Na huyo ni mzee?Mambo mdada
Sijaelewa bado mkuu ahahahaNa huyo ni mzee?
Sasa mathalani kama yeye ndiye kamkosea mwanaume wake na hajaomba msamaha unataka mwanaume afanyaje?Ukichukua umri wako ukaongeza na umri wa huyo jamaa wako hauzi miaka 40.
Mambo ya kuchuniana Kwenye mahusiano Ni ya watoto wa Gen Z.Mkikua mtaacha tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo i mic you nahisi chats zake zina maxx yakutosha na vifupi visivyoeleweka. Achana nae huyo.
πBila shaka huyu ni kutoka Facebook
Kule Facebook unatumia jina gani
waache wenzioBila shaka huyu ni kutoka Facebook
Kule Facebook unatumia jina gani
Ashapiga?Hey guys hope mko poaaa
Huyu mwanaume ambaye nipo nae kwenye mahusiano amenufukuzia almost miezi 3 muda huo namchunguza tabia zake.
Kidogo kidogo nikaanza kumzoea na hatimae nikampenda(ile kiukwel ukweli) duuu sijui nini kimetokea tumepishana kauli kidogo tu naona mwenzangu kabadilika.
Sioni text zake wala call zake, zimepita wiki mbili sasa yupo kmya, wiki iliyoisha nimemtext kumpa HI plus kuomba msamaha kwa kitu hata sijui nilichotenda amejibu shortcut sana hadi nikajisikia vibaya.
Sasa na mimi niliamua kukaa kmya leo naona text yake "hey i mic you"
Wanaume mnazingua
Hey guys hope mko poaaa
Huyu mwanaume ambaye nipo nae kwenye mahusiano amenufukuzia almost miezi 3 muda huo namchunguza tabia zake.
Kidogo kidogo nikaanza kumzoea na hatimae nikampenda(ile kiukwel ukweli) duuu sijui nini kimetokea tumepishana kauli kidogo tu naona mwenzangu kabadilika.
Sioni text zake wala call zake, zimepita wiki mbili sasa yupo kmya, wiki iliyoisha nimemtext kumpa HI plus kuomba msamaha kwa kitu hata sijui nilichotenda amejibu shortcut sana hadi nikajisikia vibaya.
Sasa na mimi niliamua kukaa kmya leo naona text yake "hey i mic you"
Wanaume mnazingua
Well said mkuu,ukweli mtupu bila unafiki.Hamna kitu kinaitwa mapenzi ya kweli ni uongo tu, ni ngumu sana wote mkapendana....ukiona mambo yanaenda ujue Moja kaacha kutumia akili
Sio utoto kunna wanaume wana 60yrs ila kununa ujinga kwao ni salaUtoto raha sana.
Utoto na ukubwa haupimwi kwa umri bali kwa tabia za muhusika.Sio utoto kunna wanaume wana 60yrs ila kununa ujinga kwao ni sala
Wanaume wanunaji wanaboa kuliko wanaume wote dunian
Duh mi sipendi mwanaume mnunajiUtoto na ukubwa haupimwi kwa umri bali kwa tabia za muhusika.
nyanshi na nyanshi nyanshi na nyanshi ooooh..π΅π΅Hiyo I miss you anataka akukaze akuchunie tena
Akifanya hivyo usisahau kuleta uzi mwingine
Utoto na ukubwa haupimwi kwa umri bali kwa tabia za muhusika.
Bila shaka JF wanataka kutuunganisha mimi na wewe,Nimeletewa notification umeni-quote
Ajabu naangalia quote ni kutoka kwa comment ya masai dada π ....i mean how um-quote masai dada lakini notification niletewe mimi?
JF wameanza kunisingizia sasa
Bila shaka JF wanataka kutuunganisha mimi na wewe,
Itabidi tujiongeze tu sisi wenyewe.
π π