Vita ya Hamas na Wazayuni ni zaidi ya tunayoiona na kuisikia

Vita ya Hamas na Wazayuni ni zaidi ya tunayoiona na kuisikia

Dini zitawaua ,, bila WAARABU na WAZUNGU Leo hii msingekuwa mnabisha hovyo humu , inasikitisha sana
SUsiisingizie vita hii na dini, dini ni moja tu duniani.

Sasa hivi vita ipo zaidi ya dini. Kwenu hakuna mizimu?
 
Sawa Ila Cha Moto Wanakiona Sana
Unachokiona na kukisikia ni cha mtoto, moto unawaka kusikoonekana.

Unaelewa kuhusu dunia ya pili na ya tatu? Hii vita sasa ipo mpaka dunia ya tano.
 
Naamini mpaka sasa duniani hakuna, kama wapo ni wachache sana, wasioelewa kuwa kuna vita inapiganwa kati ya Hamas (Wapalestina) na Mazayuni (israel).

Naomba ieleweke, hakuna vita ya Waarabu na Wayahudi au Waislam na wasio Waislam.

Hamas ni kikundi cha kihalali cha kisiasa na Mazayuni ni kundi 'halali" la kisiasa. Vina sura na mitazamo tofauti, lakini vyote vipo kihalli.

Tukija upande wa israel, wapo, mpaka kwenye jeshi lao, mazayuni wanaojipachika uyahudi wasio nao, kuna Eaislam, kuna wakristo na kuna wasioamini Mungu wala dini, ndiyo wengi zaidi).

Kwa upande wa Hamas ni hivyo hivyo, wapo, wayahudi, wapo Waislam, wapo Wakristo na wapo wachache sana wasioamini kabisa.

Vita inayopigwanwa sasa hivi ni vita kati ya wazuri na wabaya. Wazuri kwa maana ya wanao amini sheria na sharia za Mwenyezi Mungu na wabaya ni katika wasioamini katika mazuri, wao mabaya kwao ndiyo mazuri.

Imefikia mahala sasa, hii itakuwa 'shock" kwa wengi, mpaka viumbe visivyoonekana, wengine wanaita majinni, wengine wanawaita mapepo, wengine wanawaita "ghouls" wengine wanawaita mizimu. Kwa ufupi, viumbe vya kiroho navyo vipo vitani. Kila mmoja anachukuwa upande aupendao kwa sababu zake.

My Take; Upande wa mema na mazuri ndiyo upande wa Mwenyezi Mungu na huo ndiyo utakuwa kidedea mwisho wa siku.

Hii ni vita kubwa sana zaidi ya tunavyoichukulia kutokana na vyombo vya habari, siku hizi kila mtu ni mwana habari,

Vita hii imeshaanza kuvuka mipaka ya dunia ya kwanza, hya pili na ya tatu, sasa ipo dunia ya nne na ya tano. Tuombe Mwenyezi Mungu isifike dunia ya sita na ya saba.

Hii mada ni nzito sana kwa wale wanochukulia hii vita kama ushabiki wa yanga na simba.
Tatizo lako Dada yangu unateswa sana na Udini, Gaza ilikuwa ikikaliwa na wayahudi, baada ya siasa za kistaarabu za Yasser Arafat na mkataba wa Oslo, Serikali ya Israel ikahamisha kwa nguvu raia wote wa kiyahudi mwaka 2005,ili kupisha Wapalestina waishi Gaza.

Laiti Israel wangejua kuwa hicho ndo kifo Chao wasingejaribu kabisa,HAMAS inaamini ktk siasa za kumwaga Damu,sasa hivi Israel inajihami mnalia eti wanaonewa,HAMAS hawana kambi za kijeshi,wala sare za jeshi,wanapigana vita katikati ya wanawake na watoto ili kutafuta huruma ya Dunia.

Israel wangekuwa Dhaifu kwa kuonea huruma watoto na wanawake,HAMAS ingeifuta Israel.

