Tumewashinda mabeberu ndiyo maana hatuisikii tena?Propaganda tu mkuu kulikuwa hakuna vita wala nini RIP kayafa
Mama mbona alisema tulijenga juu na ulinzi wa jeshi ila tunaibiwa wakichimba chini sisi tunalinda ukutaNakumbuka vita vya kihisia vilivyozidi kupamba moto, jemedari aliamrisha ukuta wa Mererani kujengwa ili kudhibiti vito vya thamani visiibiwe. Ambacho kingefuata ingekuwa ni kujenga kuta nyingi zaidi kuzunguka migodi na mbuga zote za wanyama ili kuwadhibiti mabeberu wasipate wasaa wa kusogelea rasilimali za nchi yetu.
😃😂😁Nakumbuka vita vya kihisia vilivyozidi kupamba moto, jemedari aliamrisha ukuta wa Mererani kujengwa ili kudhibiti vito vya thamani visiibiwe. Ambacho kingefuata ingekuwa ni kujenga kuta nyingi zaidi kuzunguka migodi na mbuga zote za wanyama ili kuwadhibiti mabeberu wasipate wasaa wa kusogelea rasilimali za nchi yetu.
Aulizwe KABUDI so bado yupo, KABUDI ndiye alikuwa mwimbishaji Mkuu wa wimbo wa MABEBERU.Propaganda tu mkuu kulikuwa hakuna vita wala nini RIP kayafa
Tuliwashinda kweli maana waliona wivu kusikia kila Kijiji 50mTumewashinda mabeberu ndiyo maana hatuisikii tena?
Bila kumsahau pasco mayallaAulizwe KABUDI so bado yupo, KABUDI ndiye alikuwa mwimbishaji Mkuu wa wimbo wa MABEBERU.
Mniombe watanzaniaVita Ya Uchumi Ni Mbaya Sana
[emoji3][emoji16][emoji23][emoji2][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28][emoji38][emoji38][emoji28][emoji1][emoji2][emoji23][emoji23][emoji16]
Fix Tu
Lugha sahihi ni kuwa alikuwa TAPELI sana. Katika kutaka kuhalalisha madudu yake alileta maneno ya uongo kuwazuga watu na wengi sana hata humu JF waliingia mkenge.MwendaZake alikuwa na vitimbi sana!
... not only muongo but also baba wa uongo! Yule anastahili tuzo ya mwongo wa taifa.Kayafa alikuwa muongo sana, and sidhani hata hilo neno uchumi alikuwa anajua linamaanisha nini
Yule bwana alikuwa anapigana na mizuka yake mwenyewe.Katika kipindi cha awamu ya Tano ya Mwendazake, Rais Magufuli wananchi tulielezwa nchi yetu ipo kwenye vita vya kiuchumi haswa na nchi zilizoendelea [Mabeberu}. Kwenye ugonjwa wa Covid 19 tulielezwa hivyo, Madini yetu, koroshona hata kwenye uwekezaji pia. Je vita hii imekwisha lini maana hatumsikii Rais wetu Mama Samia akiizungmzia tena?
OvaBila kumsahau pasco mayalla