na sharia za Mwenyezi Mungu na wabaya ni katika wasioamini katika mazuri, wao mabaya kwao ndiyo mazuri.

Imefikia mahala sasa, hii itakuwa 'shock" kwa wengi, mpaka viumbe visivyoonekana, wengine wanaita majinni, wengine wanawaita mapepo, wengine wanawaita "ghouls" wengine wanawaita mizimu. Kwa ufupi, viumbe vya kiroho navyo vipo vitani. Kila mmoja anachukuwa upande aupendao kwa sababu zake.

My Take; Upande wa mema na mazuri ndiyo upande wa Mwenyezi Mungu na huo ndiyo utakuwa kidedea mwisho wa siku.

Hii ni vita kubwa sana zaidi ya tunavyoichukulia kutokana na vyombo vya habari, siku hizi kila mtu ni mwana habari,

Vita hii imeshaanza kuvuka mipaka ya dunia ya kwanza, hya pili na ya tatu, sasa ipo dunia ya nne na ya tano. Tuombe Mwenyezi Mungu isifike dunia ya sita na ya saba.

Hii mada ni nzito sana kwa wale wanochukulia hii vita kama ushabiki wa yanga na simba.
 
Wewe bibi usituchanganye, hakuna kubadili upepo hapa.

Toka mwanzo umetuaminisha mazayuni ni makafir wanaowaonea waislam wa Palestine. Umekuwa ukituaminisha pia Hamas wamekuja kama mkombozi wa waislamu na inshallah watashinda vita. Na umekuwa ukitoa wito mataifa yote ya kiislam kuungana kumpiga mzayuni.

Leo imekuwaje bi mkubwa kutuambia hata kule Hamas Kuna mazayuni na makafir pia?
 
Naamini mpaka sasa duniani hakuna, kama wapo ni wachache sana, wasioelewa kuwa kuna vita inapiganwa kati ya Hamas (Wapalestina) na Mazayuni (israel).

Naomba ieleweke, hakuna vita ya Waarabu na Wayahudi au Waislam na wasio Waislam.

Hamas ni kikundi cha kihalali cha kisiasa na Mazayuni ni kundi 'halali" la kisiasa. Vina sura na mitazamo tofauti, lakini vyote vipo kihalli.

Tukija upande wa israel, wapo, mpaka kwenye jeshi lao, mazayuni wanaojipachika uyahudi wasio nao, kuna Eaislam, kuna wakristo na kuna wasioamini Mungu wala dini, ndiyo wengi zaidi).

Kwa upande wa Hamas ni hivyo hivyo, wapo, wayahudi, wapo Waislam, wapo Wakristo na wapo wachache sana wasioamini kabisa.

Vita inayopigwanwa sasa hivi ni vita kati ya wazuri na wabaya. Wazuri kwa maana ya wanao amini sheria na sharia za Mwenyezi Mungu na wabaya ni katika wasioamini katika mazuri, wao mabaya kwao ndiyo mazuri.

Imefikia mahala sasa, hii itakuwa 'shock" kwa wengi, mpaka viumbe visivyoonekana, wengine wanaita majinni, wengine wanawaita mapepo, wengine wanawaita "ghouls" wengine wanawaita mizimu. Kwa ufupi, viumbe vya kiroho navyo vipo vitani. Kila mmoja anachukuwa upande aupendao kwa sababu zake.

My Take; Upande wa mema na mazuri ndiyo upande wa Mwenyezi Mungu na huo ndiyo utakuwa kidedea mwisho wa siku.

Hii ni vita kubwa sana zaidi ya tunavyoichukulia kutokana na vyombo vya habari, siku hizi kila mtu ni mwana habari,

Vita hii imeshaanza kuvuka mipaka ya dunia ya kwanza, hya pili na ya tatu, sasa ipo dunia ya nne na ya tano. Tuombe Mwenyezi Mungu isifike dunia ya sita na ya saba.

Hii mada ni nzito sana kwa wale wanochukulia hii vita kama ushabiki wa yanga na simba.

hapa kaanglie tena madhumuni ya Israel kwa Palestina. Maulamaa wengi wanasema hivi ni vita vya Jihad
 
Wewe bibi usituchanganye, hakuna kubadili upepo hapa.

Toka mwanzo imetiaminisha mazayuni ni makafir wanawaonea waislam wa Palestine. Umekuwa ukituakisha pia Hamas wamekuja kama mkombozi wa waislamu na inshallah watashinda vita. Na umekuwa ukitoa woto mataifa yote ya kiislam kuungana kumpiga mazayuni.

Leo imekuwaje bi mkubwa kutuambia hata kule Hamas Kuna makafir pia?
Hilo halina shaka wala kupinga. mazayuni hata ulaya waliondolewa na wazungu wenzao kwa mabaya.

Wewe unaamini Mwenyezi Mungu au unamfata shetani?
 
Naamini mpaka sasa duniani hakuna, kama wapo ni wachache sana, wasioelewa kuwa kuna vita inapiganwa kati ya Hamas (Wapalestina) na Mazayuni (israel).

Naomba ieleweke, hakuna vita ya Waarabu na Wayahudi au Waislam na wasio Waislam.

Hamas ni kikundi cha kihalali cha kisiasa na Mazayuni ni kundi 'halali" la kisiasa. Vina sura na mitazamo tofauti, lakini vyote vipo kihalli.