Halafu nyie Waislamu hamtambui uwepo wa Taifa la Israel,sasa mnataka Israel wote wafe,sasa ndugu zenu Palestina wakiendelea kuwa viburi kwa kudanganywa na Iran watakufa wote.
 
Tatizo lako Dada yangu unateswa sana na Udini, Gaza ilikuwa ikikaliwa na wayahudi, baada ya siasa za kistaarabu za Yasser Arafat na mkataba wa Oslo, Serikali ya Israel ikahamisha kwa nguvu raia wote wa kiyahudi mwaka 2005,ili kupisha Wapalestina waishi Gaza.

Laiti Israel wangejua kuwa hicho ndo kifo Chao wasingejaribu kabisa,HAMAS inaamini ktk siasa za kumwaga Damu,sasa hivi Israel inajihami mnalia eti wanaonewa,HAMAS hawana kambi za kijeshi,wala sare za jeshi,wanapigana vita katikati ya wanawake na watoto ili kutafuta huruma ya Dunia.

Israel wangekuwa Dhaifu kwa kuonea huruma watoto na wanawake,HAMAS ingeifuta Israel.

Halafu nyie Waislamu hamtambui uwepo wa Taifa la Israel,sasa mnataka Israel wote wafe,sasa ndugu zenu Palestina wakiendelea kuwa viburi kwa kudanganywa na Iran watakufa wote.
Udini ndiyo nini, unamaanisha Uislam?

Kama unamaanisha Uislam basi mimi najivunia kuwa Muislam. Wewe kwanini haujivunii ukafiri wako?
 
mume wafaiza foxy

4cc665559ef822b3e0f72d8b9d45216b.jpg
 
Naamini mpaka sasa duniani hakuna, kama wapo ni wachache sana, wasioelewa kuwa kuna vita inapiganwa kati ya Hamas (Wapalestina) na Mazayuni (israel).

Naomba ieleweke, hakuna vita ya Waarabu na Wayahudi au Waislam na wasio Waislam.

Hamas ni kikundi cha kihalali cha kisiasa na Mazayuni ni kundi 'halali" la kisiasa. Vina sura na mitazamo tofauti, lakini vyote vipo kihalli.

Tukija upande wa israel, wapo, mpaka kwenye jeshi lao, mazayuni wanaojipachika uyahudi wasio nao, kuna Eaislam, kuna wakristo na kuna wasioamini Mungu wala dini, ndiyo wengi zaidi).

Kwa upande wa Hamas ni hivyo hivyo, wapo, wayahudi, wapo Waislam, wapo Wakristo na wapo wachache sana wasioamini kabisa.

Vita inayopigwanwa sasa hivi ni vita kati ya wazuri na wabaya. Wazuri kwa maana ya wanao amini sheria na sharia za Mwenyezi Mungu na wabaya ni katika wasioamini katika mazuri, wao mabaya kwao ndiyo mazuri.

Imefikia mahala sasa, hii itakuwa 'shock" kwa wengi, mpaka viumbe visivyoonekana, wengine wanaita majinni, wengine wanawaita mapepo, wengine wanawaita "ghouls" wengine wanawaita mizimu. Kwa ufupi, viumbe vya kiroho navyo vipo vitani. Kila mmoja anachukuwa upande aupendao kwa sababu zake.

My Take; Upande wa mema na mazuri ndiyo upande wa Mwenyezi Mungu na huo ndiyo utakuwa kidedea mwisho wa siku.

Hii ni vita kubwa sana zaidi ya tunavyoichukulia kutokana na vyombo vya habari, siku hizi kila mtu ni mwana habari,

Vita hii imeshaanza kuvuka mipaka ya dunia ya kwanza, hya pili na ya tatu, sasa ipo dunia ya nne na ya tano. Tuombe Mwenyezi Mungu isifike dunia ya sita na ya saba.

Hii mada ni nzito sana kwa wale wanochukulia hii vita kama ushabiki wa yanga na simba.
This is rubbish, mtu akiamini sana mambo ya dini, anakuwa mpuuzi hadi kuandika ugoro kama huu.
 
