Katika kipindi cha Awamu ya Tano ya Mwendazake, Rais Magufuli wananchi tulielezwa nchi yetu ipo kwenye vita vya kiuchumi haswa na nchi zilizoendelea [Mabeberu}. Kwenye ugonjwa wa COVID-19 tulielezwa hivyo, Madini yetu, koroshona hata kwenye uwekezaji pia.
Je vita hii imekwisha lini maana hatumsikii Rais wetu Mama Samia akiizungmzia tena?
Je vita hii imekwisha lini maana hatumsikii Rais wetu Mama Samia akiizungmzia tena?