Tukija upande wa israel, wapo, mpaka kwenye jeshi lao, mazayuni wanaojipachika uyahudi wasio nao, kuna Eaislam, kuna wakristo na kuna wasioamini Mungu wala dini, ndiyo wengi zaidi).

Kwa upande wa Hamas ni hivyo hivyo, wapo, wayahudi, wapo Waislam, wapo Wakristo na wapo wachache sana wasioamini kabisa.

Vita inayopigwanwa sasa hivi ni vita kati ya wazuri na wabaya. Wazuri kwa maana ya wanao amini sheria na sharia za Mwenyezi Mungu na wabaya ni katika wasioamini katika mazuri, wao mabaya kwao ndiyo mazuri.

Imefikia mahala sasa, hii itakuwa 'shock" kwa wengi, mpaka viumbe visivyoonekana, wengine wanaita majinni, wengine wanawaita mapepo, wengine wanawaita "ghouls" wengine wanawaita mizimu. Kwa ufupi, viumbe vya kiroho navyo vipo vitani. Kila mmoja anachukuwa upande aupendao kwa sababu zake.

My Take; Upande wa mema na mazuri ndiyo upande wa Mwenyezi Mungu na huo ndiyo utakuwa kidedea mwisho wa siku.

Hii ni vita kubwa sana zaidi ya tunavyoichukulia kutokana na vyombo vya habari, siku hizi kila mtu ni mwana habari,

Vita hii imeshaanza kuvuka mipaka ya dunia ya kwanza, hya pili na ya tatu, sasa ipo dunia ya nne na ya tano. Tuombe Mwenyezi Mungu isifike dunia ya sita na ya saba.

Hii mada ni nzito sana kwa wale wanochukulia hii vita kama ushabiki wa yanga na simba.
Ugaidi hauna mipaka!!
Kuna mwenzio huwa anatetea Al shabab
 
Hilo halina shaka wala kupinga. mazayuni hata ulaya waliondolewa na wazungu wenzao kwa mabaya.

Wewe unaamini Mwenyezi Mungu au unamfata shetani?
Sijajua namwamini nani sababu Kuna wakati natenda yanayofurahishwa na wote wawili. Ila nimekushangaa Leo unasema kumbe Hamas nako Kuna makafir, wazayuni, na waislamu?
 
Mbona bongo, hakuna vita tumekaa kinyonge sana

hiyo dunia ya 4 na 5 ndio ipi?

au ndiyo anayoishi mungu na shetani huko?
 
hapa kaanglie tena madhumuni ya Israel kwa Palestina. Maulamaa wengi wanasema hivi ni vita vya Jihad
Kuruani inasemaje wachana na maulamaa. Hakuna Aya iliyoongelea kuhusu Hamas? Manake nakuona ww ni bingwa wa kuleta Aya hapa jf.
 
Sijajua namwamini nani sababu Kuna wakati natenda yanayofurahishwa na wote wawili. Ila nimekushangaa Leo unasema kumbe Hamas nako Kuna makafir, wazayuni, na waislamu?
Si kila asiye Muislam ni kafir daima. Mwenyezi Mungu "huutowa umauti kwenye uhai na huutowa uhai kwenye umauti".

Kafiri ni kama wewe usiyejijuwa uko wapi.
 
Wewe bibi usituchanganye, hakuna kubadili upepo hapa.

Toka mwanzo umetuaminisha mazayuni ni makafir wanaowaonea waislam wa Palestine. Umekuwa ukituaminisha pia Hamas wamekuja kama mkombozi wa waislamu na inshallah watashinda vita. Na umekuwa ukitoa wito mataifa yote ya kiislam kuungana kumpiga mzayuni.

Leo imekuwaje bi mkubwa kutuambia hata kule Hamas Kuna mazayuni na makafir pia?
Baby wangu sio bibi aisee.Vita ya Hamasi na Israel itahamia huku.

Israel inasubiri warushe vibaruti vyao wakimbilie shimoni😂😂😂.
 
Sijajua namwamini nani sababu Kuna wakati natenda yanayofurahishwa na wote wawili. Ila nimekushangaa Leo unasema kumbe Hamas nako Kuna makafir, wazayuni, na waislamu?
Si kila asiye Muislam ni kafir daima. Mwenyezi Mungu "huutowa umauti kwenye uhai na huutowa uhai kwenye umauti".

Kafiri ni kama wewe usiyejijuwa uko wapi.
 
Baby wangu sio bibi aisee.Vita ya Hamasi na Israel itahamia huku.

Israel inasubiri warushe vibaruti vyao wakimbilie shimoni😂😂😂.
Baby wako muongo muongo sana tatizo. Bila shaka hata wewe amekuobgopea hana wajukuu hahaa
 
Sijajua namwamini nani sababu Kuna wakati natenda yanayofurahishwa na wote wawili. Ila nimekushangaa Leo unasema kumbe Hamas nako Kuna makafir, wazayuni, na waislamu?
Si kila asiye Muislam ni kafir daima. Mwenyezi Mungu "huutowa umauti kwenye uhai na huutowa uhai kwenye umauti".

Kafiri ni kama wewe usiyejijuwa uko wapi.
 
Back
Top Bottom