This is rubbish, mtu akiamini sana mambo ya dini, anakuwa mpuuzi hadi kuandika ugoro kama huu.
Ssa kama wewe huna dini, kinakuuma nini wenzako kuwa na dini?

Biunafsi najivunia sana Uislam wangu.

Vipi wewe mbona hujivunii kutokuwa na dini?

Kwenu hakuna mizimu isiyo na dini?
 
Hii vita imewalfanya mpaka waliopo dunia yua nne na ya tano kufunguwa milango kuja kujionea kuna nini. Ni hatari sana.

Wa dunia ya nne na ya tano watafanya kila nia kuizuwia hii vita isiwachonganishe wao. Wanafanya kila njia kuiwacha iendelee dunia ya kwanza mpaka ya tatu.

Milango ya dunia ya kwanza mpaka ya tatu ipo wazi kabisa kwa sasa.
 
Wewe bibi usituchanganye, hakuna kubadili upepo hapa.

Toka mwanzo umetuaminisha mazayuni ni makafir wanaowaonea waislam wa Palestine. Umekuwa ukituaminisha pia Hamas wamekuja kama mkombozi wa waislamu na inshallah watashinda vita. Na umekuwa ukitoa wito mataifa yote ya kiislam kuungana kumpiga mzayuni.

Leo imekuwaje bi mkubwa kutuambia hata kule Hamas Kuna mazayuni na makafir pia?
🤣🤣🤣🤣
 
Hii vita imewalfanya mpaka waliopo dunia yua nne na ya tano kufunguwa milango kuja kujionea kuna nini. Ni hatari sana.

Wa dunia ya nne na ya tano watafanya kila nia kuizuwia hii vita isiwachonganishe wao. Wanafanya kila njia kuiwacha iendelee dunia ya kwanza mpaka ya tatu.

Milango ya dunia ya kwanza mpaka ya tatu ipo wazi kabisa kwa sasa.
Hivi wewe kahaba wa Kigunya umepata wapi nguvu za kuleta proaganda hapa ?
 
Tunaomba Mods muongezee hii emoji 🚮 kwenye eneo la Thanks
 
Naamini mpaka sasa duniani hakuna, kama wapo ni wachache sana, wasioelewa kuwa kuna vita inapiganwa kati ya Hamas (Wapalestina) na Mazayuni (israel).

Naomba ieleweke, hakuna vita ya Waarabu na Wayahudi au Waislam na wasio Waislam.

Hamas ni kikundi cha kihalali cha kisiasa na Mazayuni ni kundi 'halali" la kisiasa. Vina sura na mitazamo tofauti, lakini vyote vipo kihalli.

Tukija upande wa israel, wapo, mpaka kwenye jeshi lao, mazayuni wanaojipachika uyahudi wasio nao, kuna Eaislam, kuna wakristo na kuna wasioamini Mungu wala dini, ndiyo wengi zaidi).

Kwa upande wa Hamas ni hivyo hivyo, wapo, wayahudi, wapo Waislam, wapo Wakristo na wapo wachache sana wasioamini kabisa.

Vita inayopigwanwa sasa hivi ni vita kati ya wazuri na wabaya. Wazuri kwa maana ya wanao amini sheria na sharia za Mwenyezi Mungu na wabaya ni katika wasioamini katika mazuri, wao mabaya kwao ndiyo mazuri.

Imefikia mahala sasa, hii itakuwa 'shock" kwa wengi, mpaka viumbe visivyoonekana, wengine wanaita majinni, wengine wanawaita mapepo, wengine wanawaita "ghouls" wengine wanawaita mizimu. Kwa ufupi, viumbe vya kiroho navyo vipo vitani. Kila mmoja anachukuwa upande aupendao kwa sababu zake.

My Take; Upande wa mema na mazuri ndiyo upande wa Mwenyezi Mungu na huo ndiyo utakuwa kidedea mwisho wa siku.

