Vita ya Hamas na Wazayuni ni zaidi ya tunayoiona na kuisikia

Vita ya Hamas na Wazayuni ni zaidi ya tunayoiona na kuisikia

Si kila asiye Muislam ni kafir daima. Mwenyezi Mungu "huutowa umauti kwenye uhai na huutowa uhai kwenye umauti".

Kafiri ni kama wewe usiyejijuwa uko wapi.
Hivi,kuwaita wengine makafiri hamuoni kwamba mnawakera?Mkitafutiwa neno "zuri" nanyi muitwe msijichukize na kuchoma bendera.
 
Wewe bibi usituchanganye, hakuna kubadili upepo hapa.

Toka mwanzo umetuaminisha mazayuni ni makafir wanaowaonea waislam wa Palestine. Umekuwa ukituaminisha pia Hamas wamekuja kama mkombozi wa waislamu na inshallah watashinda vita. Na umekuwa ukitoa wito mataifa yote ya kiislam kuungana kumpiga mzayuni.

Leo imekuwaje bi mkubwa kutuambia hata kule Hamas Kuna mazayuni na makafir pia?
Achana na bibi wa mande huyo
 
Hivi,kuwaita wengine makafiri hamuoni kwamba mnawakera?Mkitafutiwa neno "zuri" nanyi muitwe msijichukize na kuchoma bendera.
Maana ya kafiri ni mpinazni au mpingaji Mwenyezi Mungu.

Labda huielewi maana yake tu, makafiri wametajwa kwenye biblia pia.

Kama mpinzani anakataa kuitwa mpinzani, ageuke Msigwa.

Kama ni kafiri na unaogopa kuitwa kafiri, toka kwenye ukafiri.
 
Maana ya kafiri ni mpinazni au mpingaji Mwenyezi Mungu.

Labda huielewi maana yake tu, makafiri wametajwa kwenye biblia pia.

Kama mpinzani anakataa kuitwa mpinzani, ageuke Msigwa.

Kama ni kafiri na unaogopa kuitwa kafiri, toka kwenye ukafiri.
Kwa hiyo CHADEMA ni makafiri?
 
Wewe bibi nitajie Hamas mmoja ambae mkristo.
Maana ili uwe gaidi lazima kwanza usilimu.
Huwa sikisii.

Umetaka mmoja tu? Tumia google mtafute Anwar Zbouan.

Kama hakutoshi nikuongeze.
 
hapa kaanglie tena madhumuni ya Israel kwa Palestina. Maulamaa wengi wanasema hivi ni vita vya Jihad
Naam, ni kweli kabisa. hawakosea. Vita yoyote inayihusu ardhi ya Muislam ni jihad.
 
Huwa sikisii.

Umetaka mmoja tu? Tumia google mtafute Anwar Zbouan.

Kama hakutoshi nikuongeze.
Uwongo. Hamna mkristo ambae ni Hamas member. Na hapo Gaza idadi ya wakristo haizidi 1000 na wengi walikimbia baada ya Hamas kuingia madarakani
 
Vita ya Hamas na Israel NI vita Kati ya uzao WA watoto wawili Ibrahim wa mke wa Ndoa na nje ya ndoa

Mke wa Ndoa wa Ibrahim alikuwa ni Isaka akachelewa kuzaa ,Ibrahim akazaa na nyumba ndogo aliyemzaa Ishmael baba wa wafilisti na waislamu.kupitia Mohamed uzao wa Ishmael mchepuko wa Ibrahim mwanamke wa nje ya ndoa

Sarah mke wa ndoa baadaye akazaa Isaka baba wa wayahudi na wakristo kupitia myahudi Yesu

Vita ile ni kati ya Wana halali wa ndoa wa Ibrahimu ambao ni wayahudi na watoto wa nje ya ndoa waislamu wakigombea urithi WA Mzee Ibrahimu

Ile nchi ni ya watoto wa ndani ya ndoa Ishmael na waislamu nchi zao ni za kiarabu na meçca na madina zao huko
 
Uwongo. Hamna mkristo ambae ni Hamas member. Na hapo Gaza idadi ya wakristo haizidi 1000 na wengi walikimbia baada ya Hamas kuingia madarakani
Kwa kuwa huna uelewa ndiyo mimi nimekuwa "muongo"?

Usilolijuwa ni usiku wa kiza. Jisomee, kama English inapanda:


Ukimaliza kusoma niombe msamaha kwa kukurupuka kwako.
 
Naamini mpaka sasa duniani hakuna, kama wapo ni wachache sana, wasioelewa kuwa kuna vita inapiganwa kati ya Hamas (Wapalestina) na Mazayuni (israel).

Naomba ieleweke, hakuna vita ya Waarabu na Wayahudi au Waislam na wasio Waislam.

Hamas ni kikundi cha kihalali cha kisiasa na Mazayuni ni kundi 'halali" la kisiasa. Vina sura na mitazamo tofauti, lakini vyote vipo kihalli.

