Vita ya Kiuchumi imeishia wapi?

Vita ya Kiuchumi imeishia wapi?

Katika kipindi cha awamu ya Tano ya Mwendazake, Rais Magufuli wananchi tulielezwa nchi yetu ipo kwenye vita vya kiuchumi haswa na nchi zilizoendelea [Mabeberu}. Kwenye ugonjwa wa Covid 19 tulielezwa hivyo, Madini yetu, koroshona hata kwenye uwekezaji pia. Je vita hii imekwisha lini maana hatumsikii Rais wetu Mama Samia akiizungmzia tena?
Haikuwahi kuwepo.
 
Msinichanganyie battery na gunzi maana tochi haitowaka, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa yeye kachanganywa na udongo

Kachanganywa na udongo tuone kama hautakuwa na rutuba![emoji276]
 
Sheria mojawapo ya vita ni kwamba usimpige adui aliyelala chini, sasa Jemedari 'amelala' hivyo mabeberu yameingiwa huruma.
 
Nakumbuka vita vya kihisia vilivyozidi kupamba moto, jemedari aliamrisha ukuta wa Mererani kujengwa ili kudhibiti vito vya thamani visiibiwe. Ambacho kingefuata ingekuwa ni kujenga kuta nyingi zaidi kuzunguka migodi na mbuga zote za wanyama ili kuwadhibiti mabeberu wasipate wasaa wa kusogelea rasilimali za nchi yetu.
Huna lolote ulijualo. Kojoa kalale
 
Katika kipindi cha awamu ya Tano ya Mwendazake, Rais Magufuli wananchi tulielezwa nchi yetu ipo kwenye vita vya kiuchumi haswa na nchi zilizoendelea [Mabeberu}. Kwenye ugonjwa wa Covid 19 tulielezwa hivyo, Madini yetu, koroshona hata kwenye uwekezaji pia. Je vita hii imekwisha lini maana hatumsikii Rais wetu Mama Samia akiizungmzia tena?
Vita hiyo imekufa na kuzikwa chato.
 
Ile vita ilikua ya mda mfupi tu tumerudi kwenye utulivu kwani mini lakini hamtaki amani(kwa sauti ya ndungani)
 
Katika kipindi cha awamu ya Tano ya Mwendazake, Rais Magufuli wananchi tulielezwa nchi yetu ipo kwenye vita vya kiuchumi haswa na nchi zilizoendelea [Mabeberu}. Kwenye ugonjwa wa Covid 19 tulielezwa hivyo, Madini yetu, koroshona hata kwenye uwekezaji pia. Je vita hii imekwisha lini maana hatumsikii Rais wetu Mama Samia akiizungmzia tena?
Maigizo ya mwendazake
 
Katika kipindi cha awamu ya Tano ya Mwendazake, Rais Magufuli wananchi tulielezwa nchi yetu ipo kwenye vita vya kiuchumi haswa na nchi zilizoendelea [Mabeberu}. Kwenye ugonjwa wa Covid 19 tulielezwa hivyo, Madini yetu, koroshona hata kwenye uwekezaji pia. Je vita hii imekwisha lini maana hatumsikii Rais wetu Mama Samia akiizungmzia tena?
Naona alitamani kuwa propagandist ila hakuwa na knowledge hiyo, baada ya kufa formal president wa cuba 🇨🇺 late comrade castro tuliambiwa zaidi ya majaribio 100 kutaka kumuua maana yake wakaboresha mifumo yao. Maana yangu ni kwamba,badala ya kutumia muda mrefu kuhusu mabeberu angetengeneza mifumo mizuri tena endelevu hapo mabeberu watapenyea wapi?
 
Katika kipindi cha awamu ya Tano ya Mwendazake, Rais Magufuli wananchi tulielezwa nchi yetu ipo kwenye vita vya kiuchumi haswa na nchi zilizoendelea [Mabeberu}. Kwenye ugonjwa wa Covid 19 tulielezwa hivyo, Madini yetu, koroshona hata kwenye uwekezaji pia. Je vita hii imekwisha lini maana hatumsikii Rais wetu Mama Samia akiizungmzia tena?
Hiyo ilikuwa propaganda na gia ya mwendazake ya kuteka watanzania wanyonge wa nchi hii ambao hawana elimu. Na wenye elimu ambao hawakuelimika!

Mwendazake alikuwa na programu maallumu ya kubrainwash wananchi wa makundi tajwa,na alikuwa amefanikiwa sana kwenye mradi huo baada ya kuzuia uhuru wa habari na kidhibiti vyombo vya habari.
 
Katika kipindi cha awamu ya Tano ya Mwendazake, Rais Magufuli wananchi tulielezwa nchi yetu ipo kwenye vita vya kiuchumi haswa na nchi zilizoendelea [Mabeberu}. Kwenye ugonjwa wa Covid 19 tulielezwa hivyo, Madini yetu, koroshona hata kwenye uwekezaji pia. Je vita hii imekwisha lini maana hatumsikii Rais wetu Mama Samia akiizungmzia tena?
Nchi ya viwanda?
 
Naona alitamani kuwa propagandist ila hakuwa na knowledge hiyo, baada ya kufa formal president wa cuba 🇨🇺 late comrade castro tuliambiwa zaidi ya majaribio 100 kutaka kumuua maana yake wakaboresha mifumo yao. Maana yangu ni kwamba,badala ya kutumia muda mrefu kuhusu mabeberu angetengeneza mifumo mizuri tena endelevu hapo mabeberu watapenyea wapi?
Washauri wake walikuwa akina Mwigulu Nchemba na Ndugai unategemea nini?
 
Back
Top Bottom