Vita ya Libya Afrika naTanzania yetu tulikuwa mabwege, sasa tunajidai kulaani vita ya Ukraine

Vita ya Libya Afrika naTanzania yetu tulikuwa mabwege, sasa tunajidai kulaani vita ya Ukraine

Zygot

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2016
Posts
2,265
Reaction score
2,919
Libya ilivamiwa na US kwa ushirika wa Ulaya na hasa Uingereza na Ufaransa. Wakaona ni haki yao kuvamia Libya na kumuondoa rais na hata akalawitiwa na wafuasi wao. Hakuna nchi ya kiafrika iliyolaani kwa nguvu au kujitokeza kupeleka kwenye baraza la usalama la UN. Ulaya pia hakuna aliyeandamana kulaani tukio hilo.

Leo hii yamewapata Ulaya. Mbabe wao kavamia kipenzi chao. Eti sasa Afrika inaonesha kihelehele cha kulaani Urusi. Tanzania nayo kihelehele utadhani itatuongezea mikopo na misaada.

Huu ni ujinga wa Mwafrika. Tunachowinda ni kusifiwa na Ulaya na US. Yaani tuko kama mitoto inayosubilia kuambia unapendeza! Hatuna msimamo kama nchi. Inaonesha hata Waziri wa mambo ya nje ni boya!

Nimemuona akishindwa hata kulaani ubaguzi unaowapata waafrika huko kwenye mipaka ya Ukraine. Tanzania hatuna hata msaada wa kueleweka kwa wanafunzi wetu, just bhla!-bhla!
 
[emoji871]Ukiishaifanya nchi kuwa ya Omba Omba huwezi kuwa na msimamo.

[emoji871]Ni wazi kwamba serikali yetu imetugeuza wategemezi wakuu wa EU na taasisi zote zenye Pesa Duniani.

[emoji871]Sasa hivi hakuna muelekeo wowote ule kuonyesha kwamba.
Serikali hii inao uwezo wa kufanya mambo yake kwa kutegemea Pato la ndani.

[emoji871]Mama anatembeza Bakuli,Waziri wa mambo ya nje anasifia wenye Pesa.

[emoji871]Mawaziri woote na wabunge wanasifia mikopo na kumshukuru Mama kwa kwenda kuomba na kupewa.

[emoji871]As if kuomba omba ni Ushujaa.

[emoji871]Tunapotea njia huku tukijisifu.........
 
[emoji871]Ukiishaifanya nchi kuwa ya Omba Omba huwezi kuwa na msimamo.

[emoji871]Ni wazi kwamba serikali yetu imetugeuza wategemezi wakuu wa EU na taasisi zote zenye Pesa Duniani.

[emoji871]Sasa hivi hakuna muelekeo wowote ule kuonyesha kwamba.
Serikali hii inao uwezo wa kufanya mambo yake kwa kutegemea Pato la ndani.

[emoji871]Mama anatembeza Bakuli,Waziri wa mambo ya nje anasifia wenye Pesa.

[emoji871]Mawaziri woote na wabunge wanasifia mikopo na kumshukuru Mama kwa kwenda kuomba na kupewa.

[emoji871]As if kuomba omba ni Ushujaa.

[emoji871]Tunapotea njia huku tukijisifu.........
Ndiyo hicho kinatutafuna
 
Kwako Libya unaitofautisha vipi na nchi zingine za kiarabu?
Aliye takiwa kushitaki ni Libya na aliye takiwa kuandamana ni wewe, je ulifanya, au unataka yafanyike kwa kukopi? Kama ndivyo bado hujitambui basi!
 
Mimi binafsi wapigane, wasipigane! Wauane, wasiuane! Shauri yao. Maana hawaniongezei, wala kunipunguzia chochote kile.
 
