MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Tukumbushane..
Kwahiyo Sahivi Wakenye Mnawachokoza wa Rwanda.?
[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787]
Hakuna aliyewaingilia Warwanda kwenye nchi yao, hapo ndio hatari, tujifunze na kilichowakuta Urusi kwa kuthubutu kuparamia kainchi kadogo Ukraine, kwa kifupi usimvamie mtu kwenye nchi yake kama huna ubavu wa kuvumilia mapigo.