masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
Hhheeee hatariNimeletewa notification umeni-quote
Ajabu naangalia quote ni kutoka kwa comment ya masai dada π ....i mean how um-quote masai dada lakini notification niletewe mimi?
JF wameanza kunisingizia sasa
Kupenda ni Jambo la kiume wewe unatkiwa kutiiHey guys hope mko poaaa
Huyu mwanaume ambaye nipo nae kwenye mahusiano amenufukuzia almost miezi 3 muda huo namchunguza tabia zake.
Kidogo kidogo nikaanza kumzoea na hatimae nikampenda(ile kiukwel ukweli) duuu sijui nini kimetokea tumepishana kauli kidogo tu naona mwenzangu kabadilika.
Sioni text zake wala call zake, zimepita wiki mbili sasa yupo kmya, wiki iliyoisha nimemtext kumpa HI plus kuomba msamaha kwa kitu hata sijui nilichotenda amejibu shortcut sana hadi nikajisikia vibaya.
Sasa na mimi niliamua kukaa kmya leo naona text yake "hey i mic you"
Wanaume mnazingua
ππ