Libya ilivamiwa na US kwa ushirika wa Ulaya na hasa Uingereza na Ufaransa. Wakaona ni haki yao kuvamia Libya na kumuondoa rais na hata akalawitiwa na wafuasi wao. Hakuna nchi ya kiafrika iliyolaani kwa nguvu au kujitokeza kupeleka kwenye baraza la usalama la UN. Ulaya pia hakuna aliyeandamana kulaani tukio hilo.

Leo hii yamewapata Ulaya. Mbabe wao kavamia kipenzi chao. Eti sasa Afrika inaonesha kihelehele cha kulaani Urusi. Tanzania nayo kihelehele utadhani itatuongezea mikopo na misaada. Huu ni ujinga wa Mwafrika. Tunachowinda ni kusifiwa na Ulaya na US. Yaani tuko kama mitoto inayosubilia kuambia unapendeza! Hatuna msimamo kama nchi. Inaonesha hata Waziri wa mambo ya nje ni boya! Nimemuona akishindwa hata kulaani ubaguzi unaowapata waafrika huko kwenye mipaka ya Ukraine. Tanzania hatuna hata msaada wa kueleweka kwa wanafunzi wetu, just bhla!-bhla!
Hivi kweli kwa akili ya kawaida kuna nchi yoyote ya Afrika inaweza jitokeza hadharani na kuiunga mkono URUSI?kwa sasa, tuweni wakweli?
Ni misaada kiasi gani anachotusaidia?kulinganisha na nchi za magharibi?yeye muombe msaada wa kukandamiza wapinzani, au vifaa vya kijeshi!!
Tatizo letu waafrika ni kitu kimoja tunapokuwa kwa wazungu, hata tukifanya kosa tunakimbilia kwenye ubaguzi tu!!
Jana kuna habari niliiona juu ya hilo eti kubaguliwa, kuingia nchi hizo kama poland, romania, hasa poland!!kwa wafrika wengi poland imekuwa ni lango kuu la kuingilia ulaya, na wao pale mpakani , ukraine lazima wajirizishe kwanza kama una documents zote halali za kuishi ukraine, wakuruhusu, kwani upande wa poland nao wana kagua je uliingia ukraine kihalali?!!sasa mtu documents zako hazieleweki kuwekwa pembeni kwanza kelele!!
Kwani ukishaingia poland tayari unakuwa na hadhi ya ukimbizi.Mbona wanafunzi wao hawakutani na kero hiyo kwani wako huko kihalali, wenye shida hii ni wale wanaoishi huko kwa kufanya kazi.
 
Mimi binafsi wapigane, wasipigane! Wauane, wasiuane! Shauri yao. Maana hawaniongezei, wala kunipunguzia chochote kile.
Hawawezi kukuongezea kitu, lakini kupitia mzozo huo unaweza kuishi maisha magumu kidogo, tofauti na uliyoyazoea, kwa njia moja ama nyingine!!dunia ya sasa ni kutegemeana, omba tu isifikie huko.
Mfano itokee japo ni ngumu kuwa NATO, waingie kumsaidia ukraine, na liwalo liwe unategemea nini?!!
 
Libya ilivamiwa na US kwa ushirika wa Ulaya na hasa Uingereza na Ufaransa. Wakaona ni haki yao kuvamia Libya na kumuondoa rais na hata akalawitiwa na wafuasi wao. Hakuna nchi ya kiafrika iliyolaani kwa nguvu au kujitokeza kupeleka kwenye baraza la usalama la UN. Ulaya pia hakuna aliyeandamana kulaani tukio hilo.

Leo hii yamewapata Ulaya. Mbabe wao kavamia kipenzi chao. Eti sasa Afrika inaonesha kihelehele cha kulaani Urusi. Tanzania nayo kihelehele utadhani itatuongezea mikopo na misaada. Huu ni ujinga wa Mwafrika. Tunachowinda ni kusifiwa na Ulaya na US. Yaani tuko kama mitoto inayosubilia kuambia unapendeza! Hatuna msimamo kama nchi. Inaonesha hata Waziri wa mambo ya nje ni boya! Nimemuona akishindwa hata kulaani ubaguzi unaowapata waafrika huko kwenye mipaka ya Ukraine. Tanzania hatuna hata msaada wa kueleweka kwa wanafunzi wetu, just bhla!-bhla!
Libya alivamiwa na nani? Waliomlawiti gadafi walitumwa na nani kufanya hivyo? Siyo ule ujinga wa kusema ninampiga baba kwa sababu jirani amenipa shoka?

