Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadi sasa comedian anamtoa kamasi jasusi[emoji2][emoji2]Ukraine ni mwana mtukutu kwa babae. Fimbo kidogo inamfaa. Yule Comedian tutashughulika naye.
Hii inadhihirisha mapambano ya kavukavu bila nuclear hawezi kutoboa.Russia wameweka wazi kuwa vita ya dunia ikitokea basi itahusisha silaha za nyuklia
![]()
Russia’s Lavrov: A third world war would be nuclear, destructive
Moscow put its strategic nuclear forces on alert last week amid the war in Ukraine, causing ripples across the globe.www.aljazeera.com
Sasa vita ya 3 ya dunia upigane na silaha za kawaida ktk hii Kerne ya 21 si itakuwa mambo ya kijima. Mbona US alitumia nyuklia miaka kibao iliyopita tena kwa watu wasio na nyuklia.Hii inadhihirisha mapambano ya kavukavu bila nuclear hawezi kutoboa.
Zelensk anatakiwa akamatwe mzima apelekwe Kremlin mafuta ya Nazi yameshaandaliwaHawa warussi wana roho ya paka na wanaungana yaani wako serious hawarudi nyuma despite ya vikwazo vyote wahuni hawa
Wanajifanya wababe ngoja tuone mwisho wao wanawatwanga tu wenzao yule raisi zelensky nae ni noma hakatu tamaa kwan yupo kwenye hatar kama watamkamata
😂😂😂Zelensk anatakiwa akamatwe mzima apelekwe Kremlin mafuta ya Nazi yameshaandaliwa
Yule anandaliwa oil au lubricant yoyoteZelensk anatakiwa akamatwe mzima apelekwe Kremlin mafuta ya Nazi yameshaandaliwa
Wala hakuna dalili ya vita ya 3 ya dunia.
Hakuna nchi itakayomsaidia Ukraine directly wala hakuna itakayomsaidia mrusi.
Hao watadundana hapo mwezi mmoja biashara imeisha.
Kuna njemba za Chechen zinapiga jaramba kwa kula karanga kila siku kg 3 na tende kirobaYule anandaliwa oil au lubricant yoyote
Vita ya tatu ya kutoka wapi nyie nae acheni utoto utoto, watapigana wao huko na siyo sisi, labda ungesema kuyumba Kwa uchumi wa dunia ningekuelewa, lakini vita ya dunia huko na huku ni kama kilometer elfu 12,na vitisho vya atomiki ni huko huko na si huku, acheni ushogaKitu ambacho watu hawafahamu in kuwa taifa la Ukraine ndilo taifa lenye eneo kubwa lililopakana na Urusi kuliko nchi nyingine zilizojitenga na Russia, pili Ukraine ndilo taifa pekee kati ya watu 6 wawili ni warusi, tatu Ukraine kujiunga na NATO ndio utakua mwanzo wa anguko la Russia hivyo huyu kachero mmbobezi Putin kamwe hatakubali haya mambo.
Hivyo ataendelea kushambulia Ukraine na hii itachochea zaid mataifa ya Magharibi kuingia direct kwenye huu mzozo.
Kitendo cha kuingia direct kitampa nafasi mrusi kushambulia haya mataifa direct.
Unajua itakuaje? Mmarekani ataingia na yeye direct. Hapo ndipo vita ya tatu ya dunia itaanzia.
Nikwambie tuu hakuna namna Urusi ataacha kuipiga Ukraine, maana tayari uwezekano wa mazungumzo haupo, mtazungumzaje wakati Ukraine keshajaza form za kujiunga EAU.
Hizo data za wapi kijana kuwa Urusi ana nuclear 6000 na Marekani 4000? JF si sehemu ya kuropoka tu kile kikujiacho kichwani mwako. JF ni pana kuliko unavyoifikiria so you better have facts before presenting anything in here.Sio rahisi kiasi hicho nchi ikiwa na silaha za nyuklia ni nguvu kushambuliwa au kushambuliana.
MAD Mutual Assured
Destruction vita vya nyuklia ni vigumu sababu ukishambulia mwezako kwa Nyuklia na wewe unashambuliwa kwa Nyuklia na bomu la nyuklia la sasa lina nguvu mara 1000 zaidi ya yale ya Hiroshima na Nagasaki.Russia anayo 6000 US 4000 bado nchi nyingine hapo.
Hali hiyo ni Detterence ya vita ama sivyo ulimwengu utateketea.
HAKUNA BINADAMU MWENYE UWEZO WA KUTEKETEZA DUNIASio rahisi kiasi hicho nchi ikiwa na silaha za nyuklia ni nguvu kushambuliwa au kushambuliana.
MAD Mutual Assured
Destruction vita vya nyuklia ni vigumu sababu ukishambulia mwezako kwa Nyuklia na wewe unashambuliwa kwa Nyuklia na bomu la nyuklia la sasa lina nguvu mara 1000 zaidi ya yale ya Hiroshima na Nagasaki.Russia anayo 6000 US 4000 bado nchi nyingine hapo.
Hali hiyo ni Detterence ya vita ama sivyo ulimwengu utateketea.
Warusi tuko imara tuna chukua heshima yetu kwa nguvuHawa warussi wana roho ya paka na wanaungana yaani wako serious hawarudi nyuma despite ya vikwazo vyote wahuni hawa
Wanajifanya wababe ngoja tuone mwisho wao wanawatwanga tu wenzao yule raisi zelensky nae ni noma hakatu tamaa kwan yupo kwenye hatar kama watamkamata
sioni vita vya dunia ila vita baridi inakuja. Sasa ivi mrusi anataka kuvunja miundo mbinu na wale ma-nazi waloruhusiwa na zelensky na wamagharibi kutesa warusi wa ukraine. Ndo mishe sasa pamoja na kuhakiki anashikilia madudu yote ya nyuklia. Akimaliza na nahisi ataumia kidogo, wamagharibi sasa watamuita mezani waongelee nchi iweje na kurudisha wakimbizi 'nchini kwao'Kitu ambacho watu hawafahamu in kuwa taifa la Ukraine ndilo taifa lenye eneo kubwa lililopakana na Urusi kuliko nchi nyingine zilizojitenga na Russia, pili Ukraine ndilo taifa pekee kati ya watu 6 wawili ni warusi, tatu Ukraine kujiunga na NATO ndio utakua mwanzo wa anguko la Russia hivyo huyu kachero mmbobezi Putin kamwe hatakubali haya mambo.
Hivyo ataendelea kushambulia Ukraine na hii itachochea zaid mataifa ya Magharibi kuingia direct kwenye huu mzozo.
Kitendo cha kuingia direct kitampa nafasi mrusi kushambulia haya mataifa direct.
Unajua itakuaje? Mmarekani ataingia na yeye direct. Hapo ndipo vita ya tatu ya dunia itaanzia.
Nikwambie tuu hakuna namna Urusi ataacha kuipiga Ukraine, maana tayari uwezekano wa mazungumzo haupo, mtazungumzaje wakati Ukraine keshajaza form za kujiunga EAU.