Haikuwahi kuwepo.Katika kipindi cha awamu ya Tano ya Mwendazake, Rais Magufuli wananchi tulielezwa nchi yetu ipo kwenye vita vya kiuchumi haswa na nchi zilizoendelea [Mabeberu}. Kwenye ugonjwa wa Covid 19 tulielezwa hivyo, Madini yetu, koroshona hata kwenye uwekezaji pia. Je vita hii imekwisha lini maana hatumsikii Rais wetu Mama Samia akiizungmzia tena?
Msinichanganyie battery na gunzi maana tochi haitowaka, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mniombe watanzania
Maendeleo hayana chama
Ukimchagua mpinzani sileti maendeleo
Msinichanganyie battery na gunzi maana tochi haitowaka, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa yeye kachanganywa na udongo
Jamaa alikuwa muongo sana! Tena alikuwa anaongea kwa masikitiko makubwa, wenye mioyo myepesi, wakawa wanamuamini sana!Propaganda tu mkuu kulikuwa hakuna vita wala nini RIP kayafa
Shida yako ni upungufu wa akili za kichwa cha juu, na wimgi wa akili za kichwa cha chini.Kayafa alikuwa muongo sana, and sidhani hata hilo neno uchumi alikuwa anajua linamaanisha nini
Huna lolote ulijualo. Kojoa kalaleNakumbuka vita vya kihisia vilivyozidi kupamba moto, jemedari aliamrisha ukuta wa Mererani kujengwa ili kudhibiti vito vya thamani visiibiwe. Ambacho kingefuata ingekuwa ni kujenga kuta nyingi zaidi kuzunguka migodi na mbuga zote za wanyama ili kuwadhibiti mabeberu wasipate wasaa wa kusogelea rasilimali za nchi yetu.
Vita hiyo imekufa na kuzikwa chato.Katika kipindi cha awamu ya Tano ya Mwendazake, Rais Magufuli wananchi tulielezwa nchi yetu ipo kwenye vita vya kiuchumi haswa na nchi zilizoendelea [Mabeberu}. Kwenye ugonjwa wa Covid 19 tulielezwa hivyo, Madini yetu, koroshona hata kwenye uwekezaji pia. Je vita hii imekwisha lini maana hatumsikii Rais wetu Mama Samia akiizungmzia tena?
Kweli ww huna akiliPropaganda tu mkuu kulikuwa hakuna vita wala nini RIP kayafa
Maigizo ya mwendazakeKatika kipindi cha awamu ya Tano ya Mwendazake, Rais Magufuli wananchi tulielezwa nchi yetu ipo kwenye vita vya kiuchumi haswa na nchi zilizoendelea [Mabeberu}. Kwenye ugonjwa wa Covid 19 tulielezwa hivyo, Madini yetu, koroshona hata kwenye uwekezaji pia. Je vita hii imekwisha lini maana hatumsikii Rais wetu Mama Samia akiizungmzia tena?
Naona alitamani kuwa propagandist ila hakuwa na knowledge hiyo, baada ya kufa formal president wa cuba 🇨🇺 late comrade castro tuliambiwa zaidi ya majaribio 100 kutaka kumuua maana yake wakaboresha mifumo yao. Maana yangu ni kwamba,badala ya kutumia muda mrefu kuhusu mabeberu angetengeneza mifumo mizuri tena endelevu hapo mabeberu watapenyea wapi?Katika kipindi cha awamu ya Tano ya Mwendazake, Rais Magufuli wananchi tulielezwa nchi yetu ipo kwenye vita vya kiuchumi haswa na nchi zilizoendelea [Mabeberu}. Kwenye ugonjwa wa Covid 19 tulielezwa hivyo, Madini yetu, koroshona hata kwenye uwekezaji pia. Je vita hii imekwisha lini maana hatumsikii Rais wetu Mama Samia akiizungmzia tena?
Hiyo ilikuwa propaganda na gia ya mwendazake ya kuteka watanzania wanyonge wa nchi hii ambao hawana elimu. Na wenye elimu ambao hawakuelimika!Katika kipindi cha awamu ya Tano ya Mwendazake, Rais Magufuli wananchi tulielezwa nchi yetu ipo kwenye vita vya kiuchumi haswa na nchi zilizoendelea [Mabeberu}. Kwenye ugonjwa wa Covid 19 tulielezwa hivyo, Madini yetu, koroshona hata kwenye uwekezaji pia. Je vita hii imekwisha lini maana hatumsikii Rais wetu Mama Samia akiizungmzia tena?
Nchi ya viwanda?Katika kipindi cha awamu ya Tano ya Mwendazake, Rais Magufuli wananchi tulielezwa nchi yetu ipo kwenye vita vya kiuchumi haswa na nchi zilizoendelea [Mabeberu}. Kwenye ugonjwa wa Covid 19 tulielezwa hivyo, Madini yetu, koroshona hata kwenye uwekezaji pia. Je vita hii imekwisha lini maana hatumsikii Rais wetu Mama Samia akiizungmzia tena?
Washauri wake walikuwa akina Mwigulu Nchemba na Ndugai unategemea nini?Naona alitamani kuwa propagandist ila hakuwa na knowledge hiyo, baada ya kufa formal president wa cuba 🇨🇺 late comrade castro tuliambiwa zaidi ya majaribio 100 kutaka kumuua maana yake wakaboresha mifumo yao. Maana yangu ni kwamba,badala ya kutumia muda mrefu kuhusu mabeberu angetengeneza mifumo mizuri tena endelevu hapo mabeberu watapenyea wapi?