Vita ya Kiuchumi: Ningekuwa Rais wa Tanzania ningeanzisha ujenzi wa reli ya SGR kutokea Bandari ya Tanga hadi Kagera, Rwanda na Uganda

unajua boss, hadi leo huwa natafuta surveyor aliyepewa kazi ya kuchora ramani ya africa aliipendelea sana tanzania, ukiondoa africa ya kusini tanzania ndio yenye ukanda wa bahari mrefu sana africa, ndio yenye bandari zaidi ya moja, Tanzania imepakana na malawi zambia congo burundi rwanda uganda, pia ipo karibu kilogistic na zimbambwe sudan ya kusini Northen mozambique, congo brazaville

Tungeliweza kutumia geografia yetu vizuri tusingekuwa tunalima wananchi wangepewa cupon kila ijumaa wanaenda supermarket kupata mahitaji, hakuna mwananchi angehangaika kujenga nyumba, vijana akibalehe tu anapewa nyumba gari na mke kwa gharama za serikali, vijana wangefanyaka,i ya jeshi ya kuchunga nchi yetu, hizi za manamba wangefanya wapakistani wahindi na wajaluo
 
'Actually', nilipo bandika maoni yangu ya mwanzo nilikuwa sijasoma mada yote ilivyo wasilishwa.
Hii ni mada 'sustandard'; ni kama imeletwa na mtu asiyejuwa mambo mengi ya miunganiko ya miundo mbinu.
Kwa mfano: utapeleka vipi SGR toka Tanga iende "Tabora, Geita, Kagera, halafu ndiyo uende Rwanda?
 
kabisa, na mizigo hii ya zambia drc south africa wanainyemelea na angola nao wanaitizama kwa hamu, hivyo tukifocus kwenye hizi nchi ni more important kuliko uganda na rwanda ambavyo hamna chochote porojo tu
Hata gari nyingi za IT zinazotoka bandarini nyingi zinaenda Congo DR kupitia boda ya Zambia Congo, Kasumbalesa. Reli ya kisasa ikienda Zambia inaunganisha na Congo. Zambia wana madini ya copper, hivyo treni ikienda kule inarudi na mzigo wa madini kupekeka bandarini.
 
Ni mawazo mazuri ila watakuambia hakuna hela,, kikubwa ujumbe umefika mkuu 💪🏽💪🏽
 
Pesa ungelizipata wapi
 
Mbona sgr hii ya sasa( Dar-Mwanza ) ita ingia hadi Rwanda?
Sema ikitoka Rwand ndo inaingia UG ila ni muhimu tuwe na connection pia ya UG bila kutumia nchi nyingne au ziwa.!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…