Vita ya Tatu ya Dunia iko mbioni kuanza

Vita ya Tatu ya Dunia iko mbioni kuanza

Narumu kwetu

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2015
Posts
1,888
Reaction score
4,489
Kitu ambacho watu hawafahamu in kuwa taifa la Ukraine ndilo taifa lenye eneo kubwa lililopakana na Urusi kuliko nchi nyingine zilizojitenga na Russia, pili Ukraine ndilo taifa pekee kati ya watu 6 wawili ni warusi, tatu Ukraine kujiunga na NATO ndio utakua mwanzo wa anguko la Russia hivyo huyu kachero mmbobezi Putin kamwe hatakubali haya mambo.

Hivyo ataendelea kushambulia Ukraine na hii itachochea zaid mataifa ya Magharibi kuingia direct kwenye huu mzozo.

Kitendo cha kuingia direct kitampa nafasi mrusi kushambulia haya mataifa direct.

Unajua itakuaje? Mmarekani ataingia na yeye direct. Hapo ndipo vita ya tatu ya dunia itaanzia.

Nikwambie tuu hakuna namna Urusi ataacha kuipiga Ukraine, maana tayari uwezekano wa mazungumzo haupo, mtazungumzaje wakati Ukraine keshajaza form za kujiunga EAU.
 
Hata Kama urussi atasitisha Vita na kutoa majeshi yake na Ukraine ikajengwa tena bado urusi hawez acha kuwaandama Ukraine anaweza akarudisha majengo yake yakawa vizur badae tena wakavamiwa na Ukraine
 
Marekani awe mpole tu asiitumbikize dunia kwenye vita kuu ya tatu maana kina china, korea, india, pakistan wanaweza wakaanza nao kutupa nyuklia zao watakapoguswa
 
Hawa warussi wana roho ya paka na wanaungana yaani wako serious hawarudi nyuma despite ya vikwazo vyote wahuni hawa

Wanajifanya wababe ngoja tuone mwisho wao wanawatwanga tu wenzao yule raisi zelensky nae ni noma hakatu tamaa kwan yupo kwenye hatar kama watamkamata
 
Kitu ambacho watu hawafahamu in kuwa taifa la Ukraine ndilo taifa lenye eneo kubwa lililopakana na Urusi kuliko nchi nyingine zilizojitenga na Russia, pili Ukraine ndilo taifa pekee kati ya watu 6 wawili ni warusi, tatu Ukraine kujiunga na NATO ndio utakua mwanzo wa anguko la Russia hivyo huyu kachero mmbobezi Putin kamwe hatakubali haya mambo.

Hivyo ataendelea kushambulia Ukraine na hii itachochea zaid mataifa ya Magharibi kuingia direct kwenye huu mzozo.

Kitendo cha kuingia direct kitampa nafasi mrusi kushambulia haya mataifa direct.

Unajua itakuaje? Mmarekani ataingia na yeye direct. Hapo ndipo vita ya tatu ya dunia itaanzia.

Nikwambie tuu hakuna namna Urusi ataacha kuipiga Ukraine, maana tayari uwezekano wa mazungumzo haupo, mtazungumzaje wakati Ukraine keshajaza form za kujiunga EAU.
Sio rahisi kiasi hicho nchi ikiwa na silaha za nyuklia ni nguvu kushambuliwa au kushambuliana.

MAD Mutual Assured
Destruction vita vya nyuklia ni vigumu sababu ukishambulia mwezako kwa Nyuklia na wewe unashambuliwa kwa Nyuklia na bomu la nyuklia la sasa lina nguvu mara 1000 zaidi ya yale ya Hiroshima na Nagasaki.Russia anayo 6000 US 4000 bado nchi nyingine hapo.

Hali hiyo ni Detterence ya vita ama sivyo ulimwengu utateketea.
 
Madaraka hulevya Putin anataka kuweka historia.
 
Putin yuko serious sana lakin asije jichanganya kwa mjombaa
 
Back
Top Bottom