Hii ni vita kubwa sana zaidi ya tunavyoichukulia kutokana na vyombo vya habari, siku hizi kila mtu ni mwana habari,

Vita hii imeshaanza kuvuka mipaka ya dunia ya kwanza, hya pili na ya tatu, sasa ipo dunia ya nne na ya tano. Tuombe Mwenyezi Mungu isifike dunia ya sita na ya saba.

Hii mada ni nzito sana kwa wale wanochukulia hii vita kama ushabiki wa yanga na simba.
Ni hadi pale wote tukubali mafundisho ya Shia na kusurrender kwa kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein ibn ali A.S amani ya kudumu itakuwepo.

Allah azidi kumfanyia wepes na aendelee kumpa qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein ibn ali A.S.
il_794xN.2160374853_o00v.jpg
 
Naamini mpaka sasa duniani hakuna, kama wapo ni wachache sana, wasioelewa kuwa kuna vita inapiganwa kati ya Hamas (Wapalestina) na Mazayuni (israel).

Naomba ieleweke, hakuna vita ya Waarabu na Wayahudi au Waislam na wasio Waislam.

Hamas ni kikundi cha kihalali cha kisiasa na Mazayuni ni kundi 'halali" la kisiasa. Vina sura na mitazamo tofauti, lakini vyote vipo kihalli.

Tukija upande wa israel, wapo, mpaka kwenye jeshi lao, mazayuni wanaojipachika uyahudi wasio nao, kuna Eaislam, kuna wakristo na kuna wasioamini Mungu wala dini, ndiyo wengi zaidi).

Kwa upande wa Hamas ni hivyo hivyo, wapo, wayahudi, wapo Waislam, wapo Wakristo na wapo wachache sana wasioamini kabisa.

Vita inayopigwanwa sasa hivi ni vita kati ya wazuri na wabaya. Wazuri kwa maana ya wanao amini sheria na sharia za Mwenyezi Mungu na wabaya ni katika wasioamini katika mazuri, wao mabaya kwao ndiyo mazuri.

Imefikia mahala sasa, hii itakuwa 'shock" kwa wengi, mpaka viumbe visivyoonekana, wengine wanaita majinni, wengine wanawaita mapepo, wengine wanawaita "ghouls" wengine wanawaita mizimu. Kwa ufupi, viumbe vya kiroho navyo vipo vitani. Kila mmoja anachukuwa upande aupendao kwa sababu zake.

My Take; Upande wa mema na mazuri ndiyo upande wa Mwenyezi Mungu na huo ndiyo utakuwa kidedea mwisho wa siku.

Hii ni vita kubwa sana zaidi ya tunavyoichukulia kutokana na vyombo vya habari, siku hizi kila mtu ni mwana habari,

Vita hii imeshaanza kuvuka mipaka ya dunia ya kwanza, hya pili na ya tatu, sasa ipo dunia ya nne na ya tano. Tuombe Mwenyezi Mungu isifike dunia ya sita na ya saba.

Hii mada ni nzito sana kwa wale wanochukulia hii vita kama ushabiki wa yanga na simba.
Mimi sikubaliani na wewe hapo toka lini jeshi la Israel likawa halali? Hao wamepora ardhi za Palestine na Wayahudi wenye asili ya kiyahudi sio hao ma Zionist walikuja pandikizwa na Uingereza. Kuongea lugha ya kiyahudi au kiarabu si lazima uwe Myahudi au Mwarabu.

Kuhusu jeshi la Israel wapo warabu ambao wanajita Madoruz na wako wa Morocco wamenda huko wenye asili za kiyahudi na wale Waislam koko na kusudia Waislam kwa majina tu.

Hamasi wapiganaji wake karibu wote Waislam 80 na 10% wakristo na 10% Madoruz lakini hawa wote warabu wenye asili ya hapo, sio Jeshi la Israel hakuna hata mwenye asili ya pale, wenye asili ya pale ni wale Wayahudi wako against Zionist. .
 
Back
Top Bottom