Habari za Libya, Gadafi na mifumo ya utawala Africa, umagni meza, kuhodhi madaraka, kutumia watu kwa kudhani hawana uelewa na kujifanya nchi ni ya mali binafsi, zinahitaji kuangaliwa upya kama kweli tunakusudia kujenga mifumo ya utawala bora na maendeleo endelevu.
 
Libya ilivamiwa na US kwa ushirika wa Ulaya na hasa Uingereza na Ufaransa. Wakaona ni haki yao kuvamia Libya na kumuondoa rais na hata akalawitiwa na wafuasi wao. Hakuna nchi ya kiafrika iliyolaani kwa nguvu au kujitokeza kupeleka kwenye baraza la usalama la UN. Ulaya pia hakuna aliyeandamana kulaani tukio hilo.

Leo hii yamewapata Ulaya. Mbabe wao kavamia kipenzi chao. Eti sasa Afrika inaonesha kihelehele cha kulaani Urusi. Tanzania nayo kihelehele utadhani itatuongezea mikopo na misaada. Huu ni ujinga wa Mwafrika. Tunachowinda ni kusifiwa na Ulaya na US. Yaani tuko kama mitoto inayosubilia kuambia unapendeza! Hatuna msimamo kama nchi. Inaonesha hata Waziri wa mambo ya nje ni boya! Nimemuona akishindwa hata kulaani ubaguzi unaowapata waafrika huko kwenye mipaka ya Ukraine. Tanzania hatuna hata msaada wa kueleweka kwa wanafunzi wetu, just bhla!-bhla!
Wewe habari ya Ghadafi kulawitiwa umeitoa wapi?
 
Mimi binafsi wapigane, wasipigane! Wauane, wasiuane! Shauri yao. Maana hawaniongezei, wala kunipunguzia chochote kile.
[emoji419]Hapo una Prove wrong mkuu!

[emoji871]Hiyo vita madhara yake yatakugusa Direct na Indirect.

[emoji419]Hautakufa kwa mabomu.

[emoji871]Ila akaunti zetu zitakufa kwa ukata.

[emoji871]Akaunti yako itateketea kwa upandaji wa bei za bidhaa zitakazosababishwa na upungufu wa mafuta Duniani na hivyo kupelekea bei yake kupaa katika Soko la Dunia.

[emoji871]Tanzania[emoji1241] ni mojawapo ya nchi zinazoagiza bidhaa nyingi kutoka Ukraine[emoji1255] na Russia[emoji635].

[emoji871]Sekta ya Utalii nchini mwetu utapoteza mapato mengi kutokana na kwamba katika kipindi chote cha quarantine ya Covid19 Duniani.

[emoji871]Tanzania[emoji1241] tuliendelea kuwapokea watalii wengi kutoka hizo nchi kupitia visiwa vya Zanzibar.

[emoji871]Hivyo kutakuwa na Deficiency pia kwenye Pato la taifa.

[emoji871]Kumbuka pia Bajeti yetu kwa sasa imekuwa kutegemea mikopo na msaada anayokwenda kuomba huko nje Rais Samia.

[emoji871]Sasa hawa wakubwa wameingia pia kwenye mgogoro mkubwa kiuchumi kwa kusitisha Biashara zote na Taifa kubwa kuliko yote Duniani ambalo ni Russia.[emoji635]

[emoji871]Jambo ambalo litapelekea kutotimiza ahadi zao kwa nchi maskini kama Tanzania[emoji1241] .

[emoji871]Upande wa Elimu pia umeona kuna kundi kubwa la watanzania wamekumbwa na balaa la kukatiza masomo toka huko Ukraine[emoji1255].

[emoji871]Mambo ni mengi yatatuhusu wala usidhani hii vita iko mbali hivyo haikugusi mkuu
Tate Mkuu
 
[emoji419]Hapo una Prove wrong mkuu!

[emoji871]Hiyo vita madhara yake yatakugusa Direct na Indirect.

[emoji419]Hautakufa kwa mabomu.

[emoji871]Ila akaunti zetu zitakufa kwa ukata.

[emoji871]Akaunti yako itateketea kwa upandaji wa bei za bidhaa zitakazosababishwa na upungufu wa mafuta Duniani na hivyo kupelekea bei yake kupaa katika Soko la Dunia.

[emoji871]Tanzania[emoji1241] ni mojawapo ya nchi zinazoagiza bidhaa nyingi kutoka Ukraine[emoji1255] na Russia[emoji635].

[emoji871]Sekta ya Utalii nchini mwetu utapoteza mapato mengi kutokana na kwamba katika kipindi chote cha quarantine ya Covid19 Duniani.

[emoji871]Tanzania[emoji1241] tuliendelea kuwapokea watalii wengi kutoka hizo nchi kupitia visiwa vya Zanzibar.

[emoji871]Hivyo kutakuwa na Deficiency pia kwenye Pato la taifa.

[emoji871]Kumbuka pia Bajeti yetu kwa sasa imekuwa kutegemea mikopo na msaada anayokwenda kuomba huko nje Rais Samia.

[emoji871]Sasa hawa wakubwa wameingia pia kwenye mgogoro mkubwa kiuchumi kwa kusitisha Biashara zote na Taifa kubwa kuliko yote Duniani ambalo ni Russia.[emoji635]

[emoji871]Jambo ambalo litapelekea kutotimiza ahadi zao kwa nchi maskini kama Tanzania[emoji1241] .

[emoji871]Upande wa Elimu pia umeona kuna kundi kubwa la watanzania wamekumbwa na balaa la kukatiza masomo toka huko Ukraine[emoji1255].

[emoji871]Mambo ni mengi yatatuhusu wala usidhani hii vita iko mbali hivyo haikugusi mkuu
Tate Mkuu

Umechanganua vizuri sana.... ✍️
 
Libya ilivamiwa na US kwa ushirika wa Ulaya na hasa Uingereza na Ufaransa. Wakaona ni haki yao kuvamia Libya na kumuondoa rais na hata akalawitiwa na wafuasi wao. Hakuna nchi ya kiafrika iliyolaani kwa nguvu au kujitokeza kupeleka kwenye baraza la usalama la UN. Ulaya pia hakuna aliyeandamana kulaani tukio hilo.

Leo hii yamewapata Ulaya. Mbabe wao kavamia kipenzi chao. Eti sasa Afrika inaonesha kihelehele cha kulaani Urusi. Tanzania nayo kihelehele utadhani itatuongezea mikopo na misaada.

Huu ni ujinga wa Mwafrika. Tunachowinda ni kusifiwa na Ulaya na US. Yaani tuko kama mitoto inayosubilia kuambia unapendeza! Hatuna msimamo kama nchi. Inaonesha hata Waziri wa mambo ya nje ni boya!

Nimemuona akishindwa hata kulaani ubaguzi unaowapata waafrika huko kwenye mipaka ya Ukraine. Tanzania hatuna hata msaada wa kueleweka kwa wanafunzi wetu, just bhla!-bhla!

Wengine sisi tulilaani sana mjomba.

Wengine sisi hatujawahi kuwa kwenye team yenu ya mashabiki uchwara yenye kushindana kukenua.

IMG_20220302_115525_094.jpg


Ndiyo maana si Kingai, Mahita, Jumanne, Goodluck, PK, Museveni na wenzao tunaweza kuwa na mshirika nao mahali.

Angalizo tafadhali: Usituchanganye wengine humo na maCCM.

Jambazi ni jambazi tu hata kama ni nduguyo.
 
Back
Top Bottom