Tukija upande wa israel, wapo, mpaka kwenye jeshi lao, mazayuni wanaojipachika uyahudi wasio nao, kuna Eaislam, kuna wakristo na kuna wasioamini Mungu wala dini, ndiyo wengi zaidi).

Kwa upande wa Hamas ni hivyo hivyo, wapo, wayahudi, wapo Waislam, wapo Wakristo na wapo wachache sana wasioamini kabisa.

Vita inayopigwanwa sasa hivi ni vita kati ya wazuri na wabaya. Wazuri kwa maana ya wanao amini sheria na sharia za Mwenyezi Mungu na wabaya ni katika wasioamini katika mazuri, wao mabaya kwao ndiyo mazuri.

Imefikia mahala sasa, hii itakuwa 'shock" kwa wengi, mpaka viumbe visivyoonekana, wengine wanaita majinni, wengine wanawaita mapepo, wengine wanawaita "ghouls" wengine wanawaita mizimu. Kwa ufupi, viumbe vya kiroho navyo vipo vitani. Kila mmoja anachukuwa upande aupendao kwa sababu zake.

My Take; Upande wa mema na mazuri ndiyo upande wa Mwenyezi Mungu na huo ndiyo utakuwa kidedea mwisho wa siku.

Hii ni vita kubwa sana zaidi ya tunavyoichukulia kutokana na vyombo vya habari, siku hizi kila mtu ni mwana habari,

Vita hii imeshaanza kuvuka mipaka ya dunia ya kwanza, hya pili na ya tatu, sasa ipo dunia ya nne na ya tano. Tuombe Mwenyezi Mungu isifike dunia ya sita na ya saba.

Hii mada ni nzito sana kwa wale wanochukulia hii vita kama ushabiki wa yanga na simba.
UHALALI WA WAO KUWA MAZAYUNI AU MAARABU HUWA HAUTUHUSU NA SISI WALA SI JUU YETU KUUFUATILIA KWA NINI MAARABU YANAKAZANA SANA KUSEMA MAYAHUDI HAWA SIO ORIGINAL ORIGINAL WAPO WAPI? OK SIYO OG SO WHAT? MAARABU NA MAYAHUDI WAMEPATA SUPPORT ZA MAISLAMU NA MAKRISTO NAYO YANACHEZA NA HISIA HIZO HIZO. WENDAWAZIMU. MAMBO YA NGOSWE WAACHIWE NGOSWE.
 
Naamini mpaka sasa duniani hakuna, kama wapo ni wachache sana, wasioelewa kuwa kuna vita inapiganwa kati ya Hamas (Wapalestina) na Mazayuni (israel).

Naomba ieleweke, hakuna vita ya Waarabu na Wayahudi au Waislam na wasio Waislam.

Hamas ni kikundi cha kihalali cha kisiasa na Mazayuni ni kundi 'halali" la kisiasa. Vina sura na mitazamo tofauti, lakini vyote vipo kihalli.

Tukija upande wa israel, wapo, mpaka kwenye jeshi lao, mazayuni wanaojipachika uyahudi wasio nao, kuna Eaislam, kuna wakristo na kuna wasioamini Mungu wala dini, ndiyo wengi zaidi).

Kwa upande wa Hamas ni hivyo hivyo, wapo, wayahudi, wapo Waislam, wapo Wakristo na wapo wachache sana wasioamini kabisa.

Vita inayopigwanwa sasa hivi ni vita kati ya wazuri na wabaya. Wazuri kwa maana ya wanao amini sheria na sharia za Mwenyezi Mungu na wabaya ni katika wasioamini katika mazuri, wao mabaya kwao ndiyo mazuri.

Imefikia mahala sasa, hii itakuwa 'shock" kwa wengi, mpaka viumbe visivyoonekana, wengine wanaita majinni, wengine wanawaita mapepo, wengine wanawaita "ghouls" wengine wanawaita mizimu. Kwa ufupi, viumbe vya kiroho navyo vipo vitani. Kila mmoja anachukuwa upande aupendao kwa sababu zake.

My Take; Upande wa mema na mazuri ndiyo upande wa Mwenyezi Mungu na huo ndiyo utakuwa kidedea mwisho wa siku.

Hii ni vita kubwa sana zaidi ya tunavyoichukulia kutokana na vyombo vya habari, siku hizi kila mtu ni mwana habari,

Vita hii imeshaanza kuvuka mipaka ya dunia ya kwanza, hya pili na ya tatu, sasa ipo dunia ya nne na ya tano. Tuombe Mwenyezi Mungu isifike dunia ya sita na ya saba.

Hii mada ni nzito sana kwa wale wanochukulia hii vita kama ushabiki wa yanga na simba.
Piga porojo kwa namna unavyojua lajini mazayuni wangekuwa waislam kusingekuwa na vita hapo.Tatizo waislam mnajionaga ka group kenye mahitaji maalum hamuwezi kuncoexist na wasio wa dini yenu.
Endeleza porojo as if tumeusikia huo mgogoro leo.
 
Back
Top Bottom