BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Urusi na Marekani zote zinamilija ASAT hizi ni siraha za kuweza kushusha aridhini Satelite zilizoko kwenye Obiti. Hii ni moja ya jambo ambali hakuna mtu anataka litokee.
Vira itakuwa nu ya kubadilishana Vichwa vya nuclea and this time vichwa viatatua New York,Moscow,London, Washington, Berini, Parisi na kwingineko.
Sasa fikiria Nuclear mojaina hit Targer London, it means ndio mwisho wa London, au Kitu kina hit Moscow maana yake ndio mwisho wa Moscow.
Pale New yourk inapigwa nuclear moja maana yake ndio mwisho wa New york.
Kumbuka ile ajari ya Nuclea kule Chenoby Ukrine, hadi leo hii ile eneo watu wanaenda wakiwa na mavazi maalumu ya kijikinga na mionzi.
Sasapiga Picha kwenye hio miji.
Vifaru, na zile aircraft carrier hazitakuwa na kazi kwenye full War.
Si Marekani, wala Urusi wala hao Ulaya ambao watataka vita ipiganwe kwenye aridhi zao kwa mara ta kwanza tangu baada ya vita kuu ya pili ya Dunia.
Pia kumbuka hakuna Ndege ya abiria itaruka zote zitakuwa grounded.
Kwa kifupi itakuwa ndio mwisho wa human civilizations.
Tuache ushabiki Mandazi.
Vira itakuwa nu ya kubadilishana Vichwa vya nuclea and this time vichwa viatatua New York,Moscow,London, Washington, Berini, Parisi na kwingineko.
Sasa fikiria Nuclear mojaina hit Targer London, it means ndio mwisho wa London, au Kitu kina hit Moscow maana yake ndio mwisho wa Moscow.
Pale New yourk inapigwa nuclear moja maana yake ndio mwisho wa New york.
Kumbuka ile ajari ya Nuclea kule Chenoby Ukrine, hadi leo hii ile eneo watu wanaenda wakiwa na mavazi maalumu ya kijikinga na mionzi.
Sasapiga Picha kwenye hio miji.
Vifaru, na zile aircraft carrier hazitakuwa na kazi kwenye full War.
Si Marekani, wala Urusi wala hao Ulaya ambao watataka vita ipiganwe kwenye aridhi zao kwa mara ta kwanza tangu baada ya vita kuu ya pili ya Dunia.
Pia kumbuka hakuna Ndege ya abiria itaruka zote zitakuwa grounded.
Kwa kifupi itakuwa ndio mwisho wa human civilizations.
Tuache ushabiki Mandazi.