Vita ya kuchuniana kwenye mahusiano

Vita ya kuchuniana kwenye mahusiano

Ukichukua umri wako ukaongeza na umri wa huyo jamaa wako hauzi miaka 40.

Mambo ya kuchuniana Kwenye mahusiano Ni ya watoto wa Gen Z.Mkikua mtaacha tu.
 
Ukichukua umri wako ukaongeza na umri wa huyo jamaa wako hauzi miaka 40.

Mambo ya kuchuniana Kwenye mahusiano Ni ya watoto wa Gen Z.Mkikua mtaacha tu.
Sasa mathalani kama yeye ndiye kamkosea mwanaume wake na hajaomba msamaha unataka mwanaume afanyaje?
 
Bila shaka huyu ni kutoka Facebook

Kule Facebook unatumia jina gani
 
Hey guys hope mko poaaa

Huyu mwanaume ambaye nipo nae kwenye mahusiano amenufukuzia almost miezi 3 muda huo namchunguza tabia zake.

Kidogo kidogo nikaanza kumzoea na hatimae nikampenda(ile kiukwel ukweli) duuu sijui nini kimetokea tumepishana kauli kidogo tu naona mwenzangu kabadilika.


Sioni text zake wala call zake, zimepita wiki mbili sasa yupo kmya, wiki iliyoisha nimemtext kumpa HI plus kuomba msamaha kwa kitu hata sijui nilichotenda amejibu shortcut sana hadi nikajisikia vibaya.

Sasa na mimi niliamua kukaa kmya leo naona text yake "hey i mic you"

Wanaume mnazingua
Ashapiga?
 
Hey guys hope mko poaaa

Huyu mwanaume ambaye nipo nae kwenye mahusiano amenufukuzia almost miezi 3 muda huo namchunguza tabia zake.

Kidogo kidogo nikaanza kumzoea na hatimae nikampenda(ile kiukwel ukweli) duuu sijui nini kimetokea tumepishana kauli kidogo tu naona mwenzangu kabadilika.


Sioni text zake wala call zake, zimepita wiki mbili sasa yupo kmya, wiki iliyoisha nimemtext kumpa HI plus kuomba msamaha kwa kitu hata sijui nilichotenda amejibu shortcut sana hadi nikajisikia vibaya.

Sasa na mimi niliamua kukaa kmya leo naona text yake "hey i mic you"

Wanaume mnazingua


Tokaa kulee, utoto usilete hapa.
 
Back
